Wanaamini Mwamposa anaweza kuniombea nikapata kusikia tena

NAAM HAPA NDIPO KWENYE TATIZO.
KWAMBA KWENDA KWA MWAMPOSA NI MPAKA UWE NA SHIDA!!, HUU NDIO UGANGA WA KIENYEJI.

TENDA MAPENZI YA MUNGU MENGINE YATAKUJA.
Yohana 9:31 inasema, “Tunajua kwamba Mungu hawasikilizi watu wenye dhambi. Yeye husikiliza mcha Mungu anayetimiza mapenzi yake.“
 
Tafuta pesa j moss sio siku yakufua
Rafiki yangu, nikuambie nini ilikua jioni ndo nafua you dont know what i was doing in the morning or after kufua. Anyway bado sina pesa so challenge accepted!

Tell me what you do jmosi and the other days of weekend. Siku yako ya kufua ni ipi?

So far.., wew apo iko na pesa???
 
vipi mkuu leo jumapili ulifanikiwa kwenda? au bado unakusanya maoni.. pole pia kwa tatizo ulilokuwa nalo.
Sikwenda. Sipo interested. The reason i paid any ounce of consideration is because my mother who is upcountry asked me to, but i politely refused. Ilipotokea hiyo situation ya jamaa ndo nikawaza maybe mom has a point nikawa nafikiria kwenda ili nimridhishe but i still gets cold feet. Asante kwa pole mkuu, makes me so emotional. Be as it may iam grateful to the good lord almight and i acknowledge him lots!
 
To the moderator, SIJAPENDA MLIVYOBADILI HEADING. ITS SO STING. kama hamkuipenda ile heading ya zamani "Mwamposa et al" basi atleast iwe ""Mwamposa this, Mwamposa that"
 
Moderator, hiyo heading yenu ipo too naked, it irritates me, it bores me! Im disappointed in you
 
Nilisikia ameachana na mke wake wa kwanza muda Tu, huko church yupo single au tayari mshapata mama mchungaji.
 
Nilisikia ameachana na mke wake wa kwanza muda Tu, huko church yupo single au tayari mshapata mama mchungaji.
Bana mi simjui yule. Sijawahi kwenda pale na sina mpango. I just wanted to do it for my mother. Asa watu wanavo comment as if my ni wa pale nakwazika kinoma!
 
Acha kutuchanganya , hapa hoja ni uwezo wa Mzee wa kikanya wese?
Au ni hao wanao itwa waislam wanao gombania upako?
 
Acha kutuchanganya , hapa hoja ni uwezo wa Mzee wa kikanya wese?
Au ni hao wanao itwa waislam wanao gombania upako?
It can be a lot of things. Ilikua ni ajabu sana kwangu kumuona huyo jamaa alivyobadilika... eti "mimi ni mwislamu ila namwamini mwamposa" again he goes "ni Imani tu kaka.., imani yangu" yule asingeweza kunishawishi kuhusu hayo mambo of all people, its just that he were being GENUINELY.

Kwanza mimi si-side na uislamu wala ukristo japo napenda kujipambanua kuwa mkristo. Iant a church goer lather a believer in the righteousness path. Yule ni islam ila biere anakula, bangi anavuta na sigara pia ila sio level ya 'uteja' he is mental sound. so can you try to absorb a shock caught me in that brief moment ...

Mama namjua so sikua surprised na recommendation yake ila ilo tukio ndo lilinifanya nimkumbuke bi mkubwa wangu ambaye yupo miles away from this Dar.
 
Mwamposa nampenda sana anasoma neno kwa vifungu anaponya bora uende kwa mwamposa kawe kuliko kwa mganga
 
Yesu alikua na "mawe", alikua na muhasibu" mshika mfuko" kumbuka.

Kuna muda ilitakiwa atoe kodi,alimtuma mwanafunzi wake akachukue sarafu mdomoni mwa samaki"ATM"

Kulisha wanafunzi 12 vijeba sio mchezo.
 
Yesu alikua na "mawe", alikua na muhasibu" mshika mfuko" kumbuka.

Kuna muda ilitakiwa atoe kodi,alimtuma mwanafunzi wake akachukue sarafu mdomoni mwa samaki"ATM"

Kulisha wanafunzi 12 vijebu sio mchezo.

[emoji23][emoji23]huendi mbinguni
 

Wewe utakuwa Gwaji Boy tu maana unaongea kwa jazba[emoji16]
 
Hana Imani na Mungu, but anaamini katika mwamposa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…