WanaCCM wote Tarime waliohamia CHADEMA na kupokelewa na Heche warudi tena CCM!

WanaCCM wote Tarime waliohamia CHADEMA na kupokelewa na Heche warudi tena CCM!

Watarudi tena CHADEMA akienda Heche, wanachama ni hawa hawa wadanganyika, hajuna chama kina import wanachana wake.

Hapo ndio mnapata shida wapambe, mkiwepo wenu, mkiondoka wanahama.
 
Mimi huwa nawashangaa sana wale wafuasi na wapambe ambao hupigana mpaka ngumi eti wakimpigania mwanasiasa wa Tanzania!

Mtu anapata majeraha ya mwili eti akizipigania kura za wanasiasa halafu kesho mwanasiasa huyo anaanza ''kura bata na familia yake'' wakati yeye akiuguza majeraha au yuko gerezani!

Wajinga ndio waliwao!
Nadhani wanapigania haki itendeke katika demokrasia.

Tukiwa na mifumo inayotoa haki na ikiaminiwa na wananchi kuwa inatenda haki,sitarajii hizo dhoruba zitokee.

Vinginevyo kwa sasa haya yataendelea ama watu waache kabisa kufanya uchaguzi katika ngazi zote.

Mfano mtu X wananchi waliowengi wanamuunga mkono na wanaamini wamempiagia kura,lakini wewe ndugu mwambafai unaamua tu kumtangaza Y kuwa ndiye mshindi huku ukijua kabisa kura kwake hazikutosha.
 
Hakuna mwanasiasa Tanzania anayejitoa kwa ajili wa wananchi kabla ya tumbo lake na familia yake.

Hoja ya kusema mwanasiasa fulani Tanzania amekufa au kufubgwa kwa sababu ya kutetea wananchi nchini ni hoja yenye matobo kwenye nguvu za hoja. Hawa wanafungwa au kuuwawa kwa kutetea wanachoendelea kukipata kwa njia ya siasa kwa manufaa kwanza yao na familia zao.

Siasa nchini ni kazi ya kipato na pia ni biashara!

Wanasiasa wa Tanzania ni wanafiki tu.
Kama ni hivi kwanini Lissu au Maalim seif wasirudi CCM wapewe uwaziri ''wale bata'' kuliko kupewa makesi kila siku na kumaliza pesa mahakamani!!

Mkuu usiwe biased ina maana Lisu kutwangwa bunduki zote zile kisa tumbo lake?? Why the risk wakati CCM ni risk free?? Na angekuwa waziri kama waitara??

Ukinijibu hapa ndio nitakuonyesha Bias yako ilipo.....
 
Cdm ni wajinga sana, chama bado kichanga hakiwezi kuwa kinafanya utafiti? Mtapokea matapishi hata lini? Mnatukatisha tamaa, mtabaki kusema mmeibiwa kura lkn mnajiharibia. Sisi wengine tunategemea pembeni ila movie zenu Mwl wenu ni Mr Bean
chademma
Kwa hiyo ccm huna inapokea kinyesi inapopokea watu na wa arudi
 
WanaCCM hao wamedai walipatwa na hasira na kufanya maamuzi yasiyo na busara, baada ya hasira zao kushuka wamegundua walichofanya hakifai na wameamua kurudi tena CCM kwa sababu CCM ina uwanja mpana wa mawazo na kutatua migogoro.

Kuna baadhi ya watu na hata wanaJamiiforums walimuonya Heche kuhusu uamuzi wa kuwapokea wanaCCM bila hata ya kufanya uchunguzi kama ilivyotokea kwenye kipindi cha ‘’Mafuriko ya Lowassa’’ lakini hakusikia.


Lakini hata wale wanyama wa ukanda huohuo huwa wanahamahama hivyohivyo kwenda Kenya na kurudi Tanzania
 
Hakuna mwanasiasa Tanzania anayejitoa kwa ajili wa wananchi kabla ya tumbo lake na familia yake.

Hoja ya kusema mwanasiasa fulani Tanzania amekufa au kufubgwa kwa sababu ya kutetea wananchi nchini ni hoja yenye matobo kwenye nguvu za hoja. Hawa wanafungwa au kuuwawa kwa kutetea wanachoendelea kukipata kwa njia ya siasa kwa manufaa kwanza yao na familia zao.

Siasa nchini ni kazi ya kipato na pia ni biashara!

Wanasiasa wa Tanzania ni wanafiki tu.
Kama ni hivi kwanini Lissu au Maalim seif wasirudi CCM wapewe uwaziri ''wale bata'' kuliko kupewa makesi kila siku na kumaliza pesa mahakamani!!

Mkuu usiwe biased ina maana Lisu kutwangwa bunduki zote zile kisa tumbo lake?? Why the risk wakati CCM ni risk free?? Na angekuwa waziri kama waitara??

Ukinijibu hapa ndio nitakuonyesha Bias yako ilipo.....
 
