Wana Yanga SC tukutane hapa ili tuanze Kutengeneza na Kubuni mapema sababu ya Kipigo tutakachokipata leo huko Botswana

Wana Yanga SC tukutane hapa ili tuanze Kutengeneza na Kubuni mapema sababu ya Kipigo tutakachokipata leo huko Botswana

Mimi nikiwa kama mwana Yanga SC tena damu damu na lia lia kabisa An Eagle naanza kwa kusema kuwa naona sababu Kubwa ambayo itatupelekea leo tupate Kipigo Kitakatifu huko nchini Botswana kutoka kwa wanaojua Township Rollers ni kwamba Wachezaji wetu hawali vizuri kama wa Simba SC na pia Wachezaji wetu hawapewi Posho Kubwa kama wale wa Simba SC lakini pia Wachezaji wetu wa Yanga SC hawajakodiwa Ndege Maalum na Uongozi wetu kama walivyofanyiwa Wachezaji wa Wapinzani wetu Simba SC.

Nashauri wana Yanga SC wenzangu Mimi An Eagle nikiwa kama Mwanachama mwenye Kadi Namba 1299999917939 naomba tuanze Mchakato Maalum wa kuwaondoa Viongozi wetu Msola na Mwakalebela kwani ni Wasaliti na hawatotusaidia na kama tutaweza basi Sisi Yanga SC tusione Aibu kwenda kwa Mwekezaji wa Simba SC Mo Dewji ili aweze Kutusaidia na Sisi ili yale mema anayowafanyia Simba SC atufanyie na Sisi pia.

Mimi sababu zangu za awali kabisa kwa Kipigo ambacho tutakipata leo ni hizo hapo juu ila na Wewe mwana Yanga SC Mwenzangu uliyepo hapa JamiiForums karibu uweke na zako pia ili kusudi tuweze Kuwasaidia Waandishi wa Habari hasa katika Vichwa vyao vya Habari vya Kesho na wale wa katika Redio na Runinga nao waweze kuwa wanazisema.

Yanga SC yetu daima na mbele kwa mbele tu.
Timu imeanza kuimarika,shida ilikuwa wachezaji wengi wapya na muunganiko hakuna,Nadhani tutakuwa hatari sana this season.

Daima mbele
 
Huwezi kuwa Simba kindakindaki na ukaitakia mema Yanga. Hatutaki shobo.
Mkuu ächa ushabiki wakijinga. Yanga inaiwakilisha nchi ndugu. Kama simba ingekua inajiwakilisha yenyewe matunda ya mafanikio yakufika robo fainali yasinge ineemesha nchi kupewa nafasi 4 tuelimike tuachane na ujima wa kuombeana mabaya uo ni uchawi mkuu.
 
Mkuu ächa ushabiki wakijinga. Yanga inaiwakilisha nchi ndugu. Kama simba ingekua inajiwakilisha yenyewe matunda ya mafanikio yakufika robo fainali yasinge ineemesha nchi kupewa nafasi 4 tuelimike tuachane na ujima wa kuombeana mabaya uo ni uchawi mkuu.
Mkuu samahani sana kwa kukukwaza. Nchi yetu ikivamiwa najua tutakuwa bega kwa bega tukiipigania Ardhi yetu. hilo usiwe na wasiwasi nalo na mimi sina wasiwasi.
Ila, wewe ni mshabiki wa Simba kwa hiyo usitake kujipendekeza wakati moyoni unaumia.
Pia, Simba hakutuleta CAF Champins League. Tumechukua nafasi ya pili kwa kuonewa lakini jitihada hiyo ndiyo iliyotufikisha hapa.
Halafu Simba siyo timu yako, ni ya Kanjibai.
 
