Wana Yanga SC kwa huu Utani wenu mbele ya Kocha wa muda wa Simba SC Mgunda mmeniacha Hoi mno

Kinachonishangaza tu ni kwamba WANANICHUKIA GENTAMYCINE lakini Kutwa ( 24/7 ) hawaachi Kunisoma hapa Jamvini.
 
Server inajazwa na nyuzi mpya tu?vipi michango yeti haijazi hiyo server?
Yaani kabisa Swali lako hili la Akili kabisa Mkuu unategemea Masikini wa Akili unayemuuliza ndiyo akupe Jibu? Pole sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…