Wanaamini Mwamposa anaweza kuniombea nikapata kusikia tena

Wanaamini Mwamposa anaweza kuniombea nikapata kusikia tena

Ukienda,labda ,labda utapata msaada( isipokuwa wewe lazima uamini kwamba kwa hakika utapata msaàda). Swala la wewe kudhurika linakuja vipi?
Mimi nimekwenda pale mara nyingi,na ukiniuliza,I will grudgingly state kwamba watu wanapona pale.
And I think I know why. Ng'ombe wengi wamechinjwa pale,there is a lot of etheric energy.
 
Nina mengi ya kushuhudia.......kupitia madhabahu ya arise & shine watu wengi wamebarikiwa na kuponywa mahitaji yao mbali mbali.....
Shuhuda ni nyingi sana....
Kwa atakae bisha ajaribu kwenda pale afuate maelekezo....Nakuhakikishia atakuja kutupa mrejeshoo hapa.....yaan Ushuhuda.
 
MWAMPOSA msemeni mchoke siku zinavyo zidi kwenda ndivyo watu kutoka dini tofaut, madhehebu tofaut na mataifa wanaenda kanisani kwake na ktk mikutano yake kupata huduma ya kiroho na uponyaji... Endeleeni kumdhihaki maana hakuna jipya mfanyalo... Ushuhuda wangu:- mama yangu 5yrs ago alitakiwa afanyiwe operation ya 3 baada ya operation 2 kutomsaidia chochote... Huku na huku siku 1 akaenda kusali kwa Mwamposa akaombewa akaambiwa rudi nyumban umepona huna haja ya operation kwasabab hio operation zote ni mpango wa shetani kukutoa roho ila huumwi chochote... Alirudi hospital madaktar wakamwambia ajiandae kwa Operation maana asipoifanya anaweza kufa siku yoyote hali imekua mbaya... Mama na Familia kwa pamoja tulikataa asifanyiwe operation... Leo ni mwaka wa 5 mama hajafanyiwa operation na ni mzima wa afya njema na amesahau hata kama aliwahi kuumwa hoi... Guys haya mambo ya imani kama huyaamini kaa kimya, Mimi nilikua sitak kumsikia huyo Mwamposa na wahubiri wengine but from there nilimwambia Mungu anisamehe kwa kukejeri watumish wake... All in all ukitaka kwenda kwa Mwamposa nenda kama hutak usiende sio lazima baki na shida zako utazitatua utavyojua wewe... YESU alisema "IMANI YAKO IMEKUPONYA" haitajiki uwe na imani kubwa kama ya fulani inahitajika imani ndogo sana kama punje ya ulezi... Just a matter of time kila goti litapigwa... AMEN [emoji120]
Lazma tumseme na atapotea kama wahuni wenzake walivyopotea.

Walikuwepo kina kakobe,lusekelo, Tb joshua pamoja na sifa zao na utapeli wao leo hii wako wapi?

So hata ilo jamaa lenu litawavuruga sana na kuwadanganya sana lkn mwsho wake ni ule ule sawa na wenzie,

Uchawi unaponya na sio kosa kuwapangia namna ya kuabudu maana kila mtu ana haki yake.

%kubwa ya wanaoamini kwa hao manabii uchwara hata maisha yenu huwa mmejawa matatizo matupu kama sio utegemezi basi ugonjwa wa akili.
 
Leo jioni jumamosi, nilikua nafua. Kuna kijana mpangaji mwenzangu just next door mke wake kajifungua mtoto wa kwanza kirahisi sana. Kampeleka kwao kidogo...
Sasa ile nipo nafua mara Jamaa akarudi toka kazini kwake. Ni mu-islam ila alikua amerudi afue nguo mbili tu za kuendea kwa mwamposa kesho jumapili. Amenishawishi sana. Jamaa ni mtu wa beer, bangi na sigara ni mu-islamu ila karudi afue nguo za kuendea kwa mwamposa kesho mpaka nikaanza kuwazingatia watu wanaoniambia niende kwa mwamposa.
Mimi nina ulemavu wa kusikia ila sio wa kuongea pia. Wao wanaamini mwamposa anaweza kuniombea nikapata kusikia tena. Jamaa Kanionyesha na wallet yake jinsi ilivyo na noti nyekundu nyingi japo hazifiki laki na its unlike him. Anasema hayo ndio mabadiliko kwani hata vilevi ameanza kujidhibiti na ataacha kabisa. Alikua ananiambia huku anavuta bangi nikamhoji akasema uislamu haachi ila kwa mwamposa ana imani nae sana.

NOW my fellow Great thinkers:-
1. What is your opinions/maoni yako kwenye hili..?
2. Kindly advise
3. According to @Mshanajr its aint good. I can second him based on a certain American movie series ALPHA humo kuna mtu ana mambo kama hayo ya kina mwamposa ilikua akiwa bless watu kuna doctor anawatibu dah basi if i come to think of it nasita sita kwenda kwa mwamposa.

