King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Bila shaka wee Ni chadomo
The bitter truth.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka wee Ni chadomo
Wewe Ni chadomo bhna ovaMkiwa mmezidiwa na hoja mnakimbilia huko mnawaona watu wote wanaopishana na mawazo yenu ni Chadema!
Mimi nimekataa kuwa mtumwa wa chama chochote cha siasa hivyo nipo huru kukosoa au kupongeza yeyote.
Ni msomi wa kiiwango kikubwa kubwa Zaid anajenga hoja ikaeleweka ingawa.nae Ni msheniz tu alipitisha dpw kuitetea ulagia naamini siyo akioizakeNi Jimbo lake tu la ubungo kama kalitelekeza
Huyo mzee wa xtrail urais wapi na wapi!
Ova
Akili yako ndivyo inavyokutuma nikiendelea kukubishia nitapoteza muda wangu tu.Wewe Ni chadomo bhna ova
Wee chadomoMama Samia huyu Kitila Mkumbo ana tamaa sana ya madaraka.Hapa ametuma machawa wake ili wailete hii thread.Muangalie sana huyu usidhani haijui hii thread anaijua sana.Kuwa makini nae huyu ndo wale wapinzani wako ndani ya CcM
🤣🤣🤣🤣🤣😂Ila nafikiria, mleta mada km vile hapa ndiyo unamsagia kunguni! 😄
Huyo mpuuz wa ubungo ambaye amelitelekeza jimbo lake?Nimeona kabisa kwa jicho la tatu kuwa anayetufaa hivi sasa kutupeperushia bendera ktk uchaguzi ujao awe Profesa Kitila Mkumbo ,
Huyu atatufaa sana na ni mtu wa hoja zilizo shiba haswa mfano hili la muuungano na chokochoko zake atalimudu vzr na tutavuka salama kizingiti hiki cha muungano
Pili rasillimali za Tanganyika zitakuwa salama mikono mwake
Siyo kwa ubaya ila huyu bwana ana akili kubwa mno na maono anayo
Mungu ampe nguvu huyu anatufaa haswa
Kwa Sasa safarini kueleke Singida Manyoni
0786757564
K
Acha ujinga ww humjui le professionalPicha tafadhari
Mm namjuwa huyo ktambo mzee wa xtrail ,huyo uongozi hawezi huyo anafaaa kubaki tu darasaniNi msomi wa kiiwango kikubwa kubwa Zaid anajenga hoja ikaeleweka ingawa.nae Ni msheniz tu alipitisha dpw kuitetea ulagia naamini siyo akioizake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]MKUMBO HUYU HUYU MSALITI ? MKUMBO HUYU HUYU AMBAYE NJAA ILIMFANYA AWASALITI WENZAKE? LABDA UENDE NAE WEWE
Acha kuwaita watu wapuuz elimu yake huna na ukoo wenu nzima hauna elimu hyo yake acha dharau kijana Kama wee utaweza kufanya kitu nenda kagombee Kama utafanya kituHuyo mpuuz wa ubungo ambaye amelitelekeza jimbo lake?
Kwanin unamuita mzee wa extraioKwaMm namjuwa huyo ktambo mzee wa xtrail ,huyo uongozi hawezi huyo anafaaa kubaki tu darasani
Afundishe tu
Ova
Basi tumpe baba ako mdg nchimmbi Kama prof hatufaiSitaki kuamini, nchi imekosa kabisa mtu wa kuweza kuukwaa urais.
Duuh hii hatarii
Pole chadomo 🤣🤣Akili yako ndivyo inavyokutuma nikiendelea kukubishia nitapoteza muda wangu tu.