Wanachama wa JamiiForums waliotambuliwa kwa kuwa na michango chanya Jukwaani kwa mwaka 2024

Wanachama wa JamiiForums waliotambuliwa kwa kuwa na michango chanya Jukwaani kwa mwaka 2024

Nashauri next time majina ya washiriki yawe yanatolewa na wanajf wapewe nafasi ya kupiga kura

Mshindi kuchaguliwa na mods moja kwa moja inaweza kusababisha watu wakafikiria kuna mambo ya connection.

Nimeona uko juu wati wengi wameshangaa kutokuwepo kwa ndugu Mshana Jr
Naunga mkono hoja
 
Katika kuendeleza dhamira yake ya kuthamini na kuhimiza uzalishaji wa maudhui yenye ubora na tija mtandaoni, JamiiForums usiku wa leo, wakati wa hafla ya utoaji wa zawadi kwa washindi wa Shindano la Stories of Change 2024, inawatambua Wanachama wake watano waliotoa michango chanya mwaka huu 2024 ndani ya Majukwaa yake.

Wanachama hao watapokea zawadi maalum kama sehemu ya shukrani kwa juhudi zao za kudumu na mchango wao wa kipekee katika kuzalisha maudhui yenye maana kwenye jukwaa.

Hafla mbashara ya utoaji tuzo kwa washindi wa Stories Of Change 2024, soma Yanayojiri katika usiku wa kutoa tuzo kwa Washindi wa Shindano la Stories of Change 2024

Wanachama hao ni pamoja na:

Mwl.RCT
Mwl. RCT amefanikiwa kuibuka Mwanachama Bora kutokana na kushiriki kwa namna ya kipekee katika Shindano la Stories of Change mwaka huu wa 2024.

Mwanachama huyu amefanya jitihada kubwa kutengeneza maudhui yenye kuleta mabadiliko huku mwaka huu akitoa mapendekezo mbalimbali kuelekea Tanzania Tuitakayo.

Takwimu zinaoneshwa ndani ya shindano la mwaka huu Mwl.RCT amechapisha jumla ya makala jumla ya makala 42 na kumfanya awe mshiriki mwenye machapisho mengi zaidi kwenye shindano hili la SoC la mwaka huu.

Mbali na michango yake katika SoC, Mwl. RCT amekuwa mshiriki hai na mwenye heshima kwenye majukwaa mbalimbali, akijenga mijadala yenye tija kwa kutumia lugha ya kistaarabu. Uwezo wake wa kuhamasisha mijadala yenye maana umemfanya kuwa nguzo muhimu ya jamii ya JamiiForums.

Fungua Link kusom moja ya chapisho lake: SoC04 - From Savanna to Silicon: Tanzania's Unlikely Tech Hub Transformation

Robert Heriel Mtibeli
Robert anajulikana kwa kutengeneza na kuleta machapisho yake binafsi (Original Content) yaliyojaa hoja, fikra na maoni yenye msimamo thabiti. Amekuwa miongoni mwa sauti ya pekee kwenye jukwaa kwa kuzungumzia masuala nyeti kama udanganyifu wa kisiasa na kijamii, na umuhimu wa watu kuachana na hofu ya yasiyojulikana. Robert ni mfano bora wa mchangiaji anayesukuma mbele ajenda za majadiliano huru, akitekeleza dhamira ya JamiiForums ya kukuza fikra huru na za kina.

Fungua Link kusom moja ya chapisho lake: Watibeli tunalaani matukio ya utekaji na watekaji wenyewe

Mad Max
Mad Max amebainisha uwezo wake kwenye jukwaa la JF Garage kwa kuwa mmoja wa wachangiaji wenye maarifa ya kina kuhusu magari. Mara kwa mara amekuwa akitoa uzoefu wake katika sekta ya magari na michezo ya magari umewavutia Wanachama wengi wanaotembele Jukwaa la JF Garage. Ameonesha uelewa mkubwa kwenye teknolojia mpya kama magari ya umeme na kuchochea majadiliano muhimu kuhusu mustakabali wa usafiri nchini Tanzania. Amekuwa Active Member ambaye ametoa amechangia mijadala zaidi ya 500 kwa mwaka huu wa 2024.

Fungua Link kusoma moja ya chapisho lake: Content Creators mnaoanza (Episode I): Unatumia camera gani kutengeneza maudhui yako?

