Wana Yanga SC tusikubali Usajili wa hawa akina Kisinda, Sarpong na Tonombe; ni mbovu. Tuandamaneni ili akina Yikpe, Molinga na Tshishimbi warudi

Wana Yanga SC tusikubali Usajili wa hawa akina Kisinda, Sarpong na Tonombe; ni mbovu. Tuandamaneni ili akina Yikpe, Molinga na Tshishimbi warudi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nikiwa kama mwana Yanga SC tena Mwanachama wake kabisa GENTAMYCINE mapema kabisa kabla hata 'Dirisha' la Usajili halijafungwa Usiku wa leo nakuwa wa Kwanza kabisa Kupinga 'Usajili' huu 'Mbovu' kabisa wa hawa Wachezaji akina Kisinda, Sarpong na Tonombe badala yake nataka akina Yikpe, Molinga na Tshishimbi 'warejeshwe' Kikosini upesi sana tu.

Endapo tu Uongozi wa Yanga SC hautanisikiliza Mimi GENTAMYCINE basi huenda leo hii hii nikajiunga rasmi kuwa Mshabiki wa Simba SC iliyo bora.
 
Karibu home of trophy mkuu!

Nimewaangalia Jana hawana sijui akina Kisinda, Sarpong na Tonombe hawana lolote Mkuu na hapa GSM na akina Msola 'wametutusi' wana Yanga.
 
Naona laana za Makonda zishaanza kukuandama😂😂😂😂😂😂

Naupa Uongozi wa Yanga SC na Wafadhili wetu akina GSM kama hadi Usiku wasipowaacha akina Kisinda, Sarpong na Tonombe nahamia Simba SC.
 
We MTU umezoea nyodo kila sekta, juzi tu umetoka kumnanga Lissu leo umekuja kwa Yanga.. Shida nn kama wabovu we inakuwashia nn.. Tuambie wapi ulishawahi kucheza mpira japo wa ufukweni
 
We MTU umezoea nyodo kila sekta, juzi tu umetoka kumnanga Lissu leo umekuja kwa Yanga.. Shida nn kama wabovu we inakuwashia nn.. Tuambie wapi ulishawahi kucheza mpira japo wa ufukweni

Niliocheza nao Mpira hasa huko nchini Uganda, Kitaani Kinondoni na kidogo Chuoni hadi leo wananishangaa kwanini sikuendelea tu Kucheza Mpira.
 
Naupa Uongozi wa Yanga SC na Wafadhili wetu akina GSM kama hadi Usiku wasipowaacha akina Kisinda, Sarpong na Tonombe nahamia Simba SC.

Tangu lini ww ukawa Yanga?Umesahau tabiri zako mara hii?Umemponda sana Makaonda mda mrefu naona sasa kamati yake ya ROHO MBAYA imefunga upya nyaya za kichwa chako mpka umesahau upo timu gani😂😂😂😂😂
 
Nikiwa kama mwana Yanga SC tena Mwanachama wake kabisa GENTAMYCINE mapema kabisa kabla hata 'Dirisha' la Usajili halijafungwa Usiku wa leo nakuwa wa Kwanza kabisa Kupinga 'Usajili' huu 'Mbovu' kabisa wa hawa Wachezaji akina Kisinda, Sarpong na Tonombe badala yake nataka akina Yikpe, Molinga na Tshishimbi 'warejeshwe' Kikosini upesi sana tu.

Endapo tu Uongozi wa Yanga SC hautanisikiliza Mimi GENTAMYCINE basi huenda leo hii hii nikajiunga rasmi kuwa Mshabiki wa Simba SC iliyo bora.
Duh...... Wewe Ni kiumbe pekee mwanachama wa Simba na Yanga.
 
Nimewaangalia Jana hawana sijui akina Kisinda, Sarpong na Tonombe hawana lolote Mkuu na hapa GSM na akina Msola 'wametutusi' wana Yanga.
Toka lini umekuwa mwana Yanga wakati unajulikana kabisa wewe ni mwana Simba kindaki ndaki?
 
Khee! Si kuna mwingine mlienda na kumpokea kama alivyopokelewa rais Mandela miaka ile ya tisini?? Haya endeleeni siye tayari tushatia taji la kwanza mfukoni!
 
Toka lini umekuwa mwana Yanga wakati unajulikana kabisa wewe ni mwana Simba kindaki ndaki?
Gentamycine ana mambo! Kuna siku alisema ili Simba amfunge Yanga inahitajika mwanachama au mshabiki mmoja wa Simba atolewe kafara halafu azikwe National Stadium pale!
 
Kuna kifaa kingine kimetua Jangwani leo. Hii Yanga ya mwaka huu naitabilia kuwa itafanya vizuri kwenye michuano ya Club Bingwa Africa na hapa nchini Ubingwa unaweza kwenda Jangwani.
 
Kuna kifaa kingine kimetua Jangwani leo. Hii Yanga ya mwaka huu naitabilia kuwa itafanya vizuri kwenye michuano ya Club Bingwa Africa na hapa nchini Ubingwa unaweza kwenda Jangwani.

'Akili' zako ziko 'sawa sawa' kweli Mkuu?
 
Back
Top Bottom