WanaCCM wote Tarime waliohamia CHADEMA na kupokelewa na Heche warudi tena CCM!

WanaCCM wote Tarime waliohamia CHADEMA na kupokelewa na Heche warudi tena CCM!

MsemajiUkweli

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2012
Posts
13,171
Reaction score
23,996
Siku 7 zilizopita kuna thread ililetwa hapa ikitoa taarifa kuwa wanaCCM wote wa tawi la Kiterere kata ya Bumera katika jimbo la Tarime wamejiunga CHADEMA baada ya aliyekuwa kiongozi wa kijiji kwa tiketi ya CCM kukatwa jina lake katika kura za maoni ya kuchagua wagombea kwa tiketi ya CCM.

Thread hii hapa;
GONGALINK>>>Heche aendelea kuibomoa CCM huko Tarime

WanaCCM hao wamedai walipatwa na hasira na kufanya maamuzi yasiyo na busara, baada ya hasira zao kushuka wamegundua walichofanya hakifai na wameamua kurudi tena CCM kwa sababu CCM ina uwanja mpana wa mawazo na kutatua migogoro.

Kuna baadhi ya watu na hata wanaJamiiforums walimuonya Heche kuhusu uamuzi wa kuwapokea wanaCCM bila hata ya kufanya uchunguzi kama ilivyotokea kwenye kipindi cha ‘’Mafuriko ya Lowassa’’ lakini hakusikia.

Hii tabia ya viongozi wa vyama vya upinzani ya kusubiri wanaCCM wakatwe kwenye kura za maoni halafu wawapokee itaendelea kuwatafuna mpaka pale watakapojua msingi wa tatizo.

VIDEO YA WALIORUDI CCM WAKISHANGILIA NA KUTOA SABABU ZA WAO KURUDI CCM
 
Cdm ni wajinga sana, chama bado kichanga hakiwezi kuwa kinafanya utafiti? Mtapokea matapishi hata lini? Mnatukatisha tamaa, mtabaki kusema mmeibiwa kura lkn mnajiharibia. Sisi wengine tunategemea pembeni ila movie zenu Mwl wenu ni Mr Bean
 
Cdm ni wajinga sana, chama bado kichanga hakiwezi kuwa kinafanya utafiti? Mtapokea matapishi hata lini? Mnatukatisha tamaa, mtabaki kusema mmeibiwa kura lkn mnajiharibia. Sisi wengine tunategemea pembeni ila movie zenu Mwl wenu ni Mr Bean
Yaani unawategemea wanasiasa ambao unasema ni wajinga? Basi wewe utakuwa una matatizo/mjinga zaidi!
 
Siasa zetu ni fursa mkuu, unanyakua waliokatwa...

Ukifika uchaguzi unaacha CCM asilia wapambane na CCM masalia...

Baada ya hapo tunasubiri uchaguzi ujaooooo
Cdm ni wajinga sana, chama bado kichanga hakiwezi kuwa kinafanya utafiti? Mtapokea matapishi hata lini? Mnatukatisha tamaa, mtabaki kusema mmeibiwa kura lkn mnajiharibia. Sisi wengine tunategemea pembeni ila movie zenu Mwl wenu ni Mr Bean
 
Siasa zetu ni fursa mkuu, unanyakua waliokatwa...

Ukifika uchaguzi unaacha CCM asilia wapambane na CCM masalia...

Baada ya hapo tunasubiri uchaguzi ujaooooo
Mimi huwa nawashangaa sana wale wafuasi na wapambe ambao hupigana mpaka ngumi eti wakimpigania mwanasiasa wa Tanzania!

Mtu anapata majeraha ya mwili eti akizipigania kura za wanasiasa halafu kesho mwanasiasa huyo anaanza ''kura bata na familia yake'' wakati yeye akiuguza majeraha au yuko gerezani!

Wajinga ndio waliwao!
 
Siku 7 zilizopita kuna thread ililetwa hapa ikitoa taarifa kuwa wanaCCM wote wa tawi la Kiterere kata ya Bumera katika jimbo la Tarime wamejiunga CHADEMA baada ya aliyekuwa kiongozi wa kijiji kwa tiketi ya CCM kukatwa jina lake katika kura za maoni ya kuchagua wagombea kwa tiketi ya CCM.