Ndiyo maana naipenda Yanga SC yangu. Aliyesema Yanga SC havuki nani? Haya sasa Yanga SC ndiyo tumevuka hivyo tunamngojea ajae hata kama wakiwa ni wanaojua Mpira Simba SC nao waje tu. Chezea Balinya na Sibomana Wewe? Kuanzia leo Mechi zote Yanga SC itashinda na tunaenda kuwa Mabingwa wa Kombe la Shirikisho hili na kwa Yanga SC hii ya leo hata wakija Liverpool au Barcelona au PSG au AC Millan wanapigwa tu. Leo nina amani mno kwa Ushindi huu wa Timu yangu pendwa kabisa ya Yanga SC. Na nawaombeni sasa Viongozi wangu wa Yanga SC acheni ule mpango wenu wa Kumuondoa Kocha Zahera na Msaidizi wake Mwandila ili mumlete huyo Mserbia wenu na asaidiwe na Ambani sijui Mwalala kutoka Kenya. Kama kweli Yanga SC tunataka Kocha mzuri basi ni kheri tuwaombe Simba SC watuazime Makocha wao kwani watatupeleka mbali mno.
We jamaa ni mnafiki sana [emoji28][emoji28]
 
We jamaa ni mnafiki sana [emoji28][emoji28]

Kwanini tena mwana Yanga SC mwenzangu? Na Wewe bila shaka leo hii una furaha Kubwa kama niliyonayo Mimi hasa baada ya Chama langu / letu ya Yanga SC Kushinda. Hakuna kama Yanga SC Tanzania japo kwa Zesco FC ndiyo mwisho wetu ili tutumbukie Shirikisho huku tukiwatizama Watani zetu wanaojua Mpira hadi Wazungu wanawakubali Simba SC wakifanya vyema tu katika Mechi zao kuanzia na ile ya Kesho.
 
Kwanini tena mwana Yanga SC mwenzangu? Na Wewe bila shaka leo hii una furaha Kubwa kama niliyonayo Mimi hasa baada ya Chama langu / letu ya Yanga SC Kushinda. Hakuna kama Yanga SC Tanzania japo kwa Zesco FC ndiyo mwisho wetu ili tutumbukie Shirikisho huku tukiwatizama Watani zetu wanaojua Mpira hadi Wazungu wanawakubali Simba SC wakifanya vyema tu katika Mechi zao kuanzia na ile ya Kesho.
Teh ...
Bro inaonekana ulkua mwandishi mzuri sana wa essay
 
Teh ...
Bro inaonekana ulkua mwandishi mzuri sana wa essay

Kwanini Kiongozi? Halafu ni kwanini Siku za karibuni unapenda sana Kubadili hiyo Avatar yako? Umekumbwa na nini? Wana Yanga SC hatuko hivyo bhana!
 
Mimi nikiwa kama mwana Yanga SC tena damu damu na lia lia kabisa An Eagle naanza kwa kusema kuwa naona sababu Kubwa ambayo itatupelekea leo tupate Kipigo Kitakatifu huko nchini Botswana kutoka kwa wanaojua Township Rollers ni kwamba Wachezaji wetu hawali vizuri kama wa Simba SC na pia Wachezaji wetu hawapewi Posho Kubwa kama wale wa Simba SC lakini pia Wachezaji wetu wa Yanga SC hawajakodiwa Ndege Maalum na Uongozi wetu kama walivyofanyiwa Wachezaji wa Wapinzani wetu Simba SC.

Nashauri wana Yanga SC wenzangu Mimi An Eagle nikiwa kama Mwanachama mwenye Kadi Namba 1299999917939 naomba tuanze Mchakato Maalum wa kuwaondoa Viongozi wetu Msola na Mwakalebela kwani ni Wasaliti na hawatotusaidia na kama tutaweza basi Sisi Yanga SC tusione Aibu kwenda kwa Mwekezaji wa Simba SC Mo Dewji ili aweze Kutusaidia na Sisi ili yale mema anayowafanyia Simba SC atufanyie na Sisi pia.

