Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
Unajiuliza swali mmoja tu la msingi Abdulhaman Kinana kuwa makamu mwenyekiti CCM bara kuna faida kwao?
Kwani nini wafurahia na kukenua meno?
Kinana kuwa makamu wa CCM bara kuna manufaa gani kwao?
Nyuma ya pazia kuna faida kubwa kwao. Maana kwa miaka sita CCM A haukuwapa nafasi ya kufanya siasa njaa za kilaghai.
Sasa wanakenua mambo kwa kuwa CCM A itawapa ahueni ya kufanya siasa za kilaghai?
Kwani nini wafurahia na kukenua meno?
Kinana kuwa makamu wa CCM bara kuna manufaa gani kwao?
Nyuma ya pazia kuna faida kubwa kwao. Maana kwa miaka sita CCM A haukuwapa nafasi ya kufanya siasa njaa za kilaghai.
Sasa wanakenua mambo kwa kuwa CCM A itawapa ahueni ya kufanya siasa za kilaghai?