Kwa hiyo suala ni trust?Ni somo pana sana unataka lugha, jibu jepesi rahisi?
Kuna sheria lazima nchi ifuate hasa USA kama world reserve currency ili dunia iendelee kuwa na confidence and trust na USA. Ikifanya vitu kisirisiri itafunja hiyo trust and confidence. Unaweza kuandika gazeti kabisa. Madhara yake ni makubwa.
Point uliyoieleza ni kuwaTuanzie hapa wadau wengi wanahitaji dollar ili kununua USA assets, kama Bonds, Tresuary bills, stocks eg Tesla, Google, Apple, Amazon stocks, propeties na vitu vingine USA. Wengi wanawekeza USA ili kupata kipato cha uhakika cha mara kwa mara.
Uki-print money ukatumia kwenye nchi nyingine kwa mfano ambazo ziko hizo base inamaanisha unaongeza imports, dollar money supply kwenye hiyo nchi na nyingi zitarudi USA kununua vitu.
Mfano USA aka-print dollars atumie UAE. Atatumia vipi? Labda kununua silaha, huduma kwa wanajeshi wake kama chakula, afya, mafunzo, makazi nk.
Huduma kadhaa zinaweza kuwa zinatolewa na local people zingine na kampuni za USA mfano ununuzi wa silaha, mafunzo huduma za afya. Kwahiyo hilo pesa itarudi USA kupitia hapo.
Pia central bank za UAE zinaweza kuamua kutumia excess dollars kununua assets USA kama bond, stocks ili ku-maintain local price and currency stability, pesa yao mfano Dinar isipande thamani sana na kuifanya bidhaa zao zisiwe competitive. Pia hizo central bank zinaweza kuzirudisha USA kuwekeza kupata regular, predictable income.
Kumbuka kwenye vikao vya FED, ni lazima watoe taarifa juu ya inflation target yao, interest rate, money supply, hizo taarifa zitakupa mwanga FED ina- print money kiasi gani.
Suala lingine.....Tuanzie hapa wadau wengi wanahitaji dollar ili kununua USA assets, kama Bonds, Tresuary bills, stocks eg Tesla, Google, Apple, Amazon stocks, propeties na vitu vingine USA. Wengi wanawekeza USA ili kupata kipato cha uhakika cha mara kwa mara.
Uki-print money ukatumia kwenye nchi nyingine kwa mfano ambazo ziko hizo base inamaanisha unaongeza imports, dollar money supply kwenye hiyo nchi na nyingi zitarudi USA kununua vitu.
Mfano USA aka-print dollars atumie UAE. Atatumia vipi? Labda kununua silaha, huduma kwa wanajeshi wake kama chakula, afya, mafunzo, makazi nk.
Huduma kadhaa zinaweza kuwa zinatolewa na local people zingine na kampuni za USA mfano ununuzi wa silaha, mafunzo huduma za afya. Kwahiyo hilo pesa itarudi USA kupitia hapo.
Pia central bank za UAE zinaweza kuamua kutumia excess dollars kununua assets USA kama bond, stocks ili ku-maintain local price and currency stability, pesa yao mfano Dinar isipande thamani sana na kuifanya bidhaa zao zisiwe competitive. Pia hizo central bank zinaweza kuzirudisha USA kuwekeza kupata regular, predictable income.
Kumbuka kwenye vikao vya FED, ni lazima watoe taarifa juu ya inflation target yao, interest rate, money supply, hizo taarifa zitakupa mwanga FED ina- print money kiasi gani.
Kwa hiyo suala ni trust?
Haiprint pesa zake ili kulinda trust kama nimekupata vizuri?
Sawa sawa.Upo sawa,Trust na Confidence ndio kitu kikubwa na muhimu sana. Lakini pia kulinda uchumi wa USA ,ajira, biashara, bei kupanda hovyo kwa assets kama za nyumba, huduma kama za afya, elimu, stock markets, assets bubles. Kiufupi ni suala linaloathiri kila sekta ya uchumi.
Msingi wake mkuu ni trust and confidence katika uchumi wa USA, unajionyesha kupitia currency na uchumi ambao upo stable. Hauyumbiyumbi kama Banana Republic. Hivyo kuvutia wawekezaji wa ndani na nje.
Unipata vizuri kabisa. Kama kuna uhitaji mkubwa duniani wa dollar USA anaweza kuprint money na bado uchumi wake ukabaki imara. Hiyo inamaanisha uchumi wa Dunia umeongezeka kwa hiyo dollar inahitajika ili biashara zifanyike.Suala lingine.....
Marekani akiprint pesa...pesa yake ikawa nyingi duniani kiuchumi thamani inashuka. Right!
Hii binafsi kwa common sense itaapply kwa vinchi kama Zimbabwe ambavyo vipesa vyao vinatumika ndani ya mipka ya nchi. Nchi nyingi zinazalisha watu hawalali huko Asia bidhaa zinazalishwa nyiingi saana ....Marekani akiweza kubalance uhitaji wa Dollar na uzalishaji wa Dunia ataendelea kujipigia.
Maoni binafsi.
Sasa swali langu nani anafaidika hapa?Unipata vizuri kabisa. Kama kuna uhitaji mkubwa duniani wa dollar USA anaweza kuprint money na bado uchumi wake ukabaki imara. Hiyo inamaanisha uchumi wa Dunia umeongezeka kwa hiyo dollar inahitajika ili biashara zifanyike.
Lakini bado itaonyesha kwenye bei za vitu zitapanda kama gold, stock markets, interest rates, gharama za uzalishaji, usafiri, chakula, imports nk.
Uaminifu wa pesa unaletwa na kama uaminifu mwingine wowote kwenye kitu chochote.Sawa sawa.
Uaminifu wa pesa unaletwa na nini ...hadi wawekezaji na watumiaji wa pesa waiamini pesa ?
Kwa nchi kama za kwetu inabidi kuwa na umoja wetu. Kama USA tuwe na United States of Afrika. Hapo inabidi kufanya biashara pamoja na kuwa na our own currency, inayoweza kuwa back up may be by gold, something tangible therefore inakuwa vigumu kuyumbishwa.Sasa swali langu nani anafaidika hapa?
Si nchi maskini zinamfanyia kazi USA?
Wewe mwenyewe unajua uchumi wa vinchi maskini kama Tanzania uchumi ukikua kidogo waliowengi wanakimbilia liabilities....hivyo kwa hii formula tutaendelea kubakia maskini hadi tunazikwa.