LGE2024 Wanaccm kwa maelfu wajipanga misururu mirefu kujiandikisha uchaguzi wa Serikali za mitaa, Chadema bado Wanasuasua!

LGE2024 Wanaccm kwa maelfu wajipanga misururu mirefu kujiandikisha uchaguzi wa Serikali za mitaa, Chadema bado Wanasuasua!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kiukweli CCM imepania sana hakuna mtu anabaki bila kujiandikisha

Sidhani kama wapinzani watapata hata Mtaa mmoja tu jijini DSM

Sabato Njema 😄
JF mnampa airtime kubwa sana huyu mpuuzi sijui law maslahi gani huko maana habari zake zimejaa upotoshaji mkubwa
 
JF mnampa airtime kubwa sana huyu mpuuzi sijui law maslahi gani huko maana habari zake zimejaa upotoshaji mkubwa
Hujaona Kigoma msururu mrefu mtaani kwa Makamu wa Rais Daktari Mpango 😄😄😄

Ulale Unono mh Mganga 🌹
 
Hacha kupotosha umma. Wanaojiandikisha ni watanzania wote bila kujali itikadi yao; chama au dini. Katika uhandikishaki kuna sehemu ya kutambua itikadi ya mtu?

Fikiri kabla ya kuandika.
 
duru zinaharifu mawakala wa chadema moshi mjini wamekosa chakula cha mchana siku ya jana
 
Wewe mzee johnthebaptist hapo Mbweni kwa yule rafiki yako si karibu na ununio😀😃😄😁😆
Mbweni wanaishi Viongozi wengi wa Chadema akina Halima Mdee, Boni Yai, Esther Bulaya, Dr Slaa nk.....nk 😂😂😂

Pale Ununio wapo James Mbatia na Mzee Marando 😄😄

Kunduchi yuko mzee wa Tukutuku Daktari Kigwangalla 😀
 
Vijana wenu mmewatoa mabwepande sasa mmewahamishia ununio😭😭
Bwashee pale Ununio Kwa Msomali ni barabarani kabisa na ni Njia inayotumiwa na viongozi tangu enzi za hayati Kijazi

Labda muulizeni Roma Mkatoliki alifikaje pale! 🤣
 
Back
Top Bottom