Wana Yanga SC wenzangu Kura zetu zote tumpe Profesa Mshindo Msolla na Tajiri Eliud Mvela Siku ya Uchaguzi Mkuu Jumapili Kesho Kutwa

Genta muhuni sana,karusha furushi LA nyuki gheto LA Yanga halafu kakimbia anasikilizia tu Yanga wanavyopiga mayowe
 
Wanayanga tusiyumbishwe tufanye maamuzi sahihi ambayo yataitoa timu hapa ilipo!! Hata Mzee Akilimali nae alituambia tumchague Igangula na akatuambia ndio atatutoa tulipo mwisho wa siku Igangula kakimbia aibu!
 
Hili jamaa ni la kupuuzwa ni limbumbumbu fc
 


Ndugu yangu title ya Msolla mgombea wa Yanga ni 'Doctor' na siyo 'Professa'...ila ni kweli kaka yake ni Professa na ambaye aliwahi kuwa Waziri...ila huyu mgombea wa Yanga ni Dr. Msolla na nadhani 'udaktari' wake ameupata baada ya kusomea na kufanya utafiti wa kitu kinachohusiana na 'soil science' kama sijakosea...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…