Wanaccm tusikubali kuburuzwa na wazee wastaafu. Muda wao umekwisha, vijana tusimamie tunachokiamini

Wanaccm tusikubali kuburuzwa na wazee wastaafu. Muda wao umekwisha, vijana tusimamie tunachokiamini

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Inashangaza sana kuona Hawa wazee ambao walikuwa wameshika nafasi za juu za uongozi wakamaliza vipindi vyao bila kuacha legacy yoyote wanatutisha na kutukemea.

Dunia inabadilika hivyo nasi inabidi tubadilike. Na ili tubadilike lazima mtazamo, mtindo na mfumo wa uongozi uende tofauti na tuliouzoea.

Nimestushwa na makalipio ya mzee Makamba kwa Dkt. Bashiru na Kikwete kwa Chalamila. Kwanini wanakuwa kimbelembele? Nani aliyewaaminisha kuwa wanachokiamini wao ndiyo sahihi?

Watuache, muda wao umepita wapumzike wale pension zao.

Vinginevyo 2025 tutagawana mbao za chama.
 
Chama cha Mambuzi😁😁😁
 
Kijana una uono hafifu sana wa kutazama mambo, wazee ni hazina ndani ya Chama na hakuna kijana yeyote mwenye umri wa kustaarabika anayeweza kushindana na kikwete
 
na hakuna kijana yeyote mwenye umri wa kustaarabika anayeweza kushindana na kikwete
Huyu Kikwete sasa atatuharibia chama, maana kila anayetaka kuyapata madaraka inabidi ajinasibishe naye. Kinyume chake ni kutafuta nongwa.

Hatuwezi kufika kwa namna hii.
 
Inashangaza sana kuona Hawa wazee ambao walikuwa wameshika nafasi za juu za uongozi wakamaliza vipindi vyao bila kuacha legacy yoyote wanatutisha na kutukemea.

Dunia inabadilika hivyo nasi inabidi tubadilike. Na ili tubadilike lazima mtazamo, mtindo na mfumo wa uongozi uende tofauti na tuliouzoea.

Nimestushwa na makalipio ya mzee Makamba kwa Dr. Bashiru na Kikwete kwa Chalamila. Kwann wanakuwa kimbelembele? Nani aliyewaaminisha kuwa wanachokiamini wao ndiyo sahihi?

Watuache, muda wao umepita wapumzike wale pension zao.

Vinginevyo 2025 tutagawana mbao za chama.
Vijana wote ndani ya CCM washakuwa machawa....

Wazee washarudi wale kwa kasi kubwa...fanya uchawa kwa wazee mambo yako yanyooke ewe kijana wa CCM.
 
Vijana wote ndani ya CCM washakuwa machawa....

Wazee washarudi wale kwa kasi kubwa...fanya uchawa kwa wazee mambo yako yanyooke ewe kijana wa CCM.
Kwa mtindo huu vijana wa ccm tutarajie kunyanyasika na kuhojiwa kama Chalamila
 
Inashangaza sana kuona Hawa wazee ambao walikuwa wameshika nafasi za juu za uongozi wakamaliza vipindi vyao bila kuacha legacy yoyote wanatutisha na kutukemea.

Dunia inabadilika hivyo nasi inabidi tubadilike. Na ili tubadilike lazima mtazamo, mtindo na mfumo wa uongozi uende tofauti na tuliouzoea.

Nimestushwa na makalipio ya mzee Makamba kwa Dr. Bashiru na Kikwete kwa Chalamila. Kwann wanakuwa kimbelembele? Nani aliyewaaminisha kuwa wanachokiamini wao ndiyo sahihi?

Watuache, muda wao umepita wapumzike wale pension zao.

Vinginevyo 2025 tutagawana mbao za chama.
Sawa Mwenyekiti na Katibu ni Vijana wa until Gani? Acha kuzarau Wazee. Viongozi wa Juu wa Chama ni under 40? Jifunze Diversity Management. Wazee ni Chachu na Baraka Kwa taifa kuwa nao.
 
Sisi wazarendo wa kweli tuna jukumu moja tu kuchochea kuni ili muuane kabisa
briquettes-template.jpg
 
Huyu Kikwete sasa atatuharibia chama, maana kila anayetaka kuyapata madaraka inabidi ajinasibishe naye. Kinyume chake ni kutafuta nongwa.

Hatuwezi kufika kwa namna hii.
Nenda huko kaunde Chama chako ,sisi tunawaheshimu wazee wetu wastaafu,unda chama chako ujaze wavuta bangi pekee
 
Back
Top Bottom