Wana Yanga SC wenzangu nashauri Kikosi chetu cha Kumuua Mnyama Jumamosi kiwe hiki

Wana Yanga SC wenzangu nashauri Kikosi chetu cha Kumuua Mnyama Jumamosi kiwe hiki

Sikuwahi kuwaza kama mtu mwenye akili zake timamu kama wewe anaweza kuwa mshabiki na mpenzi wa mambumbumbu fc! Tangu nimejua hilo nimejikuta nakuona nawe ni mbumbumbu pia vile vile ...tuache na Yanga yetu timu ya wenye uelewa
 
  1. Ben Kakolanyi
  2. Ramazan Kessy
  3. Haji Mwinyi
  4. Patrick ( Pato ) Ngonyani
  5. Nadir Haroub ( Nahodha )
  6. Juma Makapu
  7. Geofrey Mwashiuya
  8. Raphael Daud
  9. Emanuel Martin
  10. Donald Ngoma
  11. Amis Tambwe
Nina uhakika kabisa wana Yanga SC wenzangu hasa tuliopo humu Jamvini JF mtakubaliana kabisa na Mimi Mwana Yanga mwenzenu wa ' Kutukuka ' kabisa GENTAMYCINE kwamba ama hakika kwa Kikosi hiki Mnyama ( Simba SC ) hatoki siku hiyo na tukimkosa kosa sana basi kwa Kikosi hiki tu tunamfunga Goli 5 au 7.

Kwakuwa GENTAMYCINE nipo karibu sana na Kocha wetu George Lwandamina na Katibu Mkuu wa Yanga Charles Boniface Mkwasa naombeni maoni yenu ya haraka haraka ili kama Kikosi hiki mmekiridhia basi nikamkabidhi haraka Kocha ili nae ' akibariki ' na kipelekwe upesi kwa ' Mganga ' wetu kule ' Matombo ' na ' Mang'ula ' Mkoani Morogoro ili wakapikwe vyema Kindumba / Kiuchawi kusudi Simba SC afungwe Jumamosi Shamba la Bibi.

Nawasilisha.
  1. Among life's many mysteries, I have often wondered why we designate as 'common sense' a trait in such short supply? - Anonymous -
 
Inaonekana uwepo wangu humu ' unakukwaza ' na ' unaumia ' sana Mkuu. Kwani Mimi kuwepo humu ndiyo nakusababishia hayo maisha yako magumu na ya ' Kimasikini ' kuzidi kukuandama? Hapa najinunulia internet bundle mwenyewe unanichukia hivi ingekuwaje kama Wewe ndiyo ungekuwa unanipa hela ya bundle? Pumbavu Wahed Wewe pambana na hali yako na acha kupoteza muda wako na ' Purely Talented and Charismatic Felle ' GENTAMYCINE kwani hutoniweza na unaweza hata ukajikuta unakuwa taahira / chizi kwa ' Kunichukia ' Mimi huku mwenzako maisha yangu yakiwa katika ' mteremko ' halafu natiriririka na naserereka nayo kwa raha zangu.
Lugha uliyotumia inadhihirisha upumbavu ulio nao, siwezi kukuchukia mtu nisiyekufaham.
 
Kapange kulialia FC... Kwanza, sisi cha kwetu tuachie wenyewe
 
Kwenye list yako ni wawili wanaweza kuanza.
Imefika mahali wa Msimbazi anapanga Kikosi cha Jangwani.
Kipigo kipo pale pale. Yanga ataingia kama underdog dhidi ya Kikosi cha 1.3 billion.
Nyingi katika hizo 1.3 billion ziliishia kwa Makofia, Aveva na Kaburu, watoto wa mjini.
Mkuu... Msikilize Ndala mwezako ikiwezekana mjadili hili la Simba SC kutaka kuchezesha wachezaji 8 uwanjani badala ya 11 wanajiamini nini?

Maana wanasema Mnyama ataondoka na goli 3 bila majibu
 
Lugha uliyotumia inadhihirisha upumbavu ulio nao, siwezi kukuchukia mtu nisiyekufaham.

Ni kweli Mkuu hata hivyo ' Upumbavu ' nilionao haujauzidi ule uliopo katika Familia yako na Koo zako zote mbili ya Kiumeni na Kiukeni.
 
  1. Ben Kakolanyi
  2. Ramazan Kessy
  3. Haji Mwinyi
  4. Patrick ( Pato ) Ngonyani
  5. Nadir Haroub ( Nahodha )
  6. Juma Makapu
  7. Geofrey Mwashiuya
  8. Raphael Daud
  9. Emanuel Martin
  10. Donald Ngoma
  11. Amis Tambwe
Nina uhakika kabisa wana Yanga SC wenzangu hasa tuliopo humu Jamvini JF mtakubaliana kabisa na Mimi Mwana Yanga mwenzenu wa ' Kutukuka ' kabisa GENTAMYCINE kwamba ama hakika kwa Kikosi hiki Mnyama ( Simba SC ) hatoki siku hiyo na tukimkosa kosa sana basi kwa Kikosi hiki tu tunamfunga Goli 5 au 7.