Mimi sababu zangu za awali kabisa kwa Kipigo ambacho tutakipata leo ni hizo hapo juu ila na Wewe mwana Yanga SC Mwenzangu uliyepo hapa JamiiForums karibu uweke na zako pia ili kusudi tuweze Kuwasaidia Waandishi wa Habari hasa katika Vichwa vyao vya Habari vya Kesho na wale wa katika Redio na Runinga nao waweze kuwa wanazisema.

Yanga SC yetu daima na mbele kwa mbele tu.
Aibu yako mrithi wa sheikh,rollers 0-1 Yanga
 
Ndiyo maana naipenda Yanga SC yangu. Aliyesema Yanga SC havuki nani? Haya sasa Yanga SC ndiyo tumevuka hivyo tunamngojea ajae hata kama wakiwa ni wanaojua Mpira Simba SC nao waje tu. Chezea Balinya na Sibomana Wewe? Kuanzia leo Mechi zote Yanga SC itashinda na tunaenda kuwa Mabingwa wa Kombe la Shirikisho hili na kwa Yanga SC hii ya leo hata wakija Liverpool au Barcelona au PSG au AC Millan wanapigwa tu. Leo nina amani mno kwa Ushindi huu wa Timu yangu pendwa kabisa ya Yanga SC. Na nawaombeni sasa Viongozi wangu wa Yanga SC acheni ule mpango wenu wa Kumuondoa Kocha Zahera na Msaidizi wake Mwandila ili mumlete huyo Mserbia wenu na asaidiwe na Ambani sijui Mwalala kutoka Kenya. Kama kweli Yanga SC tunataka Kocha mzuri basi ni kheri tuwaombe Simba SC watuazime Makocha wao kwani watatupeleka mbali mno.
Kwani Yanga wako kwenye mashindano ya Kombe la Shirikisho au Klabu Bingwa?
 
Mkuu ächa ushabiki wakijinga. Yanga inaiwakilisha nchi ndugu. Kama simba ingekua inajiwakilisha yenyewe matunda ya mafanikio yakufika robo fainali yasinge ineemesha nchi kupewa nafasi 4 tuelimike tuachane na ujima wa kuombeana mabaya uo ni uchawi mkuu.
Umetoa pongezi nzuri ila ulichokosea umewaita Yanga Kanda 2 na Kwasu kwasu!
 
Xcupid
Mimi nikiwa kama mwana Yanga SC tena damu damu na lia lia kabisa An Eagle naanza kwa kusema kuwa naona sababu Kubwa ambayo itatupelekea leo tupate Kipigo Kitakatifu huko nchini Botswana kutoka kwa wanaojua Township Rollers ni kwamba Wachezaji wetu hawali vizuri kama wa Simba SC na pia Wachezaji wetu hawapewi Posho Kubwa kama wale wa Simba SC lakini pia Wachezaji wetu wa Yanga SC hawajakodiwa Ndege Maalum na Uongozi wetu kama walivyofanyiwa Wachezaji wa Wapinzani wetu Simba SC.

Nashauri wana Yanga SC wenzangu Mimi An Eagle nikiwa kama Mwanachama mwenye Kadi Namba 1299999917939 naomba tuanze Mchakato Maalum wa kuwaondoa Viongozi wetu Msola na Mwakalebela kwani ni Wasaliti na hawatotusaidia na kama tutaweza basi Sisi Yanga SC tusione Aibu kwenda kwa Mwekezaji wa Simba SC Mo Dewji ili aweze Kutusaidia na Sisi ili yale mema anayowafanyia Simba SC atufanyie na Sisi pia.

Mimi sababu zangu za awali kabisa kwa Kipigo ambacho tutakipata leo ni hizo hapo juu ila na Wewe mwana Yanga SC Mwenzangu uliyepo hapa JamiiForums karibu uweke na zako pia ili kusudi tuweze Kuwasaidia Waandishi wa Habari hasa katika Vichwa vyao vya Habari vya Kesho na wale wa katika Redio na Runinga nao waweze kuwa wanazisema.

Yanga SC yetu daima na mbele kwa mbele tu.
 
Back
Top Bottom