SteveMollel
SteveMollel ni mdau wa Filamu ambaye ameonesha utofauti kwa kutengeneza maudhui mbalimbali yanayohusu filamu na Wasanii ndani ya Jukwaa la Entertainment. Amekuwa na uwezo wa kuandaa maudhui yenye mpangilio mzuri na kutoa mapendekezo ya filamu kwa Wanachama wengine wa JamiiForums.

Fungua Link kusoma moja ya chapisho lake:Movies nne kali za kucheki wiki hii

Nifah
Nifah amekuwa Mwanachama muhimu na ameonyesha umahiri wake katika Jukwaa la Celebrities na Jukwaa la Entertainment kwa kuleta habari za ndani zinazohusu burudani na Wasanii na kulifanya Jukwaa letu kuwa la kwanza kupata taarifa hizo kabla ya wengine.

Kwa mfano, aliripoti kashfa inayohusisha msanii Harmonize kudaiwa na Benki ya CRB (Soma Hapa). Taarifa hiyo ilipata zaidi ya maoni 470 kabla ya kuenea kwenye vyombo vya habari vingine. Uwezo wa Nifah kutoa taarifa zenye mvuto na uchambuzi wa kina unamfanya kuwa mmoja wa wachangiaji muhimu wa jukwaa la burudani.

Fungua Link kusom moja ya chapisho lake:Mahakama yamtia hatiani Harmonize, atakiwa kuilipa mamilioni CRDB!
Chai
 
9be1d18030b4400da1823276dfa8a19c.jpg
 
Takwimu zinaoneshwa ndani ya shindano la mwaka huu Mwl.RCT amechapisha jumla ya makala jumla ya makala 42 na kumfanya awe mshiriki mwenye machapisho mengi zaidi kwenye shindano hili la SoC la mwaka huu.
Hii ametumia kichwa chake tu kweli! Au ndo mambo ya AI!!! Kama n yy kama yy asee hongera zake duuuh!
 
Mshakula?
Subiru
Hivi izi sio kodi zetu izi mnazokunywa uko?
JF sio mamlaka ya mapato 🏃🏿
Katika kuendeleza dhamira yake ya kuthamini na kuhimiza uzalishaji wa maudhui yenye ubora na tija mtandaoni, JamiiForums usiku wa leo, wakati wa hafla ya utoaji wa zawadi kwa washindi wa Shindano la Stories of Change 2024, inawatambua Wanachama wake watano waliotoa michango chanya mwaka huu 2024 ndani ya Majukwaa yake.

Wanachama hao watapokea zawadi maalum kama sehemu ya shukrani kwa juhudi zao za kudumu na mchango wao wa kipekee katika kuzalisha maudhui yenye maana kwenye jukwaa.

Hafla mbashara ya utoaji tuzo kwa washindi wa Stories Of Change 2024, soma Yanayojiri katika usiku wa kutoa tuzo kwa Washindi wa Shindano la Stories of Change 2024

Wanachama hao ni pamoja na:

Mwl.RCT
Mwl. RCT amefanikiwa kuibuka Mwanachama Bora kutokana na kushiriki kwa namna ya kipekee katika Shindano la Stories of Change mwaka huu wa 2024.

Mwanachama huyu amefanya jitihada kubwa kutengeneza maudhui yenye kuleta mabadiliko huku mwaka huu akitoa mapendekezo mbalimbali kuelekea Tanzania Tuitakayo.

Takwimu zinaoneshwa ndani ya shindano la mwaka huu Mwl.RCT amechapisha jumla ya makala jumla ya makala 42 na kumfanya awe mshiriki mwenye machapisho mengi zaidi kwenye shindano hili la SoC la mwaka huu.

Mbali na michango yake katika SoC, Mwl. RCT amekuwa mshiriki hai na mwenye heshima kwenye majukwaa mbalimbali, akijenga mijadala yenye tija kwa kutumia lugha ya kistaarabu. Uwezo wake wa kuhamasisha mijadala yenye maana umemfanya kuwa nguzo muhimu ya jamii ya JamiiForums.

Fungua Link kusom moja ya chapisho lake: SoC04 - From Savanna to Silicon: Tanzania's Unlikely Tech Hub Transformation

Robert Heriel Mtibeli
Robert anajulikana kwa kutengeneza na kuleta machapisho yake binafsi (Original Content) yaliyojaa hoja, fikra na maoni yenye msimamo thabiti. Amekuwa miongoni mwa sauti ya pekee kwenye jukwaa kwa kuzungumzia masuala nyeti kama udanganyifu wa kisiasa na kijamii, na umuhimu wa watu kuachana na hofu ya yasiyojulikana. Robert ni mfano bora wa mchangiaji anayesukuma mbele ajenda za majadiliano huru, akitekeleza dhamira ya JamiiForums ya kukuza fikra huru na za kina.

