Mkuu, naona unazidi kufukuza watu kwenye huu uzi wako. Sasa Mkurya aliyezaliwa na kukulia Okinawa Japan. ataweza kufahamu Kikurya kweli kama waliopo Dar es Salaam tu tena Msongola ni shida.Utakuwa mpuuzi ukiwa mkurya then huwez kuongea kikurya! Limbukeni wa hivyo simhitaji kwenye uzi