Ndiyoo..![emoji2957]Ndiyo.
Comments kama hizi ndio makolo mnapenda kuambiwa mkiona haziji mnalazimisha kuzisema kwa wengine ili mfurahi na kufarijiana Yanga Africa ipigwe mawe.Al Hilal ni vibonde tu, kwanza Yanga Sc inawazidi kila kitu kuanzia pesa mpaka miundombinu, Al Hilal ni underdogs mbele ya Yanga hii yenye uzoefu mkubwa kabisa na haya mashindano ya CAFCLCC.
Yanga hii kwa hapa Africa sioni yoyote wa kuisumbua,hakuna kabisa.
Shindeni sasa bila usaidizi wa Aragija huko CAFCLCC.Hata kama zitabadilika! Bado haiondoi ukweli! Yanga ina kikosi kizuri, na cha ushindani.
wasudani ndio walivyo mkuu kwa figisu za mpira yani wanataka watu wacheze gizaniKwasababu gani.. kwani sheria za Fifa zinasemaje?
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Unazungumzia ukubwa upi? Wapi Yanga ilijinadi ni kubwa kuliko Al Hilal basi kama ni ivyo na sisi turudi tuwaambie Simba ni kubwa kuliko Zamalek, TP, Berkane kama ambavyo baadhi ya mashabiki wenu walivyokua wanajinadi?Kwahiyi mwamba alivyosema Yanga ni team kubwa kuliko Al Hilal kakosea? Si nyinyi ndo mlikuwa mkijinadi hivyo?
Sio kwamba hamzileti kwasababu hamtaki, ni kwasababu mmefundishwa kunyamaza baada ya hiyo game.Comments kama hizi ndio makolo mnapenda kuambiwa mkiona haziji mnalazimisha kuzisema kwa wengine ili mfurahi na kufarijiana Yanga Africa ipigwe mawe.
Sent using Jamii Forums mobile app
ALI KAMWE hakusema kuwa Yanga Sc imewekeza kuliko Al Hilal, au na yeye ni kolo mwenzetu?Unazungumzia ukubwa upi? Wapi Yanga ilijinadi ni kubwa kuliko Al Hilal basi kama ni ivyo na sisi turudi tuwaambie Simba ni kubwa kuliko Zamalek, TP, Berkane kama ambavyo baadhi ya mashabiki wenu walivyokua wanajinadi?
Kauli ya mtu mmoja ambaye hajulikani kama ni shabiki wa Yanga kweli au lah maana mpo wengi humu ni makolo mnajivika UYanga na kuanza kutusemea ndio inatoa justification ya washabiki wote?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila redio anajikutaga anajua kuichambua Simbaa hahahaah yani anakuanga very serious.Sio kwamba hamzileti kwasababu hamtaki, ni kwasababu mmefundishwa kunyamaza baada ya hiyo game.
Sisi tunafanya kuwakumbusha tu ili muendelee[emoji23]View attachment 2383542anakuanView attachment 2383543
Kuna wawakilishi wa CAF kila mechi, hakuna kitakacho fanyika bila CAF kujuaHii CAF nayo ni ya hovyo kabisa. Kwanini isisimamie suala la matangazo au kulazimisha timu/nchi kuonyesha jamii ili dunia nzima ione haki inavyotendeka? sasa wanaziachia clab zijiamulie kuna siku wachezaji watauawa uwanjani na hakuna ushahidi
Hivi wakati Yanga anabutuliwa FA Kigoma,Kocha alikuwa nani?Ila baada ya kuja kwa wananchi, akaanza sasa kuwaangushia vipigo mfululizo! Mkijitutumua, basi ni sare!
Bado hatujamaliza. Kaa kwa kutuliaSio kwamba hamzileti kwasababu hamtaki, ni kwasababu mmefundishwa kunyamaza baada ya hiyo game.
Sisi tunafanya kuwakumbusha tu ili muendelee[emoji23]View attachment 2383542View attachment 2383543
Naomba niletee hiyo kauli aliyosema Yanga ni kubwa kuliko Al Hilal. Maana nyie mnajua sana ku mis interpret maneno ya watu kwa manufaa yenu wenyeweALI KAMWE hakusema kuwa Yanga Sc imewekeza kuliko Al Hilal, au na yeye ni kolo mwenzetu?
yanga ni team kubwa kwa al hilal unataka iwafanyie ubaya? yanga hii kw afrika labda mamelodi, wydad na ahly ndo watabahatisha draw wengine wote wachumba tu
Dah huwa naona unajipa moyo na kikosi chako ila hukumbuki kuwa alhilal nao pia wanakikosi kipana tu na hii ndio inawaumiza sana uto baada ya matokeo ya dakik 90 huwa manaumia sanaImagine mchezaji kama Bernard Morrison, eti unamtishia nyau! Aisee anakumaliza. Yaani hao Wasudan waombee Nabi aanzishe tu kikosi dhaifu!
Ila akipanga kikosi chake kwa usahihi, kiukweli uwezekano wa kufuzu ni mkubwa sana.