LGE2024 Wanaccm kwa maelfu wajipanga misururu mirefu kujiandikisha uchaguzi wa Serikali za mitaa, Chadema bado Wanasuasua!

LGE2024 Wanaccm kwa maelfu wajipanga misururu mirefu kujiandikisha uchaguzi wa Serikali za mitaa, Chadema bado Wanasuasua!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kwa nilipofika labda nione kuna mabadiliko halisi lakini hili la kupiga nini, ni haki yako au kamchague kiongozi unayemtaka....nimevuka ukanda huo....nguvu na muda kufanya hivyo ni bora ningechapa usingizi au kuangalia hata tv japo sipendi tv....inaumiza na sio kwa upinzani wala watawala wote wachawi tu. Atakayepita ndio aliyepitishwa tiki yangu haina maana yoyote pande zote.
 
HAWA NDIO WANA CCM? kUMBE WEWE BURE











Hilda Newton

@HildaNewton21
·
21h

Hawa ni Watoto wa shule Wamekutwa wanaandikishwa ktk daftari kinyume cha sheriaKituo cha EMET mtaa wa Luguruni kata ya Kwembe Jimbo la KibambaKuna maeneo mengi sana maccm yameandikisha watoto wa washule ambao ni below 18Ni wazi CCM haikubaliki ndo maana wanafanya huu ujinga

1728744451893.jpeg


1728744484314.jpeg


Show 105 posts









Twaha Mwaipaya

@Twaha_Mwaipaya

https://x.com/i/status/1844736771017376053

1728744682732.png

·
Oct 11

Hii ni Kata ya Nyamizeze Sengerema Mwalimu ambaye ni Kada wa CCM na Kiongozi ameajiriwa kuaandikisha wapiga kura! Tumemwambia asimamishe zoezi, hadi atakapo letwa Mwandikishaji Mwingine ambaye siyo kiongozi wa chama chochote!Badae akapigia Simu kwa Mtendaji wa Kata akaja na
Show more
 
Kiukweli CCM imepania sana hakuna mtu anabaki bila kujiandikisha

Sidhani kama wapinzani watapata hata Mtaa mmoja tu jijini DSM

Sabato Njema 😄
Akili za kutuandaa ili muibe ,hao uliowasema walikua wamevqa nguo za uvccm? Au unataka kutuandaa kisaikolojia mkiiba mseme mlijiandiksha mapema?
 
Kwa nilipofika labda nione kuna mabadiliko halisi lakini hili la kupiga nini, ni haki yako au kamchague kiongozi unayemtaka....nimevuka ukanda huo....nguvu na muda kufanya hivyo ni bora ningechapa usingizi au kuangalia hata tv japo sipendi tv....inaumiza na sio kwa upinzani wala watawala wote wachawi tu. Atakayepita ndio aliyepitishwa tiki yangu haina maana yoyote pande zote.
Acha propaganda wewe ni mpiga kura mzuri wa ccm unawakatisha tamaa wapenda mabadiliko ili mtimize lengo lenu.
 
Kiukweli CCM imepania sana hakuna mtu anabaki bila kujiandikisha

Sidhani kama wapinzani watapata hata Mtaa mmoja tu jijini DSM

Sabato Njema 😄
Hamna wazee wa kuweka misururu. Ccm sio chama cha vijana, misururu itoke wapi?
 
Huku kwetu wanachama wa chadema wanajua na wanaamini kuwa chadema ilisha amua kususa uchaguzi wa serikali za mitaa na ule uchaguzi mkuuwa 2025 hadi pale katiba mpya itakapopatikana. Wanaamini kuwa suala hilo liko kwenye mahakama za kimataifa na kwamba Tundu Lisu yuko kwenye mahakama za London kwa suala hilo.
 
Kiukweli CCM imepania sana hakuna mtu anabaki bila kujiandikisha

Sidhani kama wapinzani watapata hata Mtaa mmoja tu jijini DSM

Sabato Njema 😄
Nyie jiandaeni kushinda, CHADEMA wanajianda kutotambua ushindi wenu na maandamano juu.

Tukutane BOMA mara baada washindi kutangazwa.
 
John, unamaanisha wale wanafunzi waliokuwa wanaandikishwa kule mwanza ni wanaccm walio under 18? Basi sawa!
 
Mkuu unawavunjia Heshima wananchi waliojitokeza kwa wingi bila kujali itikadi za vyama vyao.
Sielewi kwanini unasema ni Wana CCM.
Tunaomba utupe evidence, vinginevyo tukupuuze kama wanavyopuuzwa wanasiasa wengine wasio itakia mema Nchi yetu.
Amemaanisha kura zote ztaenda ccm na ndo ukweli huoo haijalishi ztapgwa kwenda chama kip
 
Back
Top Bottom