Tetesi: Wanachadema wajiandaa kuvamia mkutano wa Waziri Mkuu wakijifanya na wao wafanyabiashara, lengo kuvuruga

Tetesi: Wanachadema wajiandaa kuvamia mkutano wa Waziri Mkuu wakijifanya na wao wafanyabiashara, lengo kuvuruga

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Vikao vya Siri vya wanachadema vinaendelea chini ya uratibu wa viongozi wao wakuu.

Lengo na wao wajichanganye katika mkutano wa Waziri Mkuu na wafanyabiashara wakiwa na ajenda zao za kisiasa.

Maofisa wa Chadema makao makuu ambao hawajawahi kuuza hata senene au chumvi, wameandaliwa kukaa mstari wa mbele ili kuwasilisha ajenda zao za kisiasa.

Baadhi ya wafanyabiashara halali nao wanajipanga Kila mtu aende ne leseni yake, na kwamba watafanya ukaguzi mlangoni ili kujiridhisha kwamba anayeingia kweli ni mfanyabiashara.

Mgomo huo wa wafanyabiashara Sasa umechukua sura ya jinai na uhalifu kwa kutishia wale ambao hawataki kugoma, na wamekuwa wakiwaita ni Wana ccm. Baadhi ya wanaotoa vitisho kwa wafanyabiashara ni wanachadema ambao wako maeneo ya ilala.
 
Leo hali ilikuwaje? wameendelea kufunga maduka au wamefungua kutoa nafasi kukutana na PM.
 
Kuna mambo mengine unaandika halafu watu wengine wanasikia aibu kwa ujinga unaoonyesha. Wajinga kama hawa ndiyo wamefukuza members wengi tulioanza nao hapa ambao walikuwa na michango ya maana na kuifanya JF ionekane sehemu muhimu.
yaani jf imekuwa sikuhizi kama global publisher ..enzi za enzi..ilikuwa ya maarifa sana na habari nyeti fact...yaani ulikuwa ukiandika hisia tu unaombwa fact data...wapi kama huna linapuuzwa..ila sio siku hizi
 
Back
Top Bottom