Kwakuwa GENTAMYCINE nipo karibu sana na Kocha wetu George Lwandamina na Katibu Mkuu wa Yanga Charles Boniface Mkwasa naombeni maoni yenu ya haraka haraka ili kama Kikosi hiki mmekiridhia basi nikamkabidhi haraka Kocha ili nae ' akibariki ' na kipelekwe upesi kwa ' Mganga ' wetu kule ' Matombo ' na ' Mang'ula ' Mkoani Morogoro ili wakapikwe vyema Kindumba / Kiuchawi kusudi Simba SC afungwe Jumamosi Shamba la Bibi.

Nawasilisha.
Utakuwa shabiki wa mnyama wewe!!!!
 
Ni kweli Mkuu hata hivyo ' Upumbavu ' nilionao haujauzidi ule uliopo katika Familia yako na Koo zako zote mbili ya Kiumeni na Kiukeni.
Duuh! Naona unazidi kujidhihirisha umahili wako wa msimbazi
 
Mkuu... Msikilize Ndala mwezako ikiwezekana mjadili hili la Simba SC kutaka kuchezesha wachezaji 8 uwanjani badala ya 11 wanajiamini nini?

Maana wanasema Mnyama ataondoka na goli 3 bila majibu
Hakuna wa kuwaweza kwa tambo zenu. Huu mwaka wa ngapi mnapiga kelele tu lakini ndoo nyumbani Jangwani?
Goli tatu za mganga wenu siyo za uwanjani!
Mtakula 2 kwa moja. Ajibu na Chirwa kwenye scoresheet.
 
Utakuwa shabiki wa mnyama wewe!!!!

Kwanini Mkuu wakati kila Mtu humu mpaka mwana Yanga SC mwenzetu tena wa Kindakindaki kabisa Joseverest anajua kwamba GENTAMYCINE si tu Mshabiki au Mpenzi wa Yanga SC bali ni Mwanachama hai ( siyo Jimbo la Mbowe Moshi ) wa Dar es Salaam Young African na Kadi yangu mwishoni inaishia na 73 huku mbele yake ikitanguliwa na ' tarakimu ' zingine Nne. Mkuu yaani wala usijali Jumamosi Simba SC hatoki Uwanja wa Uhuru na kwa Kikosi hicho ' Kikali ' kabisa nilichokiweka hapo sioni ' Mnyama ' atapenyea wapi siku hiyo.
 
Duuh! Naona unazidi kujidhihirisha umahili wako wa msimbazi

Principle yangu ya Kimaisha na hasa niwapo humu Jamvini bado haijabadilika na haitabadilika ambapo Wewe ' ukijamba ' tu basi Mimi ' nakunya ' kabisa.
 
Principle yangu ya Kimaisha na hasa niwapo humu Jamvini bado haijabadilika na haitabadilika ambapo Wewe ' ukijamba ' tu basi Mimi ' nakunya ' kabisa.
Sawa mkuu ila hiyo principle yako inakufunua ulivyo japo nilikuwa nakugroup kwenye group lisilo lako
 
Hakuna wa kuwaweza kwa tambo zenu. Huu mwaka wa ngapi mnapiga kelele tu lakini ndoo nyumbani Jangwani?
Goli tatu za mganga wenu siyo za uwanjani!
Mtakula 2 kwa moja. Ajibu na Chirwa kwenye scoresheet.
Hawa watu wana ufahamu mdogo sana
 
Papi Kabamba Tshishimbi mkongo man anakosekana hapo....
 
GENTAMYCINE wewe si ulisema unaichukia YANGA kwenye ule uzi mwingine ??? sasa hivi umekuwa shabiki hahah

Kuna Mtu kule ali ' hack ' ID yangu ila huyu sasa ndiye GENTAMYCINE mwenyewe na nawaomba wote mniamini kwamba Mimi ni mwana Yanga SC mwenzenu hivyo nipeni ushirikino wenu mkubwa ili tuweze kuifunga Simba SC Jumamosi tuzidi kupata raha na kutamba hapa mjini. Na ushirikiano wenu mkubwa wana Yanga SC ninaouomba kutoka Kweni ni kwamba nimesikia Yanga SC imeweka Kambi yake sehemu ya Siri huko Mkoani Morogoro ila Mimi GENTAMYCINE kuna baadhi ya Zawadi kama Maji na Glucose ambazo nimezinunua nataka kuwapelekea Wachezaji wetu wa Yanga SC huko walipo Kambini je kuna Mwana Yanga mwenzetu yoyote labda anaweza akanisaidia kujua Klabu yetu ya Yanga ipo mahala gani na unafikaje huko na mazingira yake yapoje? Ewe mwana Yanga SC mwenzangu ' ushirikiano ' wako wa kunipa malekezo hayo ninayoyataka ndiyo ushindi wetu dhidi ya Simba SC Jumamosi.
 
Papi Kabamba Tshishimbi mkongo man anakosekana hapo....

Hajui kitu yule Mkuu namba yake tutamchezesha Kiungo bora kabisa kwa sasa ndani ya Yanga SC aitwae Juma Makapu. Ni mzuri na hata Kaizer Chiefs ya South Africa na Zamalek FC ya Egypt wameleta ' Ofa ' wanataka kumsajili kwa Tsh Milioni 390 za Kitanzania.
 
Back
Top Bottom