Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Wewe si ulitangaza kuwa ma nia ya kuita waandishi wa habari kwa ajili ya kubwaga manyanga!? Sasa umesahau nini nyuma mpaka uzidi kung'a g'ania tena ukamanda wako feki!?Tatizo kubwa makamanda wenzangu huwa wanawaza pesa tu.
Mahesabu sasa ni kurudi mjengoni. Kisa tu ukiwa mbunge kuna pesa lukuki za bure.
Badala ya kuwekeza kwa kuanza kujenga imani kwa wanannchi ili angalau tukubalike. Tumewekeza kwenye maandamano njaa.
Tukimwagwa. Mayowe kibao kama 2020.
Nilibadili gia anganiWewe si ulitangaza kuwa ma nia ya kuita waandishi wa habari kwa ajili ya kubwaga manyanga!? Sasa umesahau nini nyuma mpaka uzidi kung'a g'ania tena ukamanda wako feki!?
We shetani si ulitangaza haupo CHADEMA imekuwaje tena?Tatizo kubwa makamanda wenzangu huwa wanawaza pesa tu.
Mahesabu sasa ni kurudi mjengoni. Kisa tu ukiwa mbunge kuna pesa lukuki za bure.
Badala ya kuwekeza kwa kuanza kujenga imani kwa wanannchi ili angalau tukubalike. Tumewekeza kwenye maandamano njaa.
Tukimwagwa. Mayowe kibao kama 2020.
Teuzi zinampita kushotoBenson Mramba.
Wewe si ulisema umeachana na chadema aya kilanga kinatoka wapi?Teuzi zinampita kushoto
SijakuelewaWewe si ulisema umeachana na chadema aya kilanga kinatoka wapi?
Yule ni shetaniSorry mkuu nilimlenga mtoa post alisema atoka chadema sasa kilanga ni cha nini tena kuisema chadema
Huyu ni shetani asiyechokaWewe si ulitangaza kuwa ma nia ya kuita waandishi wa habari kwa ajili ya kubwaga manyanga!? Sasa umesahau nini nyuma mpaka uzidi kung'a g'ania tena ukamanda wako feki!?
hofu yangu ni kutekana na kumalizana wenyewe kwa wenyewe tu kisa chenyewe ni kugombea kitu ambacho huwezi kushinda, hapo ndipo nachoka zaid πTatizo kubwa makamanda wenzangu huwa wanawaza pesa tu.
Mahesabu sasa ni kurudi mjengoni. Kisa tu ukiwa mbunge kuna pesa lukuki za bure.
Badala ya kuwekeza kwa kuanza kujenga imani kwa wanannchi ili angalau tukubalike. Tumewekeza kwenye maandamano njaa.
Tukimwagwa. Mayowe kibao kama 2020.
Mtachina zaidiTatizo kubwa makamanda wenzangu huwa wanawaza pesa tu.
Mahesabu sasa ni kurudi mjengoni. Kisa tu ukiwa mbunge kuna pesa lukuki za bure.
Badala ya kuwekeza kwa kuanza kujenga imani kwa wanannchi ili angalau tukubalike. Tumewekeza kwenye maandamano njaa.
Tukimwagwa. Mayowe kibao kama 2020.
Chadema kwa Chadema kutekana?hofu yangu ni kutekana na kumalizana wenyewe kwa wenyewe tu kisa chenyewe ni kugombea kitu ambacho huwezi kushinda, hapo ndipo nachoka zaid π
ACT na CCM wao hawajimwagi kutaka Ubunge. Sijui akili gani hizi za kijinga.Tatizo kubwa makamanda wenzangu huwa wanawaza pesa tu.
Mahesabu sasa ni kurudi mjengoni. Kisa tu ukiwa mbunge kuna pesa lukuki za bure.
Badala ya kuwekeza kwa kuanza kujenga imani kwa wanannchi ili angalau tukubalike. Tumewekeza kwenye maandamano njaa.
Tukimwagwa. Mayowe kibao kama 2020.
sio kutekana tu,Chadema kwa Chadema kutekana?
ππππ€£Hii hua ni laanaChadema kwa Chadema kutekana?
Cha msingi ni ulinzi wa kura na vituoTatizo kubwa makamanda wenzangu huwa wanawaza pesa tu.
Mahesabu sasa ni kurudi mjengoni. Kisa tu ukiwa mbunge kuna pesa lukuki za bure.
Badala ya kuwekeza kwa kuanza kujenga imani kwa wanannchi ili angalau tukubalike. Tumewekeza kwenye maandamano njaa.
Tukimwagwa. Mayowe kibao kama 2020.