Wanaccm wenzangu twendeni na Profesa Kitila Mkumbo 2025

Wanaccm wenzangu twendeni na Profesa Kitila Mkumbo 2025

Nimeona kabisa kwa jicho la tatu kuwa anayetufaa hivi sasa kutupeperushia bendera ktk uchaguzi ujao awe Profesa Kitila Mkumbo ,

Huyu atatufaa sana na ni mtu wa hoja zilizo shiba haswa mfano hili la muuungano na chokochoko zake atalimudu vzr na tutavuka salama kizingiti hiki cha muungano

Pili rasillimali za Tanganyika zitakuwa salama mikono mwake

Siyo kwa ubaya ila huyu bwana ana akili kubwa mno na maono anayo

Mungu ampe nguvu huyu anatufaa haswa

Kwa Sasa safarini kueleke Singida Manyoni
0786757564
K
Acha kuchonganisha watu na mamlaka
 
Acha kuwaita watu wapuuz elimu yake huna na ukoo wenu nzima hauna elimu hyo yake acha dharau kijana Kama wee utaweza kufanya kitu nenda kagombee Kama utafanya kitu
🤣🤣🤣🤣Phd ya mambo ya unyago ndo kawa profesa🤣Profesa au propesa😂?
 
Huyu anafaa kabisa Ba mdogo wangu, afu umejuaje km ni ba mdogo angu? Umenistua
Kwani wangoni wote s ndugu ,
Mm nakuoata vzr tu wee endelea au nikutajie jina la Bab ako wewe
M
 
Kwa taarifa yako FOMU TUTAPRINT MOJA TU😊
Hamtaa aminj kitakacho tokeaa fomu zitakuwa nne lamz apitie mchakato mzima wa chama Cha ccm hakuma mbeleko habebwi mtu yeye amlizie kipondo Cha magu akaemde zake kizimkazi
 
Nimeona kabisa kwa jicho la tatu kuwa anayetufaa hivi sasa kutupeperushia bendera ktk uchaguzi ujao awe Profesa Kitila Mkumbo ,

Huyu atatufaa sana na ni mtu wa hoja zilizo shiba haswa mfano hili la muuungano na chokochoko zake atalimudu vzr na tutavuka salama kizingiti hiki cha muungano

Pili rasillimali za Tanganyika zitakuwa salama mikono mwake

Siyo kwa ubaya ila huyu bwana ana akili kubwa mno na maono anayo

Mungu ampe nguvu huyu anatufaa haswa

Kwa Sasa safarini kueleke Singida Manyoni
0786757564
K
Amka CCM ina mgombea wake
 
Back
Top Bottom