Fungua Link kusom moja ya chapisho lake: Watibeli tunalaani matukio ya utekaji na watekaji wenyewe

Mad Max
Mad Max amebainisha uwezo wake kwenye jukwaa la JF Garage kwa kuwa mmoja wa wachangiaji wenye maarifa ya kina kuhusu magari. Mara kwa mara amekuwa akitoa uzoefu wake katika sekta ya magari na michezo ya magari umewavutia Wanachama wengi wanaotembele Jukwaa la JF Garage. Ameonesha uelewa mkubwa kwenye teknolojia mpya kama magari ya umeme na kuchochea majadiliano muhimu kuhusu mustakabali wa usafiri nchini Tanzania. Amekuwa Active Member ambaye ametoa amechangia mijadala zaidi ya 500 kwa mwaka huu wa 2024.

Fungua Link kusoma moja ya chapisho lake: Content Creators mnaoanza (Episode I): Unatumia camera gani kutengeneza maudhui yako?

SteveMollel
SteveMollel ni mdau wa Filamu ambaye ameonesha utofauti kwa kutengeneza maudhui mbalimbali yanayohusu filamu na Wasanii ndani ya Jukwaa la Entertainment. Amekuwa na uwezo wa kuandaa maudhui yenye mpangilio mzuri na kutoa mapendekezo ya filamu kwa Wanachama wengine wa JamiiForums.

Fungua Link kusoma moja ya chapisho lake:Movies nne kali za kucheki wiki hii

Nifah
Nifah amekuwa Mwanachama muhimu na ameonyesha umahiri wake katika Jukwaa la Celebrities na Jukwaa la Entertainment kwa kuleta habari za ndani zinazohusu burudani na Wasanii na kulifanya Jukwaa letu kuwa la kwanza kupata taarifa hizo kabla ya wengine.

Kwa mfano, aliripoti kashfa inayohusisha msanii Harmonize kudaiwa na Benki ya CRB (Soma Hapa). Taarifa hiyo ilipata zaidi ya maoni 470 kabla ya kuenea kwenye vyombo vya habari vingine. Uwezo wa Nifah kutoa taarifa zenye mvuto na uchambuzi wa kina unamfanya kuwa mmoja wa wachangiaji muhimu wa jukwaa la burudani.

Fungua Link kusom moja ya chapisho lake:Mahakama yamtia hatiani Harmonize, atakiwa kuilipa mamilioni CRDB!
Nawapongeza kwa dhati ya moyo❤❤❤❤❤
mkuu, jf headquarters wamekutenga sijui. Unachapisha sana thread bora hapa jukwaani.
Hapana mkuu akishinda mmoja tunashinda wote... Wachachr
Nyi watu mnashangaza sana, mnataka kila wakati ashinde Mshana Jr na Pascal Mayalla kwani JF ina hao watu wawili tu?

Afu kila jukwaa lina umuhimi wake, wewe kama unapenda philosophy, politics na mwngine anayewakosha kwenye burudani kama Nifah naye ni wa muhimu vile vile, kila mtu anachagua anapopapenda.

Mkuu Mad Max nimependa vibe lako, nkipata mkoko wangu ntakuja nipate moja mbili tatu kutoka kwa kigogo bahari😹😹

Hongera sana JF kwa kuthamini mchango wa kila mtu JF.
Madam Cute Wife with all due respect naomba urekebishe andiko lako.. Mimi si mmoja wa washindi ..!
Liko sawia lilivyo, uliwahi kushinda mshindi wa mwaka wakati fulani si ndio, wanachama walipiga kura JF ikatambua mchango wako, wengine wakishinda ni vizuri pia sababu mchango wao pia ni muhimu, sijasema wewe ni mshindi wa mwaka huu😊
Hapo imekaa sawa. Akishinda mmoja tunashinda wote
FB_IMG_1726998661116.jpg
 
Hii list bila GENTAMYCINE ni batili
Nipo tayari katika List Kuu ya Mwenyezi Mungu (kwa Watu ALIOWAINUA PAKUBWA KIMAISHA kwa mwaka huu 2024) na ndiyo maana KANIBARIKI na nipo mahala ambapo sitengenezi tu HESHIMA yangu na Familia yangu bali natengeneza HESHIMA KUBWA ya Taifa la Tanzania, nawaheshimisha Watanzania wote kwa NINACHOKIFANYA na Kuimarisha UNDUGU wa Tanzania na Uganda.

