Wanachama wa JamiiForums waliotambuliwa kwa kuwa na michango chanya Jukwaani kwa mwaka 2024

Ah ah hahfahahahfaahhahahahagaha

Mimi nimekumbukwa

Hahahahahahahahaa

Oyaaaaaaah uzi uwekwe pin pale juuuuuu
 
Hongerani Jf

Kwa kuwatambua hao wenzetu
Sijui mmetumia vigezo gani zaidi ya hivyo mlivyotaja

Lakini bado kwa upande wangu

Paschal Mayalla ni moja waandishi wa habari officially kabisa wenye mabandiko yaliyosheheni uchambuzi wa kina
Na mengine yamekuwa Predictable kiasi ambacho hutokea sawa na uchambuzi wake
Huyu ndugu kwa michango yako NDANI ya jukwaa hili na content zake
Alipaswa alipwe na Jf Kama kungekuwa na utaratibu huo
Ameleta makala zake huku alizotoa kwenye magazeti makubwa nchini

Ni mwandishi mwenye kutumia jina lake rasmi aliwahi kutamka hadharani mbele ya Rais wa awamu iliyopita kuwa ni mwandishi wa Jamii forum

Ni mwandishi na mtangazi ambaye ana historia ya kufanya kazi na Vyombo vikubwa ikiwemo Cha taifa

Lakini amekubali kuwa mnyekekevu kuleta huja zake kujadiliana na akina Lucas rara ree
 
Huyo mtibeli mmechemka aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…