Pre GE2025 Wanachama wa CHADEMA Katavi wachapana makonde, Mbowe ashutumiwa kugawa pesa kwa wajumbe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Watu kama hawa ukiwapa ridhaa ya kukuongoza, ujue wazi kuwa mpaka wajaze matumbo yao na yafamilia zao ndipo wawaze kuwawazia nyie mliowapa ridhaa ya kutumikia.

..waheshimuni walioko Chadema sasa hivi.

..hao ndio wenye dhamira ya kweli ya mabadiliko.

..hawajajiunga Chadema kujaza matumbo kwasababu chama hicho hakina uwezo huo.
 
Haswa..! Wanahusika kwa kiwango kikubwa. Pesa zinazogombewa/zinazotolewa kama rushwa ni 'fupa' walilorushiwa na ccm.

..Ccm akimhonga Chadema ujue na yeye amehongwa mahali fulani.

..Na kwasababu wameshika dola basi huenda wamehongwa kuhujumu rasilimali za nchi.
 
Hizo hapo unazoleta ni porojo na propaganda unazoleta ili kuwachonganisha wanachama wa Chadema, hakuna rushwa yoyote kwenye uchaguzi huo , Lissu yuko Ulaya. Chadema ni watu wanaojielewa hizo mbinu unazoleta sasa hivi ni za kizamani sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…