Wanachama Yanga wachana na kuchoma magazeti ya Reginald Mengi!

Mnaokoment utumbo tulieni mengi msalit hamkumbuki alitugawa? Hii inaonyesha wanayanga wasinunue tena MAGAZETI yake ye nani yanga?

pole sana kijana mzima mwenye angalau hata akili ya kuingia JF ila unatetea ujinga, kwahiyo kama manji amedhulumu coco beach aachiwe tu kisa anaifadhili yanga ?

Tulizeni makalio yanga mulimpigia kampeni Magufuri na ndo huyo atamtumbua huyo gabachori wenu na wala mengi hana uwezo huo
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] yani vyura utawaona tu Sasa kwa wingi gani had Mengi apate hasara sababu ya hao wapumbavu
 
Kwani hawa matajiri wawili wekoseana nn Mzee aangalie jaqline asije akaibiwa na manji maana ni balaaa yule
 
Ujinga na upumbavu, kwahyo hapo mmemkomesha nani sasa?!
 
Waende kabisa zinapochapishwa wanunue magazeti yote alafu wayachome waone kama watapelekwa hata kwa balozi wa Nyumba kumi.
 
Ujinga ni umasikini mkubwa sana..kwa akili zao fupi kwasababu tu manji anaisaidia yanga basi asisemwe kwa lolote..kweli kushabikia mpira hapa nyumbani lazima ukose akili kidogo..
 
Mnaokoment utumbo tulieni mengi msalit hamkumbuki alitugawa? Hii inaonyesha wanayanga wasinunue tena MAGAZETI yake ye nani yanga?
ndo walewale...sasa kuchoma ndo itasaidia nn??wenzenu nao walisema wanagomea bidjhaa za azam lakin mpka leo wamefika wapi ??kuwa great thinker walau kwa hili ndugu
 
Mimi ni Yanga ila siungi mkono upumbuvu huu kwa namna yoyote Ile.!
 
Mnaokoment utumbo tulieni mengi msalit hamkumbuki alitugawa? Hii inaonyesha wanayanga wasinunue tena MAGAZETI yake ye nani yanga?

Kwa hiyo ufisadi wa Manji usisemwe kwa sababu anaifadhili Yanga?

Au wewe ni Miongoni mwa hao jamaa wanaofanya huo ujinga.
 
kweli safari bado ni ndefu sana kila siku kuna tukio la kuchekesha au kutia huzuni. ni juzi tu hapa kuna mheshimiwa kapigiwa makofi mjengoni kwa kutaka ile sanamu ya askari itolewe iwekwe ya mbongo fleva
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…