Mkuu mtoe Lisu hapo.Lisu alikua anapigania mabeberu na yuko huko kwa mabeberu anaendelea kiwapigania.
Mbuzi jike mnajishebeduaaaa
1571388931284.jpeg
 
Mkuu mtoe Lisu hapo.Lisu alikua anapigania mabeberu na yuko huko kwa mabeberu anaendelea kiwapigania.
Kwahiyo kipindi anafukuzwa bungeni kisa kupinga muswada wa mambo ya nishati na rasilimali (Gesi) julai 30, 2015 alikua anapigani mabeberu??

Je CCM walioupitisha kwa kelele nyingi alafu wakaja kukiri tuliibiwa nani kati yao alitumika na mabeberu??

Anyway nionyeshe statement hta moja ya Lissu aliowatetea beberu?? Yaani mtu kukupa tahadhari usikamate mali kabla hujajitoa MIGA ili kuepuka kesi ndio yupo na mabeberu?? Mtu mbaya si angekaa kimya ili yakiwatokea puani apate pa kuwachekea.

Kama watz wote wanawaza hivi kuhusu Lissu basi tuna safari ndefu sana kufikia uchumi wa kati
 
Shukrani sana Heche kwa kuhakikisha wananchi wanakomba fedha kutoka ccm
 
Siku 7 zilizopita kuna thread ililetwa hapa ikitoa taarifa kuwa wanaCCM wote wa tawi la Kiterere kata ya Bumera katika jimbo la Tarime wamejiunga CHADEMA baada ya aliyekuwa kiongozi wa kijiji kwa tiketi ya CCM kukatwa jina lake katika kura za maoni ya kuchagua wagombea kwa tiketi ya CCM.

Thread hii hapa;
GONGALINK>>>Heche aendelea kuibomoa CCM huko Tarime

WanaCCM hao wamedai walipatwa na hasira na kufanya maamuzi yasiyo na busara, baada ya hasira zao kushuka wamegundua walichofanya hakifai na wameamua kurudi tena CCM kwa sababu CCM ina uwanja mpana wa mawazo na kutatua migogoro.

Kuna baadhi ya watu na hata wanaJamiiforums walimuonya Heche kuhusu uamuzi wa kuwapokea wanaCCM bila hata ya kufanya uchunguzi kama ilivyotokea kwenye kipindi cha ‘’Mafuriko ya Lowassa’’ lakini hakusikia.

Hii tabia ya viongozi wa vyama vya upinzani ya kusubiri wanaCCM wakatwe kwenye kura za maoni halafu wawapokee itaendelea kuwatafuna mpaka pale watakapojua msingi wa tatizo.

VIDEO YA WALIORUDI CCM WAKISHANGILIA NA KUTOA SABABU ZA WAO KURUDI CCM

Senseless song
 
Siku 7 zilizopita kuna thread ililetwa hapa ikitoa taarifa kuwa wanaCCM wote wa tawi la Kiterere kata ya Bumera katika jimbo la Tarime wamejiunga CHADEMA baada ya aliyekuwa kiongozi wa kijiji kwa tiketi ya CCM kukatwa jina lake katika kura za maoni ya kuchagua wagombea kwa tiketi ya CCM.

Thread hii hapa;
GONGALINK>>>Heche aendelea kuibomoa CCM huko Tarime

WanaCCM hao wamedai walipatwa na hasira na kufanya maamuzi yasiyo na busara, baada ya hasira zao kushuka wamegundua walichofanya hakifai na wameamua kurudi tena CCM kwa sababu CCM ina uwanja mpana wa mawazo na kutatua migogoro.

Kuna baadhi ya watu na hata wanaJamiiforums walimuonya Heche kuhusu uamuzi wa kuwapokea wanaCCM bila hata ya kufanya uchunguzi kama ilivyotokea kwenye kipindi cha ‘’Mafuriko ya Lowassa’’ lakini hakusikia.

Hii tabia ya viongozi wa vyama vya upinzani ya kusubiri wanaCCM wakatwe kwenye kura za maoni halafu wawapokee itaendelea kuwatafuna mpaka pale watakapojua msingi wa tatizo.

VIDEO YA WALIORUDI CCM WAKISHANGILIA NA KUTOA SABABU ZA WAO KURUDI CCM
Taarifa mbaya Sana kwa wale Waliomuona Mr Heche Kama shujaa wao. Ila Mimi niliwaambia kuhusu kuwapokea hao watu lakini watu kutoka ufipani wakaja wakanitolea povu haya Sasa hata Wiki haijaisha tayari Mmeshakipata mlichokuwa mnakitafuta. Chama Cha kijani kitaendelea kucheza na akili yenu mpaka pale Mtakapopata pata akili na nawambia Msipokuwa makini Membe ndo atakuwa Mgombea urais Kupitia chama chenu baada ya kumpokea Kama shujaa then uchaguzi ukiisha Atarudi nyumbani kwao Kama mzee mwenye nywere nyeupe alivorudi.
 
Back
Top Bottom