4. Kule Mwanza sometimes kulikua na mchungaji DOXA DOXAZO... His story resembles Mwamposas. Walisemaga aliombea watu wazae wakizaa kweli baadae mtoto anakua anageuka chatu ukimchungulia and thats how he had no other option but to vanish... Again there was "MFALME" ZUMARIDI and she too aint pleasant so its only fair to wonder about Mwamposa guy.

I so much wishes to restore my hearing. Would do a whole lots to achieve that... But at a reasonably "price", not just to worsen the situation. Iam writing this because of my mother and sister who wants me to go there. I like to be enlightened first, pease!
I stays at Mbezi beach, Dar
Kama Mwamposa wenu anatibu na Kuponyesha Vilema mbona Mdogo wake wa Damu kabisa ni Kilema wa Mkono na hajamponyesha na pia huwa anawashangaeni mno Mapopoma ( Nuts ) mnaomuamini Kaka yake aliyewaharibu Akili kwa Dawa zake za Mazingaombwe anazochukua sasa nchini Msumbiji ( Mozambique ) baada ya Kuachana na zile za nchini Nigeria na Congo DR.
 
Nina mengi ya kushuhudia.......kupitia madhabahu ya arise & shine watu wengi wamebarikiwa na kuponywa mahitaji yao mbali mbali.....
Shuhuda ni nyingi sana....
Kwa atakae bisha ajaribu kwenda pale afuate maelekezo....Nakuhakikishia atakuja kutupa mrejeshoo hapa.....yaan Ushuhuda.
Hata sisi tulioingia vilingeni vya uganga tuna makubwa ya kushuhudia kulko ninyi wanafiki wa makanisani.

Uchawi ukikuponywa haimaanishi uponyaji huo ni Sahihi ama ni uponyaji safi.

Enyi wapumbavu mtadanganywa mpka lini? Yaan mnalambishwa asali ya unabii feki na miujiza ya kiganga still hamtaki kuelewa what's behind.

Someni biblia zenu mtaona mapungufu makubwa sana kati ya mafundisho yao na biblia yenyewe
 
Hakuna mchungaji anaroho mbaya kama huyo tokea Tanzania ipate uhuru.. yani bado siamini kama kweli kunawatu wako brain washed kiasi hiki..

Kanisa la kweli ni lile linalo wajali yatima na wajane..

Kingine now days watu wanaendeshwa mno na hawa manabii feki kwa sababu ya uvivu wa kusoma biblia

Yesu hakutegemea sadaka ili aishi.. angeamua kuishi kama hawa manabii wa sikuhizi angekufa tajiri sana.

Yani imefika kipindi wenye mahitaji hawaendi makanisani tena wanakuja bar kwa sisi walevi.. kupata msaada makanisa yanapeleka wapi sadaka??
Unaweza kuiweka hapa hiyo roho mbaya yake , kwa manufaa ya dunia !
 
We nenda kwa huyo mwamposa wenu

Lakina ukwel utabaki milele huyo ni Mganga wa kidigitali, yaan mganga wa kienyeji aliyeamua kufanya tiba zake kupitia usasa zaid kwa msaada wa kificho cha dini.

Uganga unaponya kweli inategemeana na tatizo lako pia nguvu za mganga mwenyewe.

Kakanyage mafuta ya upako ambayo hujui yametengenezwa kwa vitu gan na madhumuni gani.

Utapona kweli ila vipo utakavyopoteza.

It's up to you
Una plausible argumentation. Ata mimi nimewaza hivyo. Kwamba maybe naweza kupona ila at the end of the day kukawa na strings attached.
 
Lazma tumseme na atapotea kama wahunu wenzake walivyopotea.

Walikuwepo kina kakobe,lusekelo, Tb joshua pamoja na sifa zao na utapeli wao leo hii wako wapi?

So hata ilo jamaa lenu litawavuruga sana na kuwadanganya sana lkn mwsho wake ni ule ule sawa na wenzie,

Uchawi unaponya na sio kosa kuwapangia namba ya kuabudu maana kila mtu ana haki yake.

%kubwa ya wanaoamini kwa hao manabii uchwara hata maisha yenu huwa mmejawa matatizo matupu kama sio utegemezi basi ugonjwa wa akili.
Hapa umemaliza kila Kitu Mkuu' na nitashangaa hasa nikiona kuna atakayekupinga juu ya hili kwani Umesema Ukweli na Uhalisia wote kumhusu huyo Tapeli wa Kiroho, Kiimani na Mharibifu wa Akili za wale Wote wanaomuamini na Kumsikiliza.
 
Lazma tumseme na atapotea kama wahuni wenzake walivyopotea.

