Wana Yanga SC tusikubali Usajili wa hawa akina Kisinda, Sarpong na Tonombe; ni mbovu. Tuandamaneni ili akina Yikpe, Molinga na Tshishimbi warudi

Mikia fc mbu3 fc.
 
Kuna kifaa kingine kimetua Jangwani leo. Hii Yanga ya mwaka huu naitabilia kuwa itafanya vizuri kwenye michuano ya Club Bingwa Africa na hapa nchini Ubingwa unaweza kwenda Jangwani.
Hata Yikpe aliitwa 'kifaa', akakataa kufanyiwa majaribio, Yanga wakampa mkataba mrefu fasta
 
Kuna kifaa kingine kimetua Jangwani leo. Hii Yanga ya mwaka huu naitabilia kuwa itafanya vizuri kwenye michuano ya Club Bingwa Africa na hapa nchini Ubingwa unaweza kwenda Jangwani.
Hiyo club bingwa ya mwaka gani?
 
Wewe ni tako moja fc usijikweze , Yanga haiwezi kuwa na mashabiki wa karba yako.
Endeleeni kujadili huko gorofani ni jinsi gani mtabebwa mwaka huu.
 
Simba Modern Taarab, Wazee wa Msimbazi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimewaangalia Jana hawana sijui akina Kisinda, Sarpong na Tonombe hawana lolote Mkuu na hapa GSM na akina Msola 'wametutusi' wana Yanga.
Idiot hata kwa Morrison mlianza hiv eti hata namba hapati lakini leo ndo kila match anacheza.
 
Ila Yanga wana roho mbaya sana.. yaani sio poa kuwafanyia wananchi usajili wa ndondo cup..[emoji16]

Enewei... karibu Nyumbani[emoji881][emoji881][emoji881]. Huku kunatibu harara, muwasho na magonjwa yote yakukosa raha yanayotokana na matumizi ya [emoji172]Yanga chakavu na [emoji172]Yanga isiyokuwa na viwango kwa muda mrefu.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Matumizi mabaya ya manii yalitumika kutunga mimba ya hiki kiumbe
 
Wewe jamaa kadili muda unavyosonga ndivyo Akili zako zinavyotatuka na kutawanyika. Sijui ni nini kimetokea kwenye familia yako.
 
Simba Modern Taarab, Wazee wa Msimbazi!

Sent using Jamii Forums mobile app
πšˆπšŠπš—πšπšŠ π™Όπš˜πšπšŽπš›πš— πšƒπšŠπšŠπš›πšŠπš‹,𝚠𝚊𝚣𝚎𝚎 𝚠𝚊 π™ΉπšŠπš—πšπš πšŠπš—πš’
 
Mugalu kaingia mitini πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…