kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Mimi ni shabiki wa Mayele sana na kuna nyuzi zangu nyingi namsifu na kumtetea sana, lakini ukweli ni kwamba mechi ya jana Mayele ndiyo alikosesha wenzake magoli mengi ya wazi.
Anapenda sifa sana, yaani alitaka afunge peke yake.
Kuna nafasi mbili ambazo walipata Yanga alikuwa yeye, Aziz Ki, Morrison na Fei dhidi ya beki mmoja, alishindwa kutoa pasi kwa wenzake ili wafunge. Yeye alitaka afunge peke yake.
Pia kuna nafasi zingine alikosa za wazi, ifike hatua sasa Mayele tuache kumshobokea licha ya kufunga sana lakini anashindwa sana. Mimi naamini angelikuwa Makambo kwa nafasi zile angeliweza kufunga sema tu kwasababu hajapata nafasi. Ila makambo ni atari zaidi ya Mayele, kwa wale wanaojua mpira watakubaliana na mimi.
Anapenda sifa sana, yaani alitaka afunge peke yake.
Kuna nafasi mbili ambazo walipata Yanga alikuwa yeye, Aziz Ki, Morrison na Fei dhidi ya beki mmoja, alishindwa kutoa pasi kwa wenzake ili wafunge. Yeye alitaka afunge peke yake.
Pia kuna nafasi zingine alikosa za wazi, ifike hatua sasa Mayele tuache kumshobokea licha ya kufunga sana lakini anashindwa sana. Mimi naamini angelikuwa Makambo kwa nafasi zile angeliweza kufunga sema tu kwasababu hajapata nafasi. Ila makambo ni atari zaidi ya Mayele, kwa wale wanaojua mpira watakubaliana na mimi.