Wana Yanga SC Wote wa JF msijifanye hamjamsikia aliyewawekeni Mfukoni mwake Injinia Hersi Said hasa juu ya hili......

Wana Yanga SC Wote wa JF msijifanye hamjamsikia aliyewawekeni Mfukoni mwake Injinia Hersi Said hasa juu ya hili......

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Unamkuta mwana Yanga kama Frank Wanjiru na Daudi Mchambuzi wanaropoka sana huko Redioni, katika Runinga ba Mitandaono kuisema vibaya Yanga SC yetu ila ukiangalia kama Mwanachama amechangia Pesa yoyote unakuta hakuna. Yanga SC hii sasa tumedhamiria kuachana na Wapuuzi kama hawa ambapo tumeanzisha Utaratibu ili Lawama zako zisikike na Uongozi na ufanyiwe Kazi Kwanza unatakiwa uwe hudaiwi Pesa kama Mwanachama na pia uwe umejiunga na Kundi Maalum la Wanayanga la Mtandaoni ambako huko na kwenyewe utalipia Ada fulani ili unayoyasema yawe yanasikika. Hii ni Yanga SC mpya na tunamaanisha" amesema Injinia Hersi Said ( Tajiri aliyeiweka Yanga SC yote Mfukoni na anaifanya atakavyo ) mapema Wiki hii alipokuwa akiongea ( akibwabwaja ) na Clouds FM katika Kipindi chao cha Michezo cha Sports Extra.

Hawa JF Members niliowataja hapa nimewachomekea tu ( Kiutani ) kwakuwa nawajua ni wana Yanga SC lia lia ila hayo maneno mengineyo yote niliyoyanukuu hapo Injinia Hersi Said aliyasema.

Hakika GSM wameshajimilikisha Yanga.
 
Kwa ufupi ni kwamba Umaskini ni janga kubwa zaidi na ndiyo fimbo inayowacha Yanga na Boss keshaanza kuonesha makucha that means kwenye mfumo kamili wa uendeshaji ni lazima yeye (GSM ) awe mwanahisa hata akilipa sh milion 1 maana ndiye msimamia show nzima ya mabadiliko
 
"Unamkuta mwana Yanga kama Frank Wanjiru na Daudi Mchambuzi wanaropoka sana huko Redioni, katika Runinga ba Mitandaono kuisema vibaya Yanga SC yetu ila ukiangalia kama Mwanachama amechangia Pesa yoyote unakuta hakuna. Yanga SC hii sasa tumedhamiria kuachana na Wapuuzi kama hawa ambapo tumeanzisha Utaratibu ili Lawama zako zisikike na Uongozi na ufanyiwe Kazi Kwanza unatakiwa uwe hudaiwi Pesa kama Mwanachama na pia uwe umejiunga na Kundi Maalum la Wanayanga la Mtandaoni ambako huko na kwenyewe utalipia Ada fulani ili unayoyasema yawe yanasikika. Hii ni Yanga SC mpya na tunamaanisha" amesema Injinia Hersi Said ( Tajiri aliyeiweka Yanga SC yote Mfukoni na anaifanya atakavyo ) mapema Wiki hii alipokuwa akiongea ( akibwabwaja ) na Clouds FM katika Kipindi chao cha Michezo cha Sports Extra.

Hawa JF Members niliowataja hapa nimewachomekea tu ( Kiutani ) kwakuwa nawajua ni wana Yanga SC lia lia ila hayo maneno mengineyo yote niliyoyanukuu hapo Injinia Hersi Said aliyasema.

Hakika GSM wameshajimilikisha Yanga.
Na yule aliyesema timu flani ni mkewe wa pili?
 
"Unamkuta mwana Yanga kama Frank Wanjiru na Daudi Mchambuzi wanaropoka sana huko Redioni, katika Runinga ba Mitandaono kuisema vibaya Yanga SC yetu ila ukiangalia kama Mwanachama amechangia Pesa yoyote unakuta hakuna. Yanga SC hii sasa tumedhamiria kuachana na Wapuuzi kama hawa ambapo tumeanzisha Utaratibu ili Lawama zako zisikike na Uongozi na ufanyiwe Kazi Kwanza unatakiwa uwe hudaiwi Pesa kama Mwanachama na pia uwe umejiunga na Kundi Maalum la Wanayanga la Mtandaoni ambako huko na kwenyewe utalipia Ada fulani ili unayoyasema yawe yanasikika. Hii ni Yanga SC mpya na tunamaanisha" amesema Injinia Hersi Said ( Tajiri aliyeiweka Yanga SC yote Mfukoni na anaifanya atakavyo ) mapema Wiki hii alipokuwa akiongea ( akibwabwaja ) na Clouds FM katika Kipindi chao cha Michezo cha Sports Extra.