Mwisho niwapongeze Wote waliochaguliwa katika List ya JamiiForums wameonekana WANASTAHILI kwani hata Wao katika SHINDANO MAALUM la Wanachama Bora wa Majukwaa lililofanyika mwaka 2022 baadhi yao HAWAKUSHINDA ila GENTAMYCINE niliibuka MSHINDI WA JUMLA wa Jukwaa la Michezo JamiiForums kwa KUPIGIWA KURA hapa na Members na siyo kwa Watu fulani kukaa OFISINI na KUTEUA.

Na kwa KUKUMBUSHA tu hata hivi ninavyokujibu hapa bado GENTAMYCINE ni MFALME narudia tena bado ni MFALME wa Jukwaa la Michezo hapa JamiiForums kwakuwa tokea niibuke MSHINDI hakujafanyika tena SHINDANO na kwa KUJIAMINI na JEURI kubwa nakuhakikishia hata hilo SHINDANO likifanyika tena bado naenda kuwa MSHINDI wa jumla.

Asante Yanga SC na Simba SC kwa KUIHESHIMISHA Tanzania katika Michuano ya CAFCL na CAFCC. Nina uhakika Timu zote zikijipanga vyema hasa Kimaandalizi na Kimkakati naziona Yanga na Simba kufika Fainali na hata Timu moja au zote kuwa Mabingwa katika Makombe wanayoshiriki.

CHUKI na WIVU ni MTAJI wa WAPUMBAVU.
 
Katika kuendeleza dhamira yake ya kuthamini na kuhimiza uzalishaji wa maudhui yenye ubora na tija mtandaoni, JamiiForums usiku wa leo, wakati wa hafla ya utoaji wa zawadi kwa washindi wa Shindano la Stories of Change 2024, inawatambua Wanachama wake watano waliotoa michango chanya mwaka huu 2024 ndani ya Majukwaa yake.

Wanachama hao watapokea zawadi maalum kama sehemu ya shukrani kwa juhudi zao za kudumu na mchango wao wa kipekee katika kuzalisha maudhui yenye maana kwenye jukwaa.

Hafla mbashara ya utoaji tuzo kwa washindi wa Stories Of Change 2024, soma Yanayojiri katika usiku wa kutoa tuzo kwa Washindi wa Shindano la Stories of Change 2024

Wanachama hao ni pamoja na:

Mwl.RCT
Mwl. RCT amefanikiwa kuibuka Mwanachama Bora kutokana na kushiriki kwa namna ya kipekee katika Shindano la Stories of Change mwaka huu wa 2024.

Mwanachama huyu amefanya jitihada kubwa kutengeneza maudhui yenye kuleta mabadiliko huku mwaka huu akitoa mapendekezo mbalimbali kuelekea Tanzania Tuitakayo.

Takwimu zinaoneshwa ndani ya shindano la mwaka huu Mwl.RCT amechapisha jumla ya makala jumla ya makala 42 na kumfanya awe mshiriki mwenye machapisho mengi zaidi kwenye shindano hili la SoC la mwaka huu.

Mbali na michango yake katika SoC, Mwl. RCT amekuwa mshiriki hai na mwenye heshima kwenye majukwaa mbalimbali, akijenga mijadala yenye tija kwa kutumia lugha ya kistaarabu. Uwezo wake wa kuhamasisha mijadala yenye maana umemfanya kuwa nguzo muhimu ya jamii ya JamiiForums.

Fungua Link kusom moja ya chapisho lake: SoC04 - From Savanna to Silicon: Tanzania's Unlikely Tech Hub Transformation

Robert Heriel Mtibeli
Robert anajulikana kwa kutengeneza na kuleta machapisho yake binafsi (Original Content) yaliyojaa hoja, fikra na maoni yenye msimamo thabiti. Amekuwa miongoni mwa sauti ya pekee kwenye jukwaa kwa kuzungumzia masuala nyeti kama udanganyifu wa kisiasa na kijamii, na umuhimu wa watu kuachana na hofu ya yasiyojulikana. Robert ni mfano bora wa mchangiaji anayesukuma mbele ajenda za majadiliano huru, akitekeleza dhamira ya JamiiForums ya kukuza fikra huru na za kina.

