dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
why isiwe wale vijana machachari wanaoutaka urais kina komredi mwigulu na january? Kitila hana exposure kuwazidi hawa vijana walioanza kuji brand kuwa wanafaa kuwa rais wa TanzaniaNimeona kbsa kwa jicho la tatu kuwa anayetufaa hivi SAS kutupeperushia bendera ktk uchaguz ujao awe prof kitila Mkumbo ,
Huyu atatufaa Sana na Ni mtu wa hoja zilizo shiba haswa mfno hili la muuungano na chokochoko zake atalimudu vzr na tutavuka salama kizingiti hiki Cha muungano
Pili rasillimali za tanganyika zitakuwa salama mikono mwake
Siyo kwa ubaya ila huyu bwana Ana akili kubwa mno na maono aanayo
Mungu ampe nguvu huyu anatufaa haswa
Kwa Sasa safarini kueleke singida manyoni
0786757564
K
Ongeza kabisa na jingine moja ili uwe na macho manneNimeona kbsa kwa jicho la tatu kuwa anayetufaa hivi SAS kutupeperushia bendera ktk uchaguz ujao awe prof kitila Mkumbo ,
Huyu atatufaa Sana na Ni mtu wa hoja zilizo shiba haswa mfno hili la muuungano na chokochoko zake atalimudu vzr na tutavuka salama kizingiti hiki Cha muungano
Pili rasillimali za tanganyika zitakuwa salama mikono mwake
Siyo kwa ubaya ila huyu bwana Ana akili kubwa mno na maono aanayo
Mungu ampe nguvu huyu anatufaa haswa
Kwa Sasa safarini kueleke singida manyoni
0786757564
K
MKUMBO HUYU HUYU MSALITI ? MKUMBO HUYU HUYU AMBAYE NJAA ILIMFANYA AWASALITI WENZAKE? LABDA UENDE NAE WEWENimeona kbsa kwa jicho la tatu kuwa anayetufaa hivi SAS kutupeperushia bendera ktk uchaguz ujao awe prof kitila Mkumbo ,
Huyu atatufaa Sana na Ni mtu wa hoja zilizo shiba haswa mfno hili la muuungano na chokochoko zake atalimudu vzr na tutavuka salama kizingiti hiki Cha muungano
Pili rasillimali za tanganyika zitakuwa salama mikono mwake
Siyo kwa ubaya ila huyu bwana Ana akili kubwa mno na maono aanayo
Mungu ampe nguvu huyu anatufaa haswa
Kwa Sasa safarini kueleke singida manyoni
0786757564
K
Kweli kuna mtu anathubutu kuwa ccm na kujitangaza kabisaa?! Kweli wanadamu tunatofautiana.Nimeona kbsa kwa jicho la tatu kuwa anayetufaa hivi SAS kutupeperushia bendera ktk uchaguz ujao awe prof kitila Mkumbo ,
Huyu atatufaa Sana na Ni mtu wa hoja zilizo shiba haswa mfno hili la muuungano na chokochoko zake atalimudu vzr na tutavuka salama kizingiti hiki Cha muungano
Pili rasillimali za tanganyika zitakuwa salama mikono mwake
Siyo kwa ubaya ila huyu bwana Ana akili kubwa mno na maono aanayo
Mungu ampe nguvu huyu anatufaa haswa
Kwa Sasa safarini kueleke singida manyoni
0786757564
K
Hivi mnavuosema njaa Kuna Prof gani analia njaa ktk taifa lolote sidhanj Kam Ni njaa alikuwa nayo msomi mahiri Sana Yule na Hana njaa njaa za kipuuziMKUMBO HUYU HUYU MSALITI ? MKUMBO HUYU HUYU AMBAYE NJAA ILIMFANYA AWASALITI WENZAKE? LABDA UENDE NAE WEWE
Kitila anatufaa sna Sana. Namkubali binafsi na mm nimepita kweny mikono yake 🤣 Niko fiti ,timamu Kama yeyePunguza njaa mwambie huyo jamaa yako bado kabisa hajafika viwango hivyo na wewe huiwezi hiyo kazi aliyokupa ya kumpigia debe mtu ambaye hata huo ubunge tu kama sio nguvu aliyotumia bosi wao kuiba uchaguzi asingekuwa mbunge.
Ndio huyu sas anatufaha kuwa kiungozi wetu ,rais kbsa hi kero za muungano ataziIzkaHuyu huyu asiyejua Mambo ya Zanzibar au mwingine?
Naongea na. Wana ccmNenda naye wewe inatosha.
Bila shaka wee Ni chadomoUkweli Mchungu: Waliofika bei na waliobebwa kipindi cha Mwenda zake wakapata ubunge 2025 wasahau kabisa na watafute kazi nyingine.
Wee Ni chadomoPunguza njaa mwambie huyo jamaa yako bado kabisa hajafika viwango hivyo na wewe huiwezi hiyo kazi aliyokupa ya kumpigia debe mtu ambaye hata huo ubunge tu kama sio nguvu aliyotumia bosi wao kuiba uchaguzi asingekuwa mbunge.
Wee Ni chadomoHuyu huyu asiyejua Mambo ya Zanzibar au mwingine?
Dr Namugari?? Wewe ni Daktari wa nini? Maana naanza kupata mashakaNimeona kabisa kwa jicho la tatu kuwa anayetufaa hivi sasa kutupeperushia bendera ktk uchaguzi ujao awe Profesa Kitila Mkumbo ,
Huyu atatufaa sana na ni mtu wa hoja zilizo shiba haswa mfano hili la muuungano na chokochoko zake atalimudu vzr na tutavuka salama kizingiti hiki cha muungano
Pili rasillimali za Tanganyika zitakuwa salama mikono mwake
Siyo kwa ubaya ila huyu bwana ana akili kubwa mno na maono anayo
Mungu ampe nguvu huyu anatufaa haswa
Kwa Sasa safarini kueleke Singida Manyoni
0786757564
K
Weee Ni chadomoMKUMBO HUYU HUYU MSALITI ? MKUMBO HUYU HUYU AMBAYE NJAA ILIMFANYA AWASALITI WENZAKE? LABDA UENDE NAE WEWE
Mkiwa mmezidiwa na hoja mnakimbilia huko mnawaona watu wote wanaopishana na mawazo yenu ni Chadema!Wee Ni chadomo