GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
We ni kolo sema naamWengi wenu hamnifahamu ' Personally' hivyo koseeni tu mumpe Kura zenu za Njaa na Kutumika na GSM kwa kumpa Urais wa Yanga SC Injinia Hersi Said kisha GENTAMYCINE nipandwe na Hasira zangu Kali za Kizanaki, Kimakuwa na Kitutsi kutoka nchini Rwanda na niitoshe 'Press Conference' ya Kutangaza rasmi Kuhamia Simba SC ambako nimeshaoteshwa kuwa Mwakani ( Msimu Ujao ) kutakuwa ni Kutamu na Kumenoga zaidi kwani kuna Majembe mapya kama Nane ( 8 ) hivi tena ya maana yanaenda Kusajiliwa ambapo kuna uwezelano mkubwa tu Simba SC ya Msimu ujao ikawa Bingwa ndani tu ya Mzunguko wa Kwanza wa Ligi Kuu ya NBC.
Tutanuniana sana mwaka huu Kudadadeki.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mwamba ni kama comedian fulan hv,,, sem watu mnamchukuliaga serious kinyama
Ila Genta dahh!Wengi wenu hamnifahamu ' Personally' hivyo koseeni tu mumpe Kura zenu za Njaa na Kutumika na GSM kwa kumpa Urais wa Yanga SC Injinia Hersi Said kisha GENTAMYCINE nipandwe na Hasira zangu Kali za Kizanaki, Kimakuwa na Kitutsi kutoka nchini Rwanda na niitoshe 'Press Conference' ya Kutangaza rasmi Kuhamia Simba SC ambako nimeshaoteshwa kuwa Mwakani ( Msimu Ujao ) kutakuwa ni Kutamu na Kumenoga zaidi kwani kuna Majembe mapya kama Nane ( 8 ) hivi tena ya maana yanaenda Kusajiliwa ambapo kuna uwezelano mkubwa tu Simba SC ya Msimu ujao ikawa Bingwa ndani tu ya Mzunguko wa Kwanza wa Ligi Kuu ya NBC.
Tutanuniana sana mwaka huu Kudadadeki.
hahahaha hamia tu hukohuko makolokoloniii!!!YANGA NI LIDUDE LIKUBWAAAA HVIII HULIWEZI!Wengi wenu hamnifahamu ' Personally' hivyo koseeni tu mumpe Kura zenu za Njaa na Kutumika na GSM kwa kumpa Urais wa Yanga SC Injinia Hersi Said kisha GENTAMYCINE nipandwe na Hasira zangu Kali za Kizanaki, Kimakuwa na Kitutsi kutoka nchini Rwanda na niitoshe 'Press Conference' ya Kutangaza rasmi Kuhamia Simba SC ambako nimeshaoteshwa kuwa Mwakani ( Msimu Ujao ) kutakuwa ni Kutamu na Kumenoga zaidi kwani kuna Majembe mapya kama Nane ( 8 ) hivi tena ya maana yanaenda Kusajiliwa ambapo kuna uwezelano mkubwa tu Simba SC ya Msimu ujao ikawa Bingwa ndani tu ya Mzunguko wa Kwanza wa Ligi Kuu ya NBC.
Tutanuniana sana mwaka huu Kudadadeki.
Jamaa utakuwa tahira aisee....we si umesema ni mwana yanga? Vp hapa tena 👇🤔Wengi wenu hamnifahamu ' Personally' hivyo koseeni tu mumpe Kura zenu za Njaa na Kutumika na GSM kwa kumpa Urais wa Yanga SC Injinia Hersi Said kisha GENTAMYCINE nipandwe na Hasira zangu Kali za Kizanaki, Kimakuwa na Kitutsi kutoka nchini Rwanda na niitoshe 'Press Conference' ya Kutangaza rasmi Kuhamia Simba SC ambako nimeshaoteshwa kuwa Mwakani ( Msimu Ujao ) kutakuwa ni Kutamu na Kumenoga zaidi kwani kuna Majembe mapya kama Nane ( 8 ) hivi tena ya maana yanaenda Kusajiliwa ambapo kuna uwezelano mkubwa tu Simba SC ya Msimu ujao ikawa Bingwa ndani tu ya Mzunguko wa Kwanza wa Ligi Kuu ya NBC.
Tutanuniana sana mwaka huu Kudadadeki.