Wanaamini Mwamposa anaweza kuniombea nikapata kusikia tena

Wanaamini Mwamposa anaweza kuniombea nikapata kusikia tena

MWAMPOSA msemeni mchoke siku zinavyo zidi kwenda ndivyo watu kutoka dini tofaut, madhehebu tofaut na mataifa wanaenda kanisani kwake na ktk mikutano yake kupata huduma ya kiroho na uponyaji... Endeleeni kumdhihaki maana hakuna jipya mfanyalo... Ushuhuda wangu:- mama yangu 5yrs ago alitakiwa afanyiwe operation ya 3 baada ya operation 2 kutomsaidia chochote... Huku na huku siku 1 akaenda kusali kwa Mwamposa akaombewa akaambiwa rudi nyumban umepona huna haja ya operation kwasabab hio operation zote ni mpango wa shetani kukutoa roho ila huumwi chochote... Alirudi hospital madaktar wakamwambia ajiandae kwa Operation maana asipoifanya anaweza kufa siku yoyote hali imekua mbaya... Mama na Familia kwa pamoja tulikataa asifanyiwe operation... Leo ni mwaka wa 5 mama hajafanyiwa operation na ni mzima wa afya njema na amesahau hata kama aliwahi kuumwa hoi... Guys haya mambo ya imani kama huyaamini kaa kimya, Mimi nilikua sitak kumsikia huyo Mwamposa na wahubiri wengine but from there nilimwambia Mungu anisamehe kwa kukejeri watumish wake... All in all ukitaka kwenda kwa Mwamposa nenda kama hutak usiende sio lazima baki na shida zako utazitatua utavyojua wewe... YESU alisema "IMANI YAKO IMEKUPONYA" haitajiki uwe na imani kubwa kama ya fulani inahitajika imani ndogo sana kama punje ya ulezi... Just a matter of time kila goti litapigwa... AMEN 🙏
NAAM HAPA NDIPO KWENYE TATIZO.
KWAMBA KWENDA KWA MWAMPOSA NI MPAKA UWE NA SHIDA!!, HUU NDIO UGANGA WA KIENYEJI.

TENDA MAPENZI YA MUNGU MENGINE YATAKUJA.
Yohana 9:31 inasema, “Tunajua kwamba Mungu hawasikilizi watu wenye dhambi. Yeye husikiliza mcha Mungu anayetimiza mapenzi yake.“
 
Tafuta pesa j moss sio siku yakufua
Rafiki yangu, nikuambie nini ilikua jioni ndo nafua you dont know what i was doing in the morning or after kufua. Anyway bado sina pesa so challenge accepted!

Tell me what you do jmosi and the other days of weekend. Siku yako ya kufua ni ipi?

So far.., wew apo iko na pesa???
 
vipi mkuu leo jumapili ulifanikiwa kwenda? au bado unakusanya maoni.. pole pia kwa tatizo ulilokuwa nalo.
Sikwenda. Sipo interested. The reason i paid any ounce of consideration is because my mother who is upcountry asked me to, but i politely refused. Ilipotokea hiyo situation ya jamaa ndo nikawaza maybe mom has a point nikawa nafikiria kwenda ili nimridhishe but i still gets cold feet. Asante kwa pole mkuu, makes me so emotional. Be as it may iam grateful to the good lord almight and i acknowledge him lots!
 
To the moderator, SIJAPENDA MLIVYOBADILI HEADING. ITS SO STING. kama hamkuipenda ile heading ya zamani "Mwamposa et al" basi atleast iwe ""Mwamposa this, Mwamposa that"
 
Nilisikia ameachana na mke wake wa kwanza muda Tu, huko church yupo single au tayari mshapata mama mchungaji.
 
Nilisikia ameachana na mke wake wa kwanza muda Tu, huko church yupo single au tayari mshapata mama mchungaji.
Bana mi simjui yule. Sijawahi kwenda pale na sina mpango. I just wanted to do it for my mother. Asa watu wanavo comment as if my ni wa pale nakwazika kinoma!
 
Acha kutuchanganya , hapa hoja ni uwezo wa Mzee wa kikanya wese?
Au ni hao wanao itwa waislam wanao gombania upako?
 