Fungua Link kusom moja ya chapisho lake: Watibeli tunalaani matukio ya utekaji na watekaji wenyewe

Mad Max
Mad Max amebainisha uwezo wake kwenye jukwaa la JF Garage kwa kuwa mmoja wa wachangiaji wenye maarifa ya kina kuhusu magari. Mara kwa mara amekuwa akitoa uzoefu wake katika sekta ya magari na michezo ya magari umewavutia Wanachama wengi wanaotembele Jukwaa la JF Garage. Ameonesha uelewa mkubwa kwenye teknolojia mpya kama magari ya umeme na kuchochea majadiliano muhimu kuhusu mustakabali wa usafiri nchini Tanzania. Amekuwa Active Member ambaye ametoa amechangia mijadala zaidi ya 500 kwa mwaka huu wa 2024.

Fungua Link kusoma moja ya chapisho lake: Content Creators mnaoanza (Episode I): Unatumia camera gani kutengeneza maudhui yako?

SteveMollel
SteveMollel ni mdau wa Filamu ambaye ameonesha utofauti kwa kutengeneza maudhui mbalimbali yanayohusu filamu na Wasanii ndani ya Jukwaa la Entertainment. Amekuwa na uwezo wa kuandaa maudhui yenye mpangilio mzuri na kutoa mapendekezo ya filamu kwa Wanachama wengine wa JamiiForums.

Fungua Link kusoma moja ya chapisho lake:Movies nne kali za kucheki wiki hii

Nifah
Nifah amekuwa Mwanachama muhimu na ameonyesha umahiri wake katika Jukwaa la Celebrities na Jukwaa la Entertainment kwa kuleta habari za ndani zinazohusu burudani na Wasanii na kulifanya Jukwaa letu kuwa la kwanza kupata taarifa hizo kabla ya wengine.

Kwa mfano, aliripoti kashfa inayohusisha msanii Harmonize kudaiwa na Benki ya CRB (Soma Hapa). Taarifa hiyo ilipata zaidi ya maoni 470 kabla ya kuenea kwenye vyombo vya habari vingine. Uwezo wa Nifah kutoa taarifa zenye mvuto na uchambuzi wa kina unamfanya kuwa mmoja wa wachangiaji muhimu wa jukwaa la burudani.

Fungua Link kusom moja ya chapisho lake:Mahakama yamtia hatiani Harmonize, atakiwa kuilipa mamilioni CRDB!
Bila reree raraa
Min me
Hapo hamnakitu
 
Katika kuendeleza dhamira yake ya kuthamini na kuhimiza uzalishaji wa maudhui yenye ubora na tija mtandaoni, JamiiForums usiku wa leo, wakati wa hafla ya utoaji wa zawadi kwa washindi wa Shindano la Stories of Change 2024, inawatambua Wanachama wake watano waliotoa michango chanya mwaka huu 2024 ndani ya Majukwaa yake.

Wanachama hao watapokea zawadi maalum kama sehemu ya shukrani kwa juhudi zao za kudumu na mchango wao wa kipekee katika kuzalisha maudhui yenye maana kwenye jukwaa.

Hafla mbashara ya utoaji tuzo kwa washindi wa Stories Of Change 2024, soma Yanayojiri katika usiku wa kutoa tuzo kwa Washindi wa Shindano la Stories of Change 2024

Wanachama hao ni pamoja na:

Mwl.RCT
Mwl. RCT amefanikiwa kuibuka Mwanachama Bora kutokana na kushiriki kwa namna ya kipekee katika Shindano la Stories of Change mwaka huu wa 2024.

Mwanachama huyu amefanya jitihada kubwa kutengeneza maudhui yenye kuleta mabadiliko huku mwaka huu akitoa mapendekezo mbalimbali kuelekea Tanzania Tuitakayo.

Takwimu zinaoneshwa ndani ya shindano la mwaka huu Mwl.RCT amechapisha jumla ya makala jumla ya makala 42 na kumfanya awe mshiriki mwenye machapisho mengi zaidi kwenye shindano hili la SoC la mwaka huu.

