Wana Yanga SC wakiongozwa na GENTAMYCINE tunauliza je, Mwamnyeto nae Akioa Uongozi wetu utamzawadia 50M kama Aziz K?

Wana Yanga SC wakiongozwa na GENTAMYCINE tunauliza je, Mwamnyeto nae Akioa Uongozi wetu utamzawadia 50M kama Aziz K?

Hata wewe ukitaka tukuchangie, tunakuchangia. Na kama huamini, weka mkeka hapa jukwaani halafu uone kama hutapata milioni 100 za kukuhamisha kutoka Kawe, kwenda Masaki.
 
Kila mtu ale kwa urefu wa kama yake,, huoni Kibwana nae alioa, ndo yake uliisikia hata kwenye Radio..?
Unamaanisha kwamba Kibwana yeye alipooa hakupewa milioni 50, alaf pia uongoz wa Yanga haukuipa umuhimu harusi yake, itakuwa ni ubaguzi.
 
Back
Top Bottom