Unajiuliza swali mmoja tu la msingi Abdulhaman Kinana kuwa makamu mwenyekiti CCM bara kuna faida kwao?
Kwani nini wafurahia na kukenua meno?
Kinana kuwa makamu wa CCM bara kuna manufaa gani kwao?
Nyuma ya pazia kuna faida kubwa kwao. Maana kwa miaka sita CCM A haukuwapa nafasi ya kufanya siasa njaa za kilaghai.
Sasa wanakenua mambo kwa kuwa CCM A itawapa ahueni ya kufanya siasa za kilaghai?
Unajiuliza swali mmoja tu la msingi Abdulhaman Kinana kuwa makamu mwenyekiti CCM bara kuna faida kwao?
Kwani nini wafurahia na kukenua meno?
Kinana kuwa makamu wa CCM bara kuna manufaa gani kwao?
Nyuma ya pazia kuna faida kubwa kwao. Maana kwa miaka sita CCM A haukuwapa nafasi ya kufanya siasa njaa za kilaghai.
Sasa wanakenua mambo kwa kuwa CCM A itawapa ahueni ya kufanya siasa za kilaghai?
Nimegundua juzi kumbe kuna wanaojiita wapinzani lakini wana vikundi vyao wanavipenda ndani ya CCM, wapinzani wanakwambia heri huyu kuliko yule wanasahau hao wote wanatoka CCM, tuna safari bado ndefu sana.
Sasa tuambie Kwako faida ni ipi,au hata hufahamu,kukusaidia,Kwako Yale maguvu yaliyokuwa yanatumiwa na tembo kuua sisimizi,Sasa yataelekezwa kulima mashamba,hivyo mavuno yatamsaidia mkulima na wote wataishi Kwa amani sisimizi atakula atasaza na tembo atashiba na kula kivulini 😜Unajiuliza swali mmoja tu la msingi Abdulhaman Kinana kuwa makamu mwenyekiti CCM bara kuna faida kwao?
Kwani nini wafurahia na kukenua meno?
Kinana kuwa makamu wa CCM bara kuna manufaa gani kwao?
Nyuma ya pazia kuna faida kubwa kwao. Maana kwa miaka sita CCM A haukuwapa nafasi ya kufanya siasa njaa za kilaghai.
Sasa wanakenua mambo kwa kuwa CCM A itawapa ahueni ya kufanya siasa za kilaghai?
Mlizoeshwa siasa za vita na mwendazake,kwani Kinana siyo Mtanzania???Na chama kinachotawala Tanznia ni chama gani kama siyo ccm,Kinana kuwa kiongozi isikupe shido ni kiongozi wa nchi kama viongozi wengine.Unajiuliza swali mmoja tu la msingi Abdulhaman Kinana kuwa makamu mwenyekiti CCM bara kuna faida kwao?
Kwani nini wafurahia na kukenua meno?
Kinana kuwa makamu wa CCM bara kuna manufaa gani kwao?
Nyuma ya pazia kuna faida kubwa kwao. Maana kwa miaka sita CCM A haukuwapa nafasi ya kufanya siasa njaa za kilaghai.
Sasa wanakenua mambo kwa kuwa CCM A itawapa ahueni ya kufanya siasa za kilaghai?
Una taira hili nalo tafuta ushujaa na weee ukifa ufunge bara baraMATAGA wajane mjiandae kisaikogia wapendwa, Mama analeta faili la SHUJAA toka Milembe.
Dr Slaa ni nani vile katika siasa???? Kuna chama chochote cha siasa aliwahi kukianzisha??? Wewe huoni kuwa yule ni mwanasiasa malaya malaya.Chadema haijawahi kuwa mpinzani wa kweli…ndio maana Dr.Slaa akawaachia mavumbi aliposhtuka ana dili na genge la wahuni akaungana na mzalendo mwenzake JPM…
Nyumbu mama yako na sukuma gang.Hivi unafikiri aliyewapa jina la nyumbu alikosea mkuu??[emoji28][emoji28]wazoee tu.
Kuna muda huwa unajionesha ugonjwa wa sotoka ulivyokuathiri.Hivi unajua kutofautisha kati ya kuchekelewa na kuchekwa?Unajiuliza swali mmoja tu la msingi Abdulhaman Kinana kuwa makamu mwenyekiti CCM bara kuna faida kwao?
Kwani nini wafurahia na kukenua meno?
Kinana kuwa makamu wa CCM bara kuna manufaa gani kwao?
Nyuma ya pazia kuna faida kubwa kwao. Maana kwa miaka sita CCM A haukuwapa nafasi ya kufanya siasa njaa za kilaghai.
Sasa wanakenua mambo kwa kuwa CCM A itawapa ahueni ya kufanya siasa za kilaghai?