SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Hawa waarabu siyo kama ni wagumu kiviile, ndiyo maana wanaanza mikwala mapema,ila mlikosea sana kuwaacha salama hapa, mngewapiga kama migoli mitatu bila wangelegea hata hizo amsha amsha zao zisingekuwa na nguvu. Hawa wanajua wakiwadindia mkatoka sare tasa tu wamepita.Sasa kwa Yanga hii ya akina Morrison, ndiyo ya kufanyiwa vurugu kweli! Waoneshe huo mchezo, wasioneshe! Bado kwa upande wao hautakuwa mchezo mwepesi hata kidogo.
Lolote linaweza kutokea kwa Yanga ya msimu huu.
Hivi mfano kwa wenzetu ulaya Man city wanaweza kuzuia mechi yake na Dortmund Tv zisionyeshe kweli?Kaz ya Caf ni.kuhakikisha mbungi inapigwa uwanjani na si kuoneshwa kwenye Kideo..
Mmechelewa kutambua kwamba mpira wa afrika ni vita. Chakufanya mtumeni injinia akatafute mlango wa uani wa nyie kuingilia uwanjani😂😂😂 mkipita lango kuu mtakua mmekiuka masharti ya mganga wenuUongozi wa Klabu ya Al Hilal umezuia mchezo wao wa Klabu Bingwa dhidi ya Yanga kuonyesha kwenye Tv wala kutangazwa kwenye Redio.
Taarifa zinasema kuwa Azam Media wametoa dau la milioni 200 ili kupata haki ya kuonyesha matangazo hayo, lakini wamezuiliwa.
Japo vyombo mbalimbali vya habari vinaendelea kuonyesha jitihada ya kuweka dau kubwa lakini matajiri hao wa Sudan hawataki mchezo huo uonyeshwe wala kutangazwa kwenye redio.
Kama kutakuwa na mabadiliko taarifa zaidi zitatolewa.
[emoji361]Fox MediaView attachment 2383314
Ukipita huko utakutana na comment mbalimbali ila wewe umechagua hii kwakua inakufariji, hiyo comment moja sio mtazamo wa mashabiki wote wa Al Hilal.Kama unafuatilia media za Sudan hasa page za Al hilal hakuna kitu wanaogopa kama kuja kufungiwa na CAF, muda wote wanahamasisha mashabiki wao kufuata sheria na kutovuka uzio kwenda kwenye uwanja.
Halafu wanawazodowa Simba hawataki urafiki wa kinafki na Simba wa adui wa adui yako ni rafikio.
Wewe kweli ni Achimwene[emoji23]Sudan hakuna tension kama ya Misri, hatuna hofu nao kabisa, Tena Yanga inakwenda kucheza kwenye Ardhi ambayo watia nuksi wa Msimbazi hamna access napo.
Itakuwa ni show moja safi kabisa, wao wenyeww Al hilal wanasema kwenye preliminary wamepangiwa timu ngumu tupu tofauti na timu zingine.
Caf hizi match hawana mpango nazo wao huanza kuzisimamia haki ya matangazo ya televisheni kuanzia makundi. Ndo maana kuna hela nyingi uukoHii CAF nayo ni ya hovyo kabisa. Kwanini isisimamie suala la matangazo au kulazimisha timu/nchi kuonyesha jamii ili dunia nzima ione haki inavyotendeka? sasa wanaziachia clab zijiamulie kuna siku wachezaji watauawa uwanjani na hakuna ushahidi
Unahamisha magoli siyo! Wewe sema tu hao waarabu wenu koko wameingiwa na mchecheto.Ni mwanaume gani anayeweza kufanya mapenzi na mke wake akiwa anarekodiwa? Al Hilal hawataki kurekodiwa wakiwa faragha na wake zao Yanga Sc.
Scars Ghazwat Kalpana njaakalihatari Tate Mkuu mpiga vichwa , je nyinyi hamkubaliani na huu utaratibu mzuri kabisa wa Al Hilal?