Walikuwepo kina kakobe,lusekelo, Tb joshua pamoja na sifa zao na utapeli wao leo hii wako wapi?

So hata ilo jamaa lenu litawavuruga sana na kuwadanganya sana lkn mwsho wake ni ule ule sawa na wenzie,

Uchawi unaponya na sio kosa kuwapangia namna ya kuabudu maana kila mtu ana haki yake.

%kubwa ya wanaoamini kwa hao manabii uchwara hata maisha yenu huwa mmejawa matatizo matupu kama sio utegemezi basi ugonjwa wa akili.
sawa tunashukuru kwa maneno yako... ila huu ni mwezi July 2022 bado miezi 5 tufike December... I swear in the name of Almighty God utajifunza jambo kubwa kabla huu mwaka hujaisha... Sijui kwa namna gani ila nina imani hiyo juu yako... AMEN 🙏
 
Hata sisi tulioingia vilingeni vya uganga tuna makubwa ya kushuhudia kulko ninyi wanafiki wa makanisani.

Uchawi ukikuponywa haimaanishi uponyaji huo ni Sahihi ama ni uponyaji safi.

Enyi wapumbavu mtadanganywa mpka lini? Yaan mnalambishwa asali ya unabii feki na miujiza ya kiganga still hamtaki kuelewa what's behind.

Someni biblia zenu mtaona mapungufu makubwa sana kati ya mafundisho yao na biblia yenyewe
Sija andika kubishana na mtu au kujimwambafy......
Sijapendezwa na wew kuita watu wanafiki....
For years ulikua huwez kuniambia kuhusu ulokole nikakuelewa.......

Nilikua kama ww siku Moja.....Am 4 real kama jina langu,

"Ni kama sauli kua mtume Paulo"

Ujue Nini God is real
 
Nina mengi ya kushuhudia.......kupitia madhabahu ya arise & shine watu wengi wamebarikiwa na kuponywa mahitaji yao mbali mbali.....
Shuhuda ni nyingi sana....
Kwa atakae bisha ajaribu kwenda pale afuate maelekezo....Nakuhakikishia atakuja kutupa mrejeshoo hapa.....yaan Ushuhuda.
Mimi nilikua nishamkataa na kumpuuzia uyo Mwamposa. But i love my mother iam willing to do things to see her wishes are through. Ila aliponiambia khs Mwamposa i politely refused but it were on my thoughts.

Sasa hiyo event ya leo ndio imeongezea kilogram kwenye ombi la mama yangu. Huyu kijana muislam alikua miserable kabisa hela yote biere tu na bangi plus acting bad to the girl he is cohabiting with. Leo kurudi kufua nguo mbili tu kwa ajili ya kuendea kwa mwamposa it must get you thinking what a sudden transformation... Kamuongelea sana. Kanionyesha wallet yake( japo mi ninazo nyingiii kumzidi and i know how to keep them moneys), kanionesha hayo maji yao, kasema mafuta alimpa wife wake... Yote hayo anafanya huku anavuta bangi then sigara... ( As for me i dont smoke anything nor drink terribly - iam just only into them LADIES and usually spend fortunes on them)…. Nikamuuliza now that you are so much into Mwamposa dude, how about weeds, sigaretisiii en beer, Papi??? akajibu tu "uislamu siachi(hadi jina lake ni la kiislamu) ila NINA IMANI NA MWAMPOSA" guys it was so emotional
 
Ukienda,labda ,labda utapata msaada( isipokuwa wewe lazima uamini kwamba kwa hakika utapata msaàda). Swala la wewe kudhurika linakuja vipi?
Mimi nimekwenda pale mara nyingi,na ukiniuliza,I will grudgingly state kwamba watu wanapona pale.
And I think I know why. Ng'ombe wengi wamechinjwa pale,there is a lot of etheric energy.
Will you tell us more about "etheric energy" please
 
sawa tunashukuru kwa maneno yako... ila huu ni mwezi July 2022 bado miezi 5 tufike December... I swear in the name of Almighty God utajifunza jambo kubwa kabla huu mwaka hujaisha... Sijui kwa namna gani ila nina imani hiyo juu yako... AMEN 🙏
Mm pia naomba ije iwe shuhuda humu ndani... Kwenye thread hii...Tena Kwa Uzuri... MUNGU atatenda....Amen
 
