Wanachama wa Simba tumelazimishwa kupitisha muundo mpya wa Club...

Wanachama wa Simba tumelazimishwa kupitisha muundo mpya wa Club...

Mkutano unaendelea Mwenyekiti katuburuza na kutunyima nafasi ya kuuliza maswali...waliwapanga watu wao 3...wakaishia kupongeza tu...tunaomba Vyombo vinavyofuatilia mchakato huu waingilie kati...
Thibitisha Kwanzaa Kuwa hao watu watatu walioongea walipangwa kabla na wenzako hawajakushuku wewe ni masalia ya kilomoni na yanga?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa ufupi wanachama tumepewa 10% ya "cooked value" 40billion kikubwa hatujulikana tupo wangapi na kila mmoja atapata kiasi gani in terms of share value.Dewji anasubiria kupewa 50% ya club sio kupewa bali ni kuuziwa nusu ya club (maskini wazee wa kubebwa na mabasi jana wakadanganywa na Haji manara zero eti club haiuzwi wala hapewi mtu...huyu jamaa hajitambuagi.utaratibu wa kumpa dewji umetangazwa jana kwamba badala ya kuuza hizi share kwa njia ya Public IPO watatangaza watu waombe kwa njia ya tenda arafu atakaeibuka mshindi ndio atapewa club (50%) eti pia lazima awe mwachama wa simba ahaa (wakati tumeambiwa wanachama sie wachovu..inachanganya).sasa unategemea nini kama kamati yenyewe itakuwa imejaa wadosi watupu wakina Ramesh, makamu wa Rais wa simba kwa sasa Yule muhindi/mwarabu koko na akina kassim dewji unadhani watampitisha nani?sikatai wala simpingi dewji ila ukweli usipotoshwe...kilichoniuma zaidi ni kwamba tofauti na dewji atakayepewa 50% sisi tulobaki woote kwa sasa haturuhusiwi kununua zaidi ya zile 10% tutakazogowawiwa woote sawa sawa kwani na zile 40% zilizobaki hazitouzwa mpaka badae sana(undefined period of time) hi manake nini dewji akishachukua timu baada ya muda atakuja na pendekezo la kwamba timu inatakiwa pesa zaidi kapata wawekezaji so tuuze 40 zilizobaki kwa kuwapa kipaumbele wanachama of which obviously tutashindwa au kwa kutumiwa mamluki wake Wale wanachama wala ubwa kubwa wazinunue kisha aje anunue badae kutoka kwao kwa lengo la kufikisha 51% na hapo ndo tutakuwa tumeuza club tayari yote
Gongo wazi bhana kwa hiyo unataka wazee wanafiq na maskini kama akina akilimali ndio wanunue timu????

Pogba wa tz nchi imekushinda!
 
Lini mlianzisha kitu cha maana zaidi ya kuiga kwa Simba. Tunawabiri ntakuja tu
Utakuwa wewe ni katoto ka shilawadu..Yanga toka miaka ya 90 mchakato ulianzishwa kukatokea mtafaruku ukazaa Yanga kampuni na Yanga asili...MO hana jina jipya..msikilizeni Mzee Kilomoni..sisi Yanga tunafanya mazungumzo na Etihad soon kila kitu wazi
 
Back
Top Bottom