Wana Yanga wenzangu kinachoenda kufanyika Sudan na Al Hilal siyo mpira ni vita!

Uongozi wa Klabu ya Al Hilal umezuia mchezo wao wa Klabu Bingwa dhidi ya Yanga kuonyesha kwenye Tv wala kutangazwa kwenye Redio...

Porojo tu za karumekenge hizo! Usitudanganye hapa tutauona tu mnavyonyukwa magoli! Mnataka mkifungwa msingizie kuwa mlifanyiwa fujo kwa vile mpira haukuonyeshwa! Marefa, makamisaa na viongozi wengine wa kimataifa watakuwa pale kwa hiyo kipigo mtakachokula wala hakitakuwa na hujuma!
 
Hizo ngonjera zako zihifadhi tu,kama mlishindwa kuonyesha huo ukubwa wenu hapa basi imeshakula kwenu. Mnaenda kudhalilishwa na kuliabisha Taifa.
 
Imagine mchezaji kama Bernard Morrison, eti unamtishia nyau! Aisee anakumaliza. Yaani hao Wasudan waombee Nabi aanzishe tu kikosi dhaifu!

Ila akipanga kikosi chake kwa usahihi, kiukweli uwezekano wa kufuzu ni mkubwa sana.
Yaani timu kubwa mnaweka matumaini yenu kwa kichaa Morrison? Ama kweli mumevurugwa nyie si bure.
 
Anaehangaika na broadcast ni Azam. Kwa ajili ya biashara zake. Mechi kuonyeshwa au kutokuonyeshwa hakuna athari yoyote uwanjani
 

Na hili ndio kosa lenu Yanga mmewadharau Sana Al Hilal na ndicho wanachotaka.
 
😂😂😂Aunt
 
Yanga itafanya vizuri confederation cup.
Sioni timu ya cecafa itakayofika semi finals za Championships mwaka huu.
Ila kombe la washindi, Yanga itAFANYA VIZURI, NAAMINI HILO.
Mungu awasaidie lakini Al hilal nao si Haba wanajitahidi
 
Ila Al Hilal ndio ana nafasi kubwa ya kushinda maana atmosphere ya uwanja wao usipime.
Hakuna cha atmoshere wala nini, ukiwa na uwezo mkubwa unashinda. Kama atmoahere inawabeba, mbona hawajawahi kuwa mabingwa wa Africa??
 
Sasa unaposema Yanga ni nzuri away kuliko ikiwa Lupaso unakuwa umetumia vigezo vipi? Hiyo ni ishara ya kupagawa mkuu.[emoji23]
Lini wametoka nje kucheza hao Yanga[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!!!muulize
 
Wamekanusha muda mfupi uliopita. Wamesema itakuwa kama walivyotangaza mwanzo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…