GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
"Tunawataka wana Yanga SC wote wajisajili kwa huu Mfumo wa Kielektroniki ili tuwe tunswajua wale ambao watakuwa wana misbehave kwani hivi sasa ili mwana Yanga SC uwe na ruhusa ya Kutusema, Kutukosoa au kutupigia Kelele yakupa uwe umeshajisajili kwa Mtindo huu na uwe Umelipia Ada yako vinginevyo hutosikilizwa" Hassan Bumbuli Afisa Habari Yanga SC.
Chanzo: Sports Extra ya Clouds FM leo na Spoti Leo ya Radio One.
Hivi wana Yanga SC Wenzangu ni kwanini huyu GSM ma Injinia Hersi wake pamoja na hawa akina Bumbuli na Manara wanapenda Kutufanya Sisi wana Yanga SC wote ni Mazuzu ( Mandunduna ) na Wapumbavu ( Mapopoma ) halafu tunawanyamazia hivi?
Sasa naomba tuache kabisa Uwoga na twendeni Klabuni pale Jangwani Kesho tukagomee kila lifanywalo na GSM ndani ya Klabu yetu ya Yanga SC na kisha twendeni kwa Wachezaji tuwaambie kuwa Wajifungishe hasa Mechi ya NBC Premier League Jumapili hii na pia na Mbao FC Wikiendi ijayo katika Michuano ya ASFC ili tuwakomeshe.
Wana Yanga SC tuungane katika hili kwani GSM na akina Manara na Bumbuli wameshatuona ,'hamnazo' hivyo na Sisi tusikubali na kama vipi watuachie tu Timu yetu kwani hata Sisi tunaweza Kuihudumia tena kuliko Wao ( GSM ) ambao Kutwa wanatunyonya zaidi na Yanga SC haifadiki na lolote lile zaidi ya Kudanganywa danganywa kila Siku ( Uchao )
Chanzo: Sports Extra ya Clouds FM leo na Spoti Leo ya Radio One.
Hivi wana Yanga SC Wenzangu ni kwanini huyu GSM ma Injinia Hersi wake pamoja na hawa akina Bumbuli na Manara wanapenda Kutufanya Sisi wana Yanga SC wote ni Mazuzu ( Mandunduna ) na Wapumbavu ( Mapopoma ) halafu tunawanyamazia hivi?
Sasa naomba tuache kabisa Uwoga na twendeni Klabuni pale Jangwani Kesho tukagomee kila lifanywalo na GSM ndani ya Klabu yetu ya Yanga SC na kisha twendeni kwa Wachezaji tuwaambie kuwa Wajifungishe hasa Mechi ya NBC Premier League Jumapili hii na pia na Mbao FC Wikiendi ijayo katika Michuano ya ASFC ili tuwakomeshe.
Wana Yanga SC tuungane katika hili kwani GSM na akina Manara na Bumbuli wameshatuona ,'hamnazo' hivyo na Sisi tusikubali na kama vipi watuachie tu Timu yetu kwani hata Sisi tunaweza Kuihudumia tena kuliko Wao ( GSM ) ambao Kutwa wanatunyonya zaidi na Yanga SC haifadiki na lolote lile zaidi ya Kudanganywa danganywa kila Siku ( Uchao )