Mbali na michango yake katika SoC, Mwl. RCT amekuwa mshiriki hai na mwenye heshima kwenye majukwaa mbalimbali, akijenga mijadala yenye tija kwa kutumia lugha ya kistaarabu. Uwezo wake wa kuhamasisha mijadala yenye maana umemfanya kuwa nguzo muhimu ya jamii ya JamiiForums.

Fungua Link kusom moja ya chapisho lake: SoC04 - From Savanna to Silicon: Tanzania's Unlikely Tech Hub Transformation

Robert Heriel Mtibeli
Robert anajulikana kwa kutengeneza na kuleta machapisho yake binafsi (Original Content) yaliyojaa hoja, fikra na maoni yenye msimamo thabiti. Amekuwa miongoni mwa sauti ya pekee kwenye jukwaa kwa kuzungumzia masuala nyeti kama udanganyifu wa kisiasa na kijamii, na umuhimu wa watu kuachana na hofu ya yasiyojulikana. Robert ni mfano bora wa mchangiaji anayesukuma mbele ajenda za majadiliano huru, akitekeleza dhamira ya JamiiForums ya kukuza fikra huru na za kina.

Fungua Link kusom moja ya chapisho lake: Watibeli tunalaani matukio ya utekaji na watekaji wenyewe

Mad Max
Mad Max amebainisha uwezo wake kwenye jukwaa la JF Garage kwa kuwa mmoja wa wachangiaji wenye maarifa ya kina kuhusu magari. Mara kwa mara amekuwa akitoa uzoefu wake katika sekta ya magari na michezo ya magari umewavutia Wanachama wengi wanaotembele Jukwaa la JF Garage. Ameonesha uelewa mkubwa kwenye teknolojia mpya kama magari ya umeme na kuchochea majadiliano muhimu kuhusu mustakabali wa usafiri nchini Tanzania. Amekuwa Active Member ambaye ametoa amechangia mijadala zaidi ya 500 kwa mwaka huu wa 2024.

Fungua Link kusoma moja ya chapisho lake: Content Creators mnaoanza (Episode I): Unatumia camera gani kutengeneza maudhui yako?

SteveMollel
SteveMollel ni mdau wa Filamu ambaye ameonesha utofauti kwa kutengeneza maudhui mbalimbali yanayohusu filamu na Wasanii ndani ya Jukwaa la Entertainment. Amekuwa na uwezo wa kuandaa maudhui yenye mpangilio mzuri na kutoa mapendekezo ya filamu kwa Wanachama wengine wa JamiiForums.

Fungua Link kusoma moja ya chapisho lake:Movies nne kali za kucheki wiki hii

Nifah
Nifah amekuwa Mwanachama muhimu na ameonyesha umahiri wake katika Jukwaa la Celebrities na Jukwaa la Entertainment kwa kuleta habari za ndani zinazohusu burudani na Wasanii na kulifanya Jukwaa letu kuwa la kwanza kupata taarifa hizo kabla ya wengine.

Kwa mfano, aliripoti kashfa inayohusisha msanii Harmonize kudaiwa na Benki ya CRB (Soma Hapa). Taarifa hiyo ilipata zaidi ya maoni 470 kabla ya kuenea kwenye vyombo vya habari vingine. Uwezo wa Nifah kutoa taarifa zenye mvuto na uchambuzi wa kina unamfanya kuwa mmoja wa wachangiaji muhimu wa jukwaa la burudani.

Fungua Link kusom moja ya chapisho lake:Mahakama yamtia hatiani Harmonize, atakiwa kuilipa mamilioni CRDB!
Kuna INSIDER MAN pia em fuatilien alichokifanya mum 'aknoledge'
 
Katika kuendeleza dhamira yake ya kuthamini na kuhimiza uzalishaji wa maudhui yenye ubora na tija mtandaoni, JamiiForums usiku wa leo, wakati wa hafla ya utoaji wa zawadi kwa washindi wa Shindano la Stories of Change 2024, inawatambua Wanachama wake watano waliotoa michango chanya mwaka huu 2024 ndani ya Majukwaa yake.

Wanachama hao watapokea zawadi maalum kama sehemu ya shukrani kwa juhudi zao za kudumu na mchango wao wa kipekee katika kuzalisha maudhui yenye maana kwenye jukwaa.

Hafla mbashara ya utoaji tuzo kwa washindi wa Stories Of Change 2024, soma Yanayojiri katika usiku wa kutoa tuzo kwa Washindi wa Shindano la Stories of Change 2024

Wanachama hao ni pamoja na:

Mwl.RCT
Mwl. RCT amefanikiwa kuibuka Mwanachama Bora kutokana na kushiriki kwa namna ya kipekee katika Shindano la Stories of Change mwaka huu wa 2024.

