GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Lakini na wewe si ni kiongozi piaHizo 50milions ni za aziz ki aliupa uongozi wetu,ili kuongeza trendings mtandaoni,sisi kama yanga hatukutoa, tulimpa ila nyuma ya pazia ni hayo machache.
Mwamnyeto aoe ili iweje, wakati tu jina lake linahusiana na nyeto?Nikiwa kama mwana Yanga SC Mwandamizi JamiiForums nzima nasubiria majibu ya Viongozi wa Yanga SC waliojazana hapa.
kwa nini?Lakini na wewe si ni kiongozi pia
Na wewe umehusika kupokea mil 50 kwa ajili ya trendingskwa nini?
itabaki kuwa siri yangu!Vipi mkuuNa wewe umehusika kupokea mil 50 kwa ajili ya trendings
Heheheitabaki kuwa siri yangu!Vipi mkuu
πππππHakai Kawe,LIKUD huwa anasema ana ushahidi jamaa anaishi Bundaπππ
Tuanze na wewe kama mwana Yanga utatoa Tsh ngapiNikiwa kama mwana Yanga SC Mwandamizi JamiiForums nzima nasubiria majibu ya Viongozi wa Yanga SC waliojazana hapa.
Buku.Tuanze na wewe kama mwana Yanga utatoa Tsh ngapi
πHakai Kawe,LIKUD huwa anasema ana ushahidi jamaa anaishi Bundaπππ
NdioNikiwa kama mwana Yanga SC Mwandamizi JamiiForums nzima nasubiria majibu ya Viongozi wa Yanga SC waliojazana hapa.
Unamaanisha kwamba Kibwana yeye alipooa hakupewa milioni 50, alaf pia uongoz wa Yanga haukuipa umuhimu harusi yake, itakuwa ni ubaguzi.Kila mtu ale kwa urefu wa kama yake,, huoni Kibwana nae alioa, ndo yake uliisikia hata kwenye Radio..?
Mbona mishipa imekusimama kuhusu Aziz Ki kuoa? Subiri na wewe utaolewa tu.Nikiwa kama mwana Yanga SC Mwandamizi JamiiForums nzima nasubiria majibu ya Viongozi wa Yanga SC waliojazana hapa.