Acha kutuchanganya , hapa hoja ni uwezo wa Mzee wa kikanya wese?
Au ni hao wanao itwa waislam wanao gombania upako?
It can be a lot of things. Ilikua ni ajabu sana kwangu kumuona huyo jamaa alivyobadilika... eti "mimi ni mwislamu ila namwamini mwamposa" again he goes "ni Imani tu kaka.., imani yangu" yule asingeweza kunishawishi kuhusu hayo mambo of all people, its just that he were being GENUINELY.

Kwanza mimi si-side na uislamu wala ukristo japo napenda kujipambanua kuwa mkristo. Iant a church goer lather a believer in the righteousness path. Yule ni islam ila biere anakula, bangi anavuta na sigara pia ila sio level ya 'uteja' he is mental sound. so can you try to absorb a shock caught me in that brief moment ...

Mama namjua so sikua surprised na recommendation yake ila ilo tukio ndo lilinifanya nimkumbuke bi mkubwa wangu ambaye yupo miles away from this Dar.
 
Mwamposa nampenda sana anasoma neno kwa vifungu anaponya bora uende kwa mwamposa kawe kuliko kwa mganga
 
Hakuna mchungaji anaroho mbaya kama huyo tokea Tanzania ipate uhuru.. yani bado siamini kama kweli kunawatu wako brain washed kiasi hiki..

Kanisa la kweli ni lile linalo wajali yatima na wajane..

Kingine now days watu wanaendeshwa mno na hawa manabii feki kwa sababu ya uvivu wa kusoma biblia

Yesu hakutegemea sadaka ili aishi.. angeamua kuishi kama hawa manabii wa sikuhizi angekufa tajiri sana.

Yani imefika kipindi wenye mahitaji hawaendi makanisani tena wanakuja bar kwa sisi walevi.. kupata msaada makanisa yanapeleka wapi sadaka??
Yesu alikua na "mawe", alikua na muhasibu" mshika mfuko" kumbuka.

Kuna muda ilitakiwa atoe kodi,alimtuma mwanafunzi wake akachukue sarafu mdomoni mwa samaki"ATM"

Kulisha wanafunzi 12 vijeba sio mchezo.
 
Yesu alikua na "mawe", alikua na muhasibu" mshika mfuko" kumbuka.

Kuna muda ilitakiwa atoe kodi,alimtuma mwanafunzi wake akachukue sarafu mdomoni mwa samaki"ATM"

Kulisha wanafunzi 12 vijebu sio mchezo.

[emoji23][emoji23]huendi mbinguni
 
Hakuna mchungaji anaroho mbaya kama huyo tokea Tanzania ipate uhuru.. yani bado siamini kama kweli kunawatu wako brain washed kiasi hiki..

Kanisa la kweli ni lile linalo wajali yatima na wajane..

Kingine now days watu wanaendeshwa mno na hawa manabii feki kwa sababu ya uvivu wa kusoma biblia

Yesu hakutegemea sadaka ili aishi.. angeamua kuishi kama hawa manabii wa sikuhizi angekufa tajiri sana.

Yani imefika kipindi wenye mahitaji hawaendi makanisani tena wanakuja bar kwa sisi walevi.. kupata msaada makanisa yanapeleka wapi sadaka??

Wewe utakuwa Gwaji Boy tu maana unaongea kwa jazba[emoji16]
 
Mimi nilikua nishamkataa na kumpuuzia uyo Mwamposa. But i love my mother iam willing to do things to see her wishes are through. Ila aliponiambia khs Mwamposa i politely refused but it were on my thoughts.

Sasa hiyo event ya leo ndio imeongezea kilogram kwenye ombi la mama yangu. Huyu kijana muislam alikua miserable kabisa hela yote biere tu na bangi plus acting bad to the girl he is cohabiting with. Leo kurudi kufua nguo mbili tu kwa ajili ya kuendea kwa mwamposa it must get you thinking what a sudden transformation... Kamuongelea sana. Kanionyesha wallet yake( japo mi ninazo nyingiii kumzidi and i know how to keep them moneys), kanionesha hayo maji yao, kasema mafuta alimpa wife wake... Yote hayo anafanya huku anavuta bangi then sigara... ( As for me i dont smoke anything nor drink terribly - iam just only into them LADIES and usually spend fortunes on them)…. Nikamuuliza now that you are so much into Mwamposa dude, how about weeds, sigaretisiii en beer, Papi??? akajibu tu "uislamu siachi(hadi jina lake ni la kiislamu) ila NINA IMANI NA MWAMPOSA" guys it was so emotional
Hana Imani na Mungu, but anaamini katika mwamposa.
 
Back
Top Bottom