MWAMPOSA msemeni mchoke siku zinavyo zidi kwenda ndivyo watu kutoka dini tofaut, madhehebu tofaut na mataifa wanaenda kanisani kwake na ktk mikutano yake kupata huduma ya kiroho na uponyaji... Endeleeni kumdhihaki maana hakuna jipya mfanyalo... Ushuhuda wangu:- mama yangu 5yrs ago alitakiwa afanyiwe operation ya 3 baada ya operation 2 kutomsaidia chochote... Huku na huku siku 1 akaenda kusali kwa Mwamposa akaombewa akaambiwa rudi nyumban umepona huna haja ya operation kwasabab hio operation zote ni mpango wa shetani kukutoa roho ila huumwi chochote... Alirudi hospital madaktar wakamwambia ajiandae kwa Operation maana asipoifanya anaweza kufa siku yoyote hali imekua mbaya... Mama na Familia kwa pamoja tulikataa asifanyiwe operation... Leo ni mwaka wa 5 mama hajafanyiwa operation na ni mzima wa afya njema na amesahau hata kama aliwahi kuumwa hoi... Guys haya mambo ya imani kama huyaamini kaa kimya, Mimi nilikua sitak kumsikia huyo Mwamposa na wahubiri wengine but from there nilimwambia Mungu anisamehe kwa kukejeri watumish wake... All in all ukitaka kwenda kwa Mwamposa nenda kama hutak usiende sio lazima baki na shida zako utazitatua utavyojua wewe... YESU alisema "IMANI YAKO IMEKUPONYA" haitajiki uwe na imani kubwa kama ya fulani inahitajika imani ndogo sana kama punje ya ulezi... Just a matter of time kila goti litapigwa... AMEN [emoji120]

Yaani kutolewa roho ni mpango wa shetani duuu?! [emoji1787][emoji1787][emoji16]
 
Nina mengi ya kushuhudia.......kupitia madhabahu ya arise & shine watu wengi wamebarikiwa na kuponywa mahitaji yao mbali mbali.....
Shuhuda ni nyingi sana....
Kwa atakae bisha ajaribu kwenda pale afuate maelekezo....Nakuhakikishia atakuja kutupa mrejeshoo hapa.....yaan Ushuhuda.

[emoji16][emoji16] mi nawaona kila siku wakirudi wako hoiiii bin taabani [emoji16][emoji16][emoji3] huwo muda wa kwenda kushinda huko bora wangesakanya pesa maana wengi maisha yamewapiga mno mno bd wanaenda kutoa visent vyao huko UJINGA MTUPU
 
Leo jioni jumamosi, nilikua nafua. Kuna kijana mpangaji mwenzangu just next door mke wake kajifungua mtoto wa kwanza kirahisi sana. Kampeleka kwao kidogo...
Sasa ile nipo nafua mara Jamaa akarudi toka kazini kwake. Ni mu-islam ila alikua amerudi afue nguo mbili tu za kuendea kwa mwamposa kesho jumapili. Amenishawishi sana. Jamaa ni mtu wa beer, bangi na sigara ni mu-islamu ila karudi afue nguo za kuendea kwa mwamposa kesho mpaka nikaanza kuwazingatia watu wanaoniambia niende kwa mwamposa.
Mimi nina ulemavu wa kusikia ila sio wa kuongea pia. Wao wanaamini mwamposa anaweza kuniombea nikapata kusikia tena. Jamaa Kanionyesha na wallet yake jinsi ilivyo na noti nyekundu nyingi japo hazifiki laki na its unlike him. Anasema hayo ndio mabadiliko kwani hata vilevi ameanza kujidhibiti na ataacha kabisa. Alikua ananiambia huku anavuta bangi nikamhoji akasema uislamu haachi ila kwa mwamposa ana imani nae sana.

NOW my fellow Great thinkers:-
1. What is your opinions/maoni yako kwenye hili..?
2. Kindly advise
3. According to @Mshanajr its aint good. I can second him based on a certain American movie series ALPHA humo kuna mtu ana mambo kama hayo ya kina mwamposa ilikua akiwa bless watu kuna doctor anawatibu dah basi if i come to think of it nasita sita kwenda kwa mwamposa.

4. Kule Mwanza sometimes kulikua na mchungaji DOXA DOXAZO... His story resembles Mwamposas. Walisemaga aliombea watu wazae wakizaa kweli baadae mtoto anakua anageuka chatu ukimchungulia and thats how he had no other option but to vanish... Again there was "MFALME" ZUMARIDI and she too aint pleasant so its only fair to wonder about Mwamposa guy.

I so much wishes to restore my hearing. Would do a whole lots to achieve that... But at a reasonably "price", not just to worsen the situation. Iam writing this because of my mother and sister who wants me to go there. I like to be enlightened first, pease!
I stays at Mbezi beach, Dar
Tafuta pesa j moss sio siku yakufua
 
SHIDA YA WAUMINI WAKE, WAO WANATUKUZA ZAIDI MWAMPOSA KULIKO MUNGU WAO AU YESU KRISTO.
WANAPASWA SASA KUMWITA MUNGU BABA MWAMPOSA NA SIO NABII TENA.

WAUMINI WENGI NI WALE WALIKOSA KAZI ZA KUFANYA, WENGI HATA KUSOMA NA KUANDIKA NI TATIZO.
 
Back
Top Bottom