Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Haya ndip mapokezi tuliambiwa Nchi itasimama?
Uzuri wa Makonda ni MBUNIFU wa mambo(Strategic) na ni mfuatiliaji. Kwa kifupi huyu jamaa hana mbambamba.
Alishindwani nini enzi za jpm ambacho taweza leo kipindi ambacho hata wanaccm hawampi sapoti? Ukiachana na chawa wachache wanaowinda teuzi?Uzuri wa Makonda ni MBUNIFU wa mambo(Strategic) na ni mfuatiliaji. Kwa kifupi huyu jamaa hana mbambamba.
Ubunifu kama upi aliowahi kufanya? Uliompa mafanikio yeye kama yeye achana na Chama kwanza?Uzuri wa Makonda ni MBUNIFU wa mambo(Strategic) na ni mfuatiliaji. Kwa kifupi huyu jamaa hana mbambamba.
HahahaaCCM ishajichokeaga kitambo..tuwaache wazikane tu ivo ivo na bashite wao.
Ukiona mwana ccm hampi SAPOTI ujue alishamharibia madudu yake. Sasa anaona mipango yote itaenda arijojo jembe ameingia 😀Alishindwani nini enzi za jpm ambacho taweza leo kipindi ambacho hata wanaccm hawampi sapoti? Ukiachana na chawa wachache wanaowinda teuzi?
Uzuri wa Makonda ni MBUNIFU wa mambo(Strategic) na ni mfuatiliaji. Kwa kifupi huyu jamaa hana mbambamba.
Ubunifu wake ni uuajiUzuri wa Makonda ni MBUNIFU wa mambo(Strategic) na ni mfuatiliaji. Kwa kifupi huyu jamaa hana mbambamba.
Alimuua naniUbunifu wake ni uuaji
Hakuna unafiki wowote hapo, Makonda kama makonda ni mchapa kazi na ndiye atakaemrithi Samia ndani ya chama chake, tuombe uzima tutayaona!Kuna watu wamejaa unafiki mwingi sana!
Ben Saa8, Azory Gwanda,Alimuua nani
UthibitishoBen Saa8, Azory Gwanda,
Uthibitisho aupate wapi, ni mwendo wa chuki binafsi tu!Uthibitisho