Wanaccm wenzangu twendeni na Profesa Kitila Mkumbo 2025

Jimbo lake tu la ubungo kama kalitelekeza
Huyo mzee wa xtrail urais wapi na wapi!

Ova
 
Nchi fulani hata babalevel ggy money wanaweza kuwa marais
Mbona

Ova
 
Mkiwa mmezidiwa na hoja mnakimbilia huko mnawaona watu wote wanaopishana na mawazo yenu ni Chadema!
Mimi nimekataa kuwa mtumwa wa chama chochote cha siasa hivyo nipo huru kukosoa au kupongeza yeyote.
Wewe Ni chadomo bhna ova
 
Mama Samia huyu Kitila Mkumbo ana tamaa sana ya madaraka.Hapa ametuma machawa wake ili wailete hii thread.Muangalie sana huyu usidhani haijui hii thread anaijua sana.Kuwa makini nae huyu ndo wale wapinzani wako ndani ya CcM
 
Ni Jimbo lake tu la ubungo kama kalitelekeza
Huyo mzee wa xtrail urais wapi na wapi!

Ova
Ni msomi wa kiiwango kikubwa kubwa Zaid anajenga hoja ikaeleweka ingawa.nae Ni msheniz tu alipitisha dpw kuitetea ulagia naamini siyo akioizake
 
Mama Samia huyu Kitila Mkumbo ana tamaa sana ya madaraka.Hapa ametuma machawa wake ili wailete hii thread.Muangalie sana huyu usidhani haijui hii thread anaijua sana.Kuwa makini nae huyu ndo wale wapinzani wako ndani ya CcM
Wee chadomo
 
Huyo mpuuz wa ubungo ambaye amelitelekeza jimbo lake?
 
Ni msomi wa kiiwango kikubwa kubwa Zaid anajenga hoja ikaeleweka ingawa.nae Ni msheniz tu alipitisha dpw kuitetea ulagia naamini siyo akioizake
Mm namjuwa huyo ktambo mzee wa xtrail ,huyo uongozi hawezi huyo anafaaa kubaki tu darasani
Afundishe tu

Ova
 
Huyo mpuuz wa ubungo ambaye amelitelekeza jimbo lake?
Acha kuwaita watu wapuuz elimu yake huna na ukoo wenu nzima hauna elimu hyo yake acha dharau kijana Kama wee utaweza kufanya kitu nenda kagombee Kama utafanya kitu
 
Sitaki kuamini, nchi imekosa kabisa mtu wa kuweza kuukwaa urais.
Duuh hii hatarii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…