GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mwanasheria alituambia Sisi wana Yanga SC (GENTAMYCINE) nimo kuwa Kagoma ni Yanga sasa mbona yuko Simba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeitikia wito ? Mazezeta FC..pilipili ya shamba inakuwashia nini wewe madunduka fc..?
kolozidadi fcUmeitikia wito ? Mazezeta FC..
Kabisa kabisa.Pale tff chini ya kidau simon patrick ataonekana hajui,issue ya kagoma ilibidi aadhibiwe mchezaji issue ya awesu ilibidi simba iadhibiwe ni vile kidau kaweka ushabiki mbele so kuna evidence uwa anaupoteza sababu ya ushabiki,issue ya lawi alishindwa sbb ni timu ya mzee mguto na karia na wao awakutaka kuifavor simba sbb wagosi wanajua wangewabadilikia la sivyo lawi leo angekua simba pia
Ngoja mazezeta wajeMwanasheria alituambia Sisi wana Yanga SC (GENTAMYCINE) nimo kuwa Kagoma ni Yanga sasa mbona yuko Simba?
Peleka malalamiko Cas; hawana ubaguzi hao.Pale tff chini ya kidau simon patrick ataonekana hajui,issue ya kagoma ilibidi aadhibiwe mchezaji issue ya awesu ilibidi simba iadhibiwe ni vile kidau kaweka ushabiki mbele so kuna evidence uwa anaupoteza sababu ya ushabiki,issue ya lawi alishindwa sbb ni timu ya mzee mguto na karia na wao awakutaka kuifavor simba sbb wagosi wanajua wangewabadilikia la sivyo lawi leo angekua simba pia
Walipeleka kesi Morisson wakaangukia pua.Peleka malalamiko Cas; hawana ubaguzi hao.
Kidau anahusika vipi na kamati ya hadhi ya wachezaji, au umesahau ndiyo ilimzuia Feitoto kuondoka yangaPale tff chini ya kidau simon patrick ataonekana hajui,issue ya kagoma ilibidi aadhibiwe mchezaji issue ya awesu ilibidi simba iadhibiwe ni vile kidau kaweka ushabiki mbele so kuna evidence uwa anaupoteza sababu ya ushabiki,issue ya lawi alishindwa sbb ni timu ya mzee mguto na karia na wao awakutaka kuifavor simba sbb wagosi wanajua wangewabadilikia la sivyo lawi leo angekua simba pia