Wana Tarime wote tukutane hapa

Utakuwa mpuuzi ukiwa mkurya then huwez kuongea kikurya! Limbukeni wa hivyo simhitaji kwenye uzi
Mkuu, naona unazidi kufukuza watu kwenye huu uzi wako. Sasa Mkurya aliyezaliwa na kukulia Okinawa Japan. ataweza kufahamu Kikurya kweli kama waliopo Dar es Salaam tu tena Msongola ni shida.
 
Huyo Jamaa kaanzisha uzi ili agombane na watu, kajifanya anaielewa Tarime lakini hakuna kitu, watu wengine tumezalizawa na kukulia mpaka umri wa kwenda jando baada ya hapo tukazamia nchi za watu kutafuta maisha, lakini jiografia ya eneo iko kichwani labda kwa vijiji na kata zilianzishwa kuanzia miaka ya 90. Nilitarajia kutumia uzi huu kuikumbuka Tarime yetu bila ubaguzi na matusi. Hata siku moja sijawahi kujutia kuzaliwa Mkurya, ila ninachofanya ni kuhakikisha kuwa watoto wangu hawatakuwa na tabia kama ya mgombea uvccm2017. Tabia kama hii ni chukizo kwa Mungu, Wakurya wenzangu tubadilike, dunia ya sasa inahitaji umoja, maguvu hayana nafasi tena, kizazi cha Zinjanthropus ndo kilihitaji maguvu ili kufanya maisha yaende, sasa hivi uko Nyakunguru, unaagiza gari japan linafika hapo hapo Nyakunguru au ukpenda unaenda kulipokea Komaswa. Kufanya biashara sio lazima uifate Dar es Salaam, unaagiza na kuipokelea Tarime. Tumieni fursa, acheni ubabe hauna nafasi tena. Nilipokuja likizo nilinunua mkusanyiko wa nyimbo za asili (Ritungu na ekegogo) ......Fidi fosi fidi fosi...nerababune amagoro.
 
Bhamula mwalae mbaliyo?Motabhoka toghahashe ibiwanda bhale bhamula ikyalo kyaihonchola
 
Toeni ukurya wenu hapa. Wakrya elfu moja sawasawa naTundu Lisu mmoja sawa mamuraa. Mkale vimolo. Kamakawa mtani wenu
Hahahaaa mkuu nimecheka, yaani wakurya elfu moja sawa sawa na tundu lissu mmoja, Wewe lazima utakua muhaya tu
 
Mkuu, naona unazidi kufukuza watu kwenye huu uzi wako. Sasa Mkurya aliyezaliwa na kukulia Okinawa Japan. ataweza kufahamu Kikurya kweli kama waliopo Dar es Salaam tu tena Msongola ni shida.
Hawa ndo wakurya. Wamekaa kishali shali tu muda wote.
 
Ahsante murah weito. Thakaribia Nyakunguru
 
Huu sasa ndo upuuz,mnadhan kma wakurya wote wanajua kikurya??? Mm siwaelewi hta kdgo but ni mkaz wa hko
 
Huu sasa ndo upuuz,mnadhan kma wakurya wote wanajua kikurya??? Mm siwaelewi hta kdgo but ni mkaz wa hko
Endelea hivyo hivyo kutokujua na itajulikana kati ya wewe na sisi nani mpuuzi na wakupuuzwa, kama umekalili kabila ya mamaako na unashindwa kuongea ya babako bas we ni wakupuuzwa mchabhani[emoji41] [emoji53]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…