Hawa JF Members niliowataja hapa nimewachomekea tu ( Kiutani ) kwakuwa nawajua ni wana Yanga SC lia lia ila hayo maneno mengineyo yote niliyoyanukuu hapo Injinia Hersi Said aliyasema.

Hakika GSM wameshajimilikisha Yanga.
huo ndo ulikua mpango wetu wanayanga
 
Kwa ufupi ni kwamba Umaskini ni janga kubwa zaidi na ndiyo fimbo inayowacha Yanga na Boss keshaanza kuonesha makucha that means kwenye mfumo kamili wa uendeshaji ni lazima yeye (GSM ) awe mwanahisa hata akilipa sh milion 1 maana ndiye msimamia show nzima ya mabadiliko
Wana Yanga SC walishaonywa kuhusu hawa Wajanja Wajanja ( Samjo Samjo' akina GSM ( zamani HSC ) ila wakadharau na Kupuuza ila sasa ndiyo watajua kwanini Nyoka hana Ugoko na kwanini Wimbo wa Taifa huwa hauna Kolabo Kudadadeki zao.
 
Acha chokochoko tafadhali,tuachie Yanga yetu ww Kolo mambo ya Yanga yanakuhusu nn??
Mbona nyie Mwamedi kawaweka kwenye mfuko wa shati na hamfurukuti chochote sisi tumetulia tu?


Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
"Unamkuta mwana Yanga kama Frank Wanjiru na Daudi Mchambuzi wanaropoka sana huko Redioni, katika Runinga ba Mitandaono kuisema vibaya Yanga SC yetu ila ukiangalia kama Mwanachama amechangia Pesa yoyote unakuta hakuna. Yanga SC hii sasa tumedhamiria kuachana na Wapuuzi kama hawa ambapo tumeanzisha Utaratibu ili Lawama zako zisikike na Uongozi na ufanyiwe Kazi Kwanza unatakiwa uwe hudaiwi Pesa kama Mwanachama na pia uwe umejiunga na Kundi Maalum la Wanayanga la Mtandaoni ambako huko na kwenyewe utalipia Ada fulani ili unayoyasema yawe yanasikika. Hii ni Yanga SC mpya na tunamaanisha" amesema Injinia Hersi Said ( Tajiri aliyeiweka Yanga SC yote Mfukoni na anaifanya atakavyo ) mapema Wiki hii alipokuwa akiongea ( akibwabwaja ) na Clouds FM katika Kipindi chao cha Michezo cha Sports Extra.

Hawa JF Members niliowataja hapa nimewachomekea tu ( Kiutani ) kwakuwa nawajua ni wana Yanga SC lia lia ila hayo maneno mengineyo yote niliyoyanukuu hapo Injinia Hersi Said aliyasema.

Hakika GSM wameshajimilikisha Yanga.

"Unamkuta mwana Yanga kama Frank Wanjiru na Daudi Mchambuzi wanaropoka sana huko Redioni, katika Runinga ba Mitandaono kuisema vibaya Yanga SC yetu ila ukiangalia kama Mwanachama amechangia Pesa yoyote unakuta hakuna. Yanga SC hii sasa tumedhamiria kuachana na Wapuuzi kama hawa ambapo tumeanzisha Utaratibu ili Lawama zako zisikike na Uongozi na ufanyiwe Kazi Kwanza unatakiwa uwe hudaiwi Pesa kama Mwanachama na pia uwe umejiunga na Kundi Maalum la Wanayanga la Mtandaoni ambako huko na kwenyewe utalipia Ada fulani ili unayoyasema yawe yanasikika. Hii ni Yanga SC mpya na tunamaanisha" amesema Injinia Hersi Said ( Tajiri aliyeiweka Yanga SC yote Mfukoni na anaifanya atakavyo ) mapema Wiki hii alipokuwa akiongea ( akibwabwaja ) na Clouds FM katika Kipindi chao cha Michezo cha Sports Extra.

Hawa JF Members niliowataja hapa nimewachomekea tu ( Kiutani ) kwakuwa nawajua ni wana Yanga SC lia lia ila hayo maneno mengineyo yote niliyoyanukuu hapo Injinia Hersi Said aliyasema.

Hakika GSM wameshajimilikisha Yanga.
Ni baya lipi apo aliloongea hersi lililokufanya mpaka ukafungua uzi, kuwaambia wanachama walipie kadi zao? Katiba ya yanga kwa sasa unaelewa inasema nini juu ya wanachama na mashabiki? Kama uelewi kitu juu ya ilo basi usiwe unapost upuuzi apa, watu wako wanahamasisha na kutoa elimu juu ya kadi za uanachama wewe unaleta ushambenga wako wa kikuda na wivu juu, nenda kahoji kwanza habari za mwamed na babra ukimaliza uko ndo uje kuhoji habari zisizokuusu za timu ya wananchi
 
Back
Top Bottom