Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Ubaya ni majority share holder.muundo huo unamabaya gani...
Mwenye 51% ndiye mwenye maamuzi ya mwisho wengine mliogawana 49% mnabaki kupiga makofi kwa maamuzi yake.
Huo ndio ubaya wa mfumo wa mikia fc.