Wana-Yanga tusikubali matumizi mabaya ya fedha ya klabu. Kama Ally Kamwe yupo, Mzee Manara anarudi kufanya nini? Mbona Simba Ahmed Ally anatosha?

Wana-Yanga tusikubali matumizi mabaya ya fedha ya klabu. Kama Ally Kamwe yupo, Mzee Manara anarudi kufanya nini? Mbona Simba Ahmed Ally anatosha?

Leo katika mkutano na wanahabari, yaani ikawa mvurugano tu, hamna consistency. Vitu vichache wamejaa wasemaji wawili.

Anyway, tajiri ameamua lazima Manara awemo, sababu anaijua yeye. Kama ulivyosema hapo juu, imebidi wagawane vitu vya kuzungumza:

1722259315385.png
 
Naona kazi ya usemaji babu yetu Mzee Manara na yeye kaiingilia, yaani kazi iliyofanywa kwa ufanisi na weledi mkubwa, leo anaongezwa mtu mwingine.

Leo katika mkutano na wanahabari, yaani ikawa mvurugano tu, hamna consistency. Vitu vichache wamejaa wasemaji wawili. Vionjo vya Ali Kamwe vina miksa ya utaalamu wa ndani kabisa, lakini vionjo vya Manara ni vya wale wanaouza bidhaa kwa minada ya benki au wale wauza mitumba wa mitaani wenye vispika.

Kamwe aliuondoa usemaji kutoka hali ya zamani ya usema hovyo, kuwa package kamili ambayo ina proffessionalism.

Mbona Ahmed Ally ni jeshi tosha kabisa kwa upande wa Simba? Huyo Manara wa nini?

Mimi nimemuangalia leo, sura ina makunyanzi, ishara tosha kabisa kwamba huyu ni mzee wa miaka kama 55, anakaribia kustaafu, watu wengi wa Tanzania ni vijana, unawaletea lizee kama hilo badala ya kijana mwenzao?

Manara alikuwa anaenda kucheza muziki enzi za Moro Jazz, Cuban Marimba, na Marijani Rajabu, ndio ataelewama na hawa vijana?

#bwawaLimeingiaRuba
Wewe hadi ada ya uanachama hujalipa. Kaa kwa kutulia.
 
Kama gsm anaweza kuwalipa wote wewe unapungukiwa nini? Unachangia kiasi Gani mpaka useme matumizi mabovu ya fedha za klabu?
acha watu wapate kazi.
 
Back
Top Bottom