Thread hii hapa;
GONGALINK>>>Heche aendelea kuibomoa CCM huko Tarime

WanaCCM hao wamedai walipatwa na hasira na kufanya maamuzi yasiyo na busara, baada ya hasira zao kushuka wamegundua walichofanya hakifai na wameamua kurudi tena CCM kwa sababu CCM ina uwanja mpana wa mawazo na kutatua migogoro.

Kuna baadhi ya watu na hata wanaJamiiforums walimuonya Heche kuhusu uamuzi wa kuwapokea wanaCCM bila hata ya kufanya uchunguzi kama ilivyotokea kwenye kipindi cha ‘’Mafuriko ya Lowassa’’ lakini hakusikia.

Hii tabia ya viongozi wa vyama vya upinzani ya kusubiri wanaCCM wakatwe kwenye kura za maoni halafu wawapokee itaendelea kuwatafuna mpaka pale watakapojua msingi wa tatizo.

VIDEO YA WALIORUDI CCM WAKISHANGILIA NA KUTOA SABABU ZA WAO KURUDI CCM
Mbona huo ni msukule Tu.
 
Mimi huwa nawashangaa sana wale wafuasi na wapambe ambao hupigana mpaka ngumi eti wakimpigania mwanasiasa wa Tanzania!

Mtu anapata majeraha ya mwili eti akizipigania kura za wanasiasa halafu kesho mwanasiasa huyo anaanza ''kura bata na familia yake'' wakati yeye akiuguza majeraha au yuko gerezani!

Wajinga ndio waliwao!
Binafsi nikupinge kwenye Hii hoja..... Ulimwengu wa 3 ni maskini watu hawana matumaini hivyo solution yoyote inayojitokeza iwe mtume & Nabii,mganga, wanasiasa n.k wao watajitoa tu ilimradi inawapa matumaini ya ''a better tomorrow''.

La pili, Kuna wanasiasa pia wanajitoa kwa ajili ya wananchi wasiojitambua!! Mfano kina Chifupa walikufa wakitetea vijana, Lissu kafungwa sana Tarime kutetea rasilimali za nchi Je hawa nao tuwaite wajinga kisa wamejitoa kwa wananchi?? Mbona Mbowe na Sugu wamefungwa gerezani huku wananchi ''wakila bata'' makwao??

Msipende kutoa hoja kulalia Upande mmoja..... Fanya analysis ya pande zote mbili ili usiwe biased kwenye hoja yako.
 
Siku 7 zilizopita kuna thread ililetwa hapa ikitoa taarifa kuwa wanaCCM wote wa tawi la Kiterere kata ya Bumera katika jimbo la Tarime wamejiunga CHADEMA baada ya aliyekuwa kiongozi wa kijiji kwa tiketi ya CCM kukatwa jina lake katika kura za maoni ya kuchagua wagombea kwa tiketi ya CCM.

Thread hii hapa;
GONGALINK>>>Heche aendelea kuibomoa CCM huko Tarime

WanaCCM hao wamedai walipatwa na hasira na kufanya maamuzi yasiyo na busara, baada ya hasira zao kushuka wamegundua walichofanya hakifai na wameamua kurudi tena CCM kwa sababu CCM ina uwanja mpana wa mawazo na kutatua migogoro.

Kuna baadhi ya watu na hata wanaJamiiforums walimuonya Heche kuhusu uamuzi wa kuwapokea wanaCCM bila hata ya kufanya uchunguzi kama ilivyotokea kwenye kipindi cha ‘’Mafuriko ya Lowassa’’ lakini hakusikia.

Hii tabia ya viongozi wa vyama vya upinzani ya kusubiri wanaCCM wakatwe kwenye kura za maoni halafu wawapokee itaendelea kuwatafuna mpaka pale watakapojua msingi wa tatizo.

VIDEO YA WALIORUDI CCM WAKISHANGILIA NA KUTOA SABABU ZA WAO KURUDI CCM
Tanzania wapumbavu hawataisha kamwe.
 
Siku 7 zilizopita kuna thread ililetwa hapa ikitoa taarifa kuwa wanaCCM wote wa tawi la Kiterere kata ya Bumera katika jimbo la Tarime wamejiunga CHADEMA baada ya aliyekuwa kiongozi wa kijiji kwa tiketi ya CCM kukatwa jina lake katika kura za maoni ya kuchagua wagombea kwa tiketi ya CCM.

Thread hii hapa;
GONGALINK>>>Heche aendelea kuibomoa CCM huko Tarime

WanaCCM hao wamedai walipatwa na hasira na kufanya maamuzi yasiyo na busara, baada ya hasira zao kushuka wamegundua walichofanya hakifai na wameamua kurudi tena CCM kwa sababu CCM ina uwanja mpana wa mawazo na kutatua migogoro.

Kuna baadhi ya watu na hata wanaJamiiforums walimuonya Heche kuhusu uamuzi wa kuwapokea wanaCCM bila hata ya kufanya uchunguzi kama ilivyotokea kwenye kipindi cha ‘’Mafuriko ya Lowassa’’ lakini hakusikia.

Hii tabia ya viongozi wa vyama vya upinzani ya kusubiri wanaCCM wakatwe kwenye kura za maoni halafu wawapokee itaendelea kuwatafuna mpaka pale watakapojua msingi wa tatizo.

VIDEO YA WALIORUDI CCM WAKISHANGILIA NA KUTOA SABABU ZA WAO KURUDI CCM

Njaa mbaya
Mshawatia pesa wafanyeje?
 
Binafsi nikupinge kwenye Hii hoja..... Ulimwengu wa 3 ni maskini watu hawana matumaini hivyo solution yoyote inayojitokeza iwe mtume & Nabii,mganga, wanasiasa n.k wao watajitoa tu ilimradi inawapa matumaini ya ''a better tomorrow''.

La pili, Kuna wanasiasa pia wanajitoa kwa ajili ya wananchi wasiojitambua!! Mfano kina Chifupa walikufa wakitetea vijana, Lissu kafungwa sana Tarime kutetea rasilimali za nchi Je hawa nao tuwaite wajinga kisa wamejitoa kwa wananchi?? Mbona Mbowe na Sugu wamefungwa gerezani huku wananchi ''wakila bata'' makwao??

Msipende kutoa hoja kulalia Upande mmoja..... Fanya analysis ya pande zote mbili ili usiwe biased kwenye hoja yako.
Hakuna mwanasiasa Tanzania anayejitoa kwa ajili wa wananchi kabla ya tumbo lake na familia yake.

Hoja ya kusema mwanasiasa fulani Tanzania amekufa au kufubgwa kwa sababu ya kutetea wananchi nchini ni hoja yenye matobo kwenye nguvu za hoja. Hawa wanafungwa au kuuwawa kwa kutetea wanachoendelea kukipata kwa njia ya siasa kwa manufaa kwanza yao na familia zao.

Siasa nchini ni kazi ya kipato na pia ni biashara!

Wanasiasa wa Tanzania ni wanafiki tu.
 
Adui hutakiwi ukae naye mbali,inatakiwa uwe naye karibu ili uweze kumuhujumu
Nalog off
 
Binafsi nikupinge kwenye Hii hoja..... Ulimwengu wa 3 ni maskini watu hawana matumaini hivyo solution yoyote inayojitokeza iwe mtume & Nabii,mganga, wanasiasa n.k wao watajitoa tu ilimradi inawapa matumaini ya ''a better tomorrow''.

La pili, Kuna wanasiasa pia wanajitoa kwa ajili ya wananchi wasiojitambua!! Mfano kina Chifupa walikufa wakitetea vijana, Lissu kafungwa sana Tarime kutetea rasilimali za nchi Je hawa nao tuwaite wajinga kisa wamejitoa kwa wananchi?? Mbona Mbowe na Sugu wamefungwa gerezani huku wananchi ''wakila bata'' makwao??

Msipende kutoa hoja kulalia Upande mmoja..... Fanya analysis ya pande zote mbili ili usiwe biased kwenye hoja yako.
Mkuu mtoe Lisu hapo.Lisu alikua anapigania mabeberu na yuko huko kwa mabeberu anaendelea kiwapigania.
 
Back
Top Bottom