Wana Yanga wenzangu kinachoenda kufanyika Sudan na Al Hilal siyo mpira ni vita!


Mnajipa presha bure, Nabi ameshaifundisha hiyo timu, anaijua vizuri.
 
CAF ni chama Cha hovyo sana mpaka Leo hii watu hawataki kuonyesha mechi kwenye tv


Caf hawahusiki na play offs... caf wana maamuzi na mechi za champions league kuanzia group stage mpaka fainali..

Huko mbele timu hazina maamuzi ya kukataa mechi kuoneshwa wala nini.. maana tv rights zinakuwa mali ya Caf wenyewe sio mali ya timu


Mashindano ya caf champions league huwa yanaanzia group stage...

Huku chini Caf hawahusiki sana ndio maana yanga wamevaa jezi ina logo ya sportpesa na simba ina logo ya mbet, kuanzia group stage logo za sportpesa na mbet zitafutwa kabisa kwenye jezi za simba na yanga na jezi zao zitabandikwa logo ya caf kwenye mabega

Kuanzia group stage mashindano yanakuwa mali ya caf simba na yanga kama zikifuzu utaona jezi zao zinaondolewa logo ya sportpesa na mbet maana mashindano na tv rights za timu zote yanakuwa mali ya Caf
 
Sasa hilo linawazuia nini kufuzu ama kushindwa?
 
Hivi kwanini hawa Wasudani wanaachiwa kufanya watakalo kwenye michuano hii ya CAF..!

Kipindi kile Al Ahly Shendi walifanya vurugu sana dhidi ya Simba SC

Hata kama Yanga wanawakusudia kuwanyonga, ndo wawanyonge kwenye giza kweli...?!
Sasa kwa Yanga hii ya akina Morrison, ndiyo ya kufanyiwa vurugu kweli! Waoneshe huo mchezo, wasioneshe! Bado kwa upande wao hautakuwa mchezo mwepesi hata kidogo.

Lolote linaweza kutokea kwa Yanga ya msimu huu.
 
Uto waache tabia yao mbaya ya kupokea wageni wanaocheza na Mnayama.huko Sudan naona kuna ukatili mkubwa Uto wanaenda kukutana nao.
 
Caf hawahusiki na play offs... caf wana maamuzi na mechi za champions league kuanzia group stage mpaka fainali..

Huko mbele timu hazina maamuzi ya kukataa mechi kuoneshwa wala nini.. maana tv rights zinakuwa mali ya Caf wenyewe sio mali ya timu
Duh, watatunyima uhondo hawa Wajinga.
 
Kwa nini mlijipendekeza kuwapa jezi? Yaani hapa Dar tuliwawekea friendly environment ndio maana wakacheza kwa amani bila pressure. Sasa ni zamu yetu kujifunza the hard way. Tulikuwa na maana gani hasa kujipendekeza kwa adui?
Simba Sc walipowaletea ngumu akina Orlando, Kizer kiasi cha wao kwenda kulia kwenye media zao za SA, mlikaa na kuwatetea kwa kila aina. Wengine mkaenda mbali zaidi kujifanya wema, eti mnawapa maangalizo na mbinu chafu za Simba Sc[emoji23].

Ndomaana tuliwaambia nyinyi na uongozi wenu bado sana kwenye kuzicheza hizi mechi za kimataifa, kwanza picha linaanza tangu mwanza waliwaingiza kwenye mtego wa kufanya muamini kuwa wao ni vibonde ili wawaharibu kisaikolojia na mkaingia kingi, jamaa walicheza mechi nyingi za kirafiki na kugungwa hovyo ili kuwalemaza msiwape attention kubwa.

TULISIKIA

Kama Hilal kacheza na Simba Sc na kashinda kagoli kamoja, kaenda kacheza na Academy ya Tp Mazembe kapigwa 3-0 sisi Yanga ni lazima tumpige kama ngoma[emoji23]. WENZENU NI WAJANJA.
 
Hi mechi Nina wasi wasiwasi wanaweza wakachezeshwa bila milingoti ya magoli.
Na matokeo yakatoka 0-0
Utopolo OUT
 
aya yote tumeyataka wenyewe tungempiga 3 kavu apa home ata wangesema mechi ichezwe kwenye majahazi tungekubali
Uwezo wa kumpiga 3 Hilal hamna, ule mtego wao wa kufungwa hovyo kwenye game zao za kirafiki usiwafanye mkawaona ni vibonde mnaolingana nao.

We lingamisha hata thamani ya vikosi kati ya Hilal na nyinyi Yanga sc, kisha angalia kocha waliyenae ni kocha expensive ambaye nyinyi hamuwezi kumlipa mshahara huo kwa mwaka, wamewazidi kwa mengi mno.

Sio Yanga tu, hata Simba Sc haiwezi kuwaita Hilal vibonde.
 
Hii CAF nayo ni ya hovyo kabisa. Kwanini isisimamie suala la matangazo au kulazimisha timu/nchi kuonyesha jamii ili dunia nzima ione haki inavyotendeka? sasa wanaziachia clab zijiamulie kuna siku wachezaji watauawa uwanjani na hakuna ushahidi
Ni vile sisi kwa umasikini wa team zetu tumeuza haki za matangazo kwa Azam lakini hata sisi tuliwa na uwezo wa kukataa mechi zetu kuonyeshwa, namaanisha CAF hawaingilii haki za matangazo kwa hatua hizi za awala mpaka ikifika hatua za makundi.
 
Yanga itafanya vizuri confederation cup.
Sioni timu ya cecafa itakayofika semi finals za Championships mwaka huu.
Ila kombe la washindi, Yanga itAFANYA VIZURI, NAAMINI HILO.
Inategemeana itakutanishwa na team gani kabla haijawania kuingia makundi ya CAFCC( shirikisho), ikikutanishwa na kisiki cha mpingo kama zile team za nigeria, basi uwezekano unakuwa mdogo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…