😁😁😁 Kuwa serious aisee! Hii Yanga ya sasa ni ya kufumuliwa magoli mengi kweli!! Yaani kama ile simba ya khamsa khamsa!!Duuuh wangeacha tuu tuone wanavyofumuliwa magoli mengi. Any way wameshapata kisingizio tayari cha kusema kuwa wameonewa n.k
Sio kwamba wanawahofia laHawa jamaa wanaihofia Yanga kiasi hiki? Mimi nilidhani ni makolo peke yao kumbe hata Hilal wanahofu ya kukutana na suprise ya ajabu wasije aibika pia ni kwa ajili ya wao kufanya upuuzi wao kwa kigezo cha mpira wa Africa.
Nonsense Hilal huu upuuzi ushapitwa na wakati weka gozi uwanjani waache wasio uwanjani nao wa enjoy football.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nabi alipokua Merrekh alikuwa ni kibonde wa Hilala mpaka pale alipokuja kufurushwa baada ya kupoteza draw na Simba Sc huko Sudan kwenye CAFCL.
Mnajipa presha bure, Nabi ameshaifundisha hiyo timu, anaijua vizuri.
Imagine mchezaji kama Bernard Morrison, eti unamtishia nyau! Aisee anakumaliza. Yaani hao Wasudan waombee Nabi aanzishe tu kikosi dhaifu!Hawa jamaa wanaihofia Yanga kiasi hiki? Mimi nilidhani ni makolo peke yao kumbe hata Hilal wanahofu ya kukutana na suprise ya ajabu wasije aibika pia ni kwa ajili ya wao kufanya upuuzi wao kwa kigezo cha mpira wa Africa.
Nonsense Hilal huu upuuzi ushapitwa na wakati weka gozi uwanjani waache wasio uwanjani nao wa enjoy football.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha hizi kauli zitabadilika baada ya hiyo game kuisha.Sasa kwa Yanga hii ya akina Morrison, ndiyo ya kufanyiwa vurugu kweli! Waoneshe huo mchezo, wasioneshe! Bado kwa upande wao hautakuwa mchezo mwepesi hata kidogo.
Lolote linaweza kutokea kwa Yanga ya msimu huu.
Sasa wale mashabiki wa Yanga ambao walikuwa wanasema Al Hilal ameridhika na matokeo ya kwa Mkapa na kuwa kule kwao wata defense ili wapate sare ya 0-0 wao wavuke naona wameanza kugundua hawakuwa sahihiNi mwanaume gani anayeweza kufanya mapenzi na mke wake akiwa anarekodiwa? Al Hilal hawataki kurekodiwa wakiwa faragha na wake zao Yanga Sc.
Scars Ghazwat Kalpana njaakalihatari Tate Mkuu mpiga vichwa , je nyinyi hamkubaliani na huu utaratibu mzuri kabisa wa Al Hilal?
Umeliweka vizuri hili kabisa..wasome hapakwani mkuu nyie wageni wa michuano hii? kuanzia hatua ya makundi ndipo CAF na wadhamini wao wanaanza ku control mambo ya tv hatua za awali zimeachiwa teams kuuza copyrights wapate hela, kwa hiyo mechi ya dsm yanga walichukua pesa kwa azam, team ikikataa ni haki yake pia kama mechi yenu na rivers utd nigeria haikuonyeshwa
Kwenye makundi hata sponsors wa kamari hawaruhusiwi ndiyo maana simba huwa wanavaa visit tanzania sababu CAf wana sponsor wao 1x bet
Ila baada ya kuja kwa wananchi, akaanza sasa kuwaangushia vipigo mfululizo! Mkijitutumua, basi ni sare!Nabi alipokua Merrekh alikuwa ni kibonde wa Hilala mpaka pale alipokuja kufurushwa baada ya kupoteza draw na Simba Sc huko Sudan kwenye CAFCL.
Afu kule mkapande ngamia au sio?Tumeyataka wenyewe lakini hii mechi ingemalizila apa apa kwa mkapa