chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Naona kazi ya usemaji babu yetu Mzee Manara na yeye kaiingilia, yaani kazi iliyofanywa kwa ufanisi na weledi mkubwa, leo anaongezwa mtu mwingine.
Leo katika mkutano na wanahabari, yaani ikawa mvurugano tu, hamna consistency. Vitu vichache wamejaa wasemaji wawili. Vionjo vya Ali Kamwe vina miksa ya utaalamu wa ndani kabisa, lakini vionjo vya Manara ni vya wale wanaouza bidhaa kwa minada ya benki au wale wauza mitumba wa mitaani wenye vispika.
Kamwe aliuondoa usemaji kutoka hali ya zamani ya usema hovyo, kuwa package kamili ambayo ina proffessionalism.
Mbona Ahmed Ally ni jeshi tosha kabisa kwa upande wa Simba? Huyo Manara wa nini?
Mimi nimemuangalia leo, sura ina makunyanzi, ishara tosha kabisa kwamba huyu ni mzee wa miaka kama 55, anakaribia kustaafu, watu wengi wa Tanzania ni vijana, unawaletea lizee kama hilo badala ya kijana mwenzao?
Manara alikuwa anaenda kucheza muziki enzi za Moro Jazz, Cuban Marimba, na Marijani Rajabu, ndio ataelewama na hawa vijana?
#bwawaLimeingiaRuba
Leo katika mkutano na wanahabari, yaani ikawa mvurugano tu, hamna consistency. Vitu vichache wamejaa wasemaji wawili. Vionjo vya Ali Kamwe vina miksa ya utaalamu wa ndani kabisa, lakini vionjo vya Manara ni vya wale wanaouza bidhaa kwa minada ya benki au wale wauza mitumba wa mitaani wenye vispika.
Kamwe aliuondoa usemaji kutoka hali ya zamani ya usema hovyo, kuwa package kamili ambayo ina proffessionalism.
Mbona Ahmed Ally ni jeshi tosha kabisa kwa upande wa Simba? Huyo Manara wa nini?
Mimi nimemuangalia leo, sura ina makunyanzi, ishara tosha kabisa kwamba huyu ni mzee wa miaka kama 55, anakaribia kustaafu, watu wengi wa Tanzania ni vijana, unawaletea lizee kama hilo badala ya kijana mwenzao?
Manara alikuwa anaenda kucheza muziki enzi za Moro Jazz, Cuban Marimba, na Marijani Rajabu, ndio ataelewama na hawa vijana?
#bwawaLimeingiaRuba