Wanachama wa JamiiForums waliotambuliwa kwa kuwa na michango chanya Jukwaani kwa mwaka 2024

umenifurahisha umenikumbusha mwaka Jana kuna jama kaja pm kachat weekend gaflaa br naweza tukameet wapi tushare ideas

Nkazima simu
Nkatoa betri kwa mda
πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Hongereni wote pamoja na Madmax mzee wa magari ya umeme na yale mengine ya kwenye movie.
 
michakato mbali mbali katika kuthamini jitihada za kila mmoja ndani ya jamiiforums. jambo jema saana
 
Shida mnataja real names..!! Ingependeza hata huko tuzoni mtaje fake names According to his/her USERNAME ID..
Dunia ya Leo fake name ni illusion! Maana hautumii gadget fake kuingia mtandaoni.
===
Hongera sana wote kwa kutambuliwa mchango wenu hapa Jukwaani. Ushauri, muendelee kuliheshimisha jukwaa hili pendwa kwa kuendelea kutuletea kazi nzuri. Mtabarikiwa.
 
Ha
po kwenye celebrities mlinisahau?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Halafu nililetaga habari ya kweli ya mwenye mji wake kule kaskaz kurudi modes wakaifuta...Ile ilikuwa ya kwel na JF ndo ilikuwa iwe ya kwanza kubreak the newsπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…