Mwanachama huyu amefanya jitihada kubwa kutengeneza maudhui yenye kuleta mabadiliko huku mwaka huu akitoa mapendekezo mbalimbali kuelekea Tanzania Tuitakayo.

Takwimu zinaoneshwa ndani ya shindano la mwaka huu Mwl.RCT amechapisha jumla ya makala jumla ya makala 42 na kumfanya awe mshiriki mwenye machapisho mengi zaidi kwenye shindano hili la SoC la mwaka huu.

Mbali na michango yake katika SoC, Mwl. RCT amekuwa mshiriki hai na mwenye heshima kwenye majukwaa mbalimbali, akijenga mijadala yenye tija kwa kutumia lugha ya kistaarabu. Uwezo wake wa kuhamasisha mijadala yenye maana umemfanya kuwa nguzo muhimu ya jamii ya JamiiForums.

Fungua Link kusom moja ya chapisho lake: SoC04 - From Savanna to Silicon: Tanzania's Unlikely Tech Hub Transformation

Robert Heriel Mtibeli
Robert anajulikana kwa kutengeneza na kuleta machapisho yake binafsi (Original Content) yaliyojaa hoja, fikra na maoni yenye msimamo thabiti. Amekuwa miongoni mwa sauti ya pekee kwenye jukwaa kwa kuzungumzia masuala nyeti kama udanganyifu wa kisiasa na kijamii, na umuhimu wa watu kuachana na hofu ya yasiyojulikana. Robert ni mfano bora wa mchangiaji anayesukuma mbele ajenda za majadiliano huru, akitekeleza dhamira ya JamiiForums ya kukuza fikra huru na za kina.

Fungua Link kusom moja ya chapisho lake: Watibeli tunalaani matukio ya utekaji na watekaji wenyewe

Mad Max
Mad Max amebainisha uwezo wake kwenye jukwaa la JF Garage kwa kuwa mmoja wa wachangiaji wenye maarifa ya kina kuhusu magari. Mara kwa mara amekuwa akitoa uzoefu wake katika sekta ya magari na michezo ya magari umewavutia Wanachama wengi wanaotembele Jukwaa la JF Garage. Ameonesha uelewa mkubwa kwenye teknolojia mpya kama magari ya umeme na kuchochea majadiliano muhimu kuhusu mustakabali wa usafiri nchini Tanzania. Amekuwa Active Member ambaye ametoa amechangia mijadala zaidi ya 500 kwa mwaka huu wa 2024.

Fungua Link kusoma moja ya chapisho lake: Content Creators mnaoanza (Episode I): Unatumia camera gani kutengeneza maudhui yako?

SteveMollel
SteveMollel ni mdau wa Filamu ambaye ameonesha utofauti kwa kutengeneza maudhui mbalimbali yanayohusu filamu na Wasanii ndani ya Jukwaa la Entertainment. Amekuwa na uwezo wa kuandaa maudhui yenye mpangilio mzuri na kutoa mapendekezo ya filamu kwa Wanachama wengine wa JamiiForums.

Fungua Link kusoma moja ya chapisho lake:Movies nne kali za kucheki wiki hii

Nifah
Nifah amekuwa Mwanachama muhimu na ameonyesha umahiri wake katika Jukwaa la Celebrities na Jukwaa la Entertainment kwa kuleta habari za ndani zinazohusu burudani na Wasanii na kulifanya Jukwaa letu kuwa la kwanza kupata taarifa hizo kabla ya wengine.

Kwa mfano, aliripoti kashfa inayohusisha msanii Harmonize kudaiwa na Benki ya CRB (Soma Hapa). Taarifa hiyo ilipata zaidi ya maoni 470 kabla ya kuenea kwenye vyombo vya habari vingine. Uwezo wa Nifah kutoa taarifa zenye mvuto na uchambuzi wa kina unamfanya kuwa mmoja wa wachangiaji muhimu wa jukwaa la burudani.

Fungua Link kusom moja ya chapisho lake:Mahakama yamtia hatiani Harmonize, atakiwa kuilipa mamilioni CRDB!
Hongera sana Mwl. CRT , Robert Heriel Mtibeli , Mad Max ,SteveMollel , Nifah na Dkt. Gwajima.
 
Back
Top Bottom