Wanachama Yanga wachana na kuchoma magazeti ya Reginald Mengi!

Mnaokoment utumbo tulieni mengi msalit hamkumbuki alitugawa? Hii inaonyesha wanayanga wasinunue tena MAGAZETI yake ye nani yanga?
Swala la vita ya kibiashara lisiwafunge macho wanayanga, kwani Magufuli aliposema kamwe cocobeach haitatolewa kwa mtu binafsi bali itaendelea kuwa public place alikuwa anaihujumu Yanga? Tumieni akili badala ya hisia.
 
Wala siwashangai hao walioshiriki zoezi hilo, maana wanamtumikia kafiri ili wapate ujira wao.. Iteni kujidhalilisha au kujishusha wao hilo haliwasumbui.. Lakini in general Manji aache kuwadhalilisha watu.. Kigezo cha umaskini isiwe sababu ya wao kudhalilishwa hivi..
 
Tatizo lao kubwa ni Elimu... Elimu..Elimu
Elimu wanayo sana , tatizo ni umate mate. .washapigwa 'temporary insanity'(Rushwa)
 

Mhh nani kafiri tena hapo?
 
Kuna nyumbu ni mashabiki wa mikia waliua wanaombea sana habari kama hii ili povu liwatoke vizuri,sawa wamekosea ila meng aache umaku yeye akigombana na mtu tu anatumia vyombo vyake kuponda,upuuzