Wana Yanga SC tusikubali Usajili wa hawa akina Kisinda, Sarpong na Tonombe; ni mbovu. Tuandamaneni ili akina Yikpe, Molinga na Tshishimbi warudi

Wana Yanga SC tusikubali Usajili wa hawa akina Kisinda, Sarpong na Tonombe; ni mbovu. Tuandamaneni ili akina Yikpe, Molinga na Tshishimbi warudi

Nikiwa kama mwana Yanga SC tena Mwanachama wake kabisa GENTAMYCINE mapema kabisa kabla hata 'Dirisha' la Usajili halijafungwa Usiku wa leo nakuwa wa Kwanza kabisa Kupinga 'Usajili' huu 'Mbovu' kabisa wa hawa Wachezaji akina Kisinda, Sarpong na Tonombe badala yake nataka akina Yikpe, Molinga na Tshishimbi 'warejeshwe' Kikosini upesi sana tu.

Endapo tu Uongozi wa Yanga SC hautanisikiliza Mimi GENTAMYCINE basi huenda leo hii hii nikajiunga rasmi kuwa Mshabiki wa Simba SC iliyo bora.
Mikia fc mbu3 fc.
 
Kuna kifaa kingine kimetua Jangwani leo. Hii Yanga ya mwaka huu naitabilia kuwa itafanya vizuri kwenye michuano ya Club Bingwa Africa na hapa nchini Ubingwa unaweza kwenda Jangwani.
Hata Yikpe aliitwa 'kifaa', akakataa kufanyiwa majaribio, Yanga wakampa mkataba mrefu fasta
 
Kuna kifaa kingine kimetua Jangwani leo. Hii Yanga ya mwaka huu naitabilia kuwa itafanya vizuri kwenye michuano ya Club Bingwa Africa na hapa nchini Ubingwa unaweza kwenda Jangwani.
Hiyo club bingwa ya mwaka gani?
 
Nikiwa kama mwana Yanga SC tena Mwanachama wake kabisa GENTAMYCINE mapema kabisa kabla hata 'Dirisha' la Usajili halijafungwa Usiku wa leo nakuwa wa Kwanza kabisa Kupinga 'Usajili' huu 'Mbovu' kabisa wa hawa Wachezaji akina Kisinda, Sarpong na Tonombe badala yake nataka akina Yikpe, Molinga na Tshishimbi 'warejeshwe' Kikosini upesi sana tu.

Endapo tu Uongozi wa Yanga SC hautanisikiliza Mimi GENTAMYCINE basi huenda leo hii hii nikajiunga rasmi kuwa Mshabiki wa Simba SC iliyo bora.
Wewe ni tako moja fc usijikweze , Yanga haiwezi kuwa na mashabiki wa karba yako.
Endeleeni kujadili huko gorofani ni jinsi gani mtabebwa mwaka huu.
 
Nikiwa kama mwana Yanga SC tena Mwanachama wake kabisa GENTAMYCINE mapema kabisa kabla hata 'Dirisha' la Usajili halijafungwa Usiku wa leo nakuwa wa Kwanza kabisa Kupinga 'Usajili' huu 'Mbovu' kabisa wa hawa Wachezaji akina Kisinda, Sarpong na Tonombe badala yake nataka akina Yikpe, Molinga na Tshishimbi 'warejeshwe' Kikosini upesi sana tu.

Endapo tu Uongozi wa Yanga SC hautanisikiliza Mimi GENTAMYCINE basi huenda leo hii hii nikajiunga rasmi kuwa Mshabiki wa Simba SC iliyo bora.
Simba Modern Taarab, Wazee wa Msimbazi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimewaangalia Jana hawana sijui akina Kisinda, Sarpong na Tonombe hawana lolote Mkuu na hapa GSM na akina Msola 'wametutusi' wana Yanga.
Idiot hata kwa Morrison mlianza hiv eti hata namba hapati lakini leo ndo kila match anacheza.
 
Nikiwa kama mwana Yanga SC tena Mwanachama wake kabisa GENTAMYCINE mapema kabisa kabla hata 'Dirisha' la Usajili halijafungwa Usiku wa leo nakuwa wa Kwanza kabisa Kupinga 'Usajili' huu 'Mbovu' kabisa wa hawa Wachezaji akina Kisinda, Sarpong na Tonombe badala yake nataka akina Yikpe, Molinga na Tshishimbi 'warejeshwe' Kikosini upesi sana tu.

Endapo tu Uongozi wa Yanga SC hautanisikiliza Mimi GENTAMYCINE basi huenda leo hii hii nikajiunga rasmi kuwa Mshabiki wa Simba SC iliyo bora.
Ila Yanga wana roho mbaya sana.. yaani sio poa kuwafanyia wananchi usajili wa ndondo cup..[emoji16]

Enewei... karibu Nyumbani[emoji881][emoji881][emoji881]. Huku kunatibu harara, muwasho na magonjwa yote yakukosa raha yanayotokana na matumizi ya [emoji172]Yanga chakavu na [emoji172]Yanga isiyokuwa na viwango kwa muda mrefu.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Matumizi mabaya ya manii yalitumika kutunga mimba ya hiki kiumbe
 
Wewe jamaa kadili muda unavyosonga ndivyo Akili zako zinavyotatuka na kutawanyika. Sijui ni nini kimetokea kwenye familia yako.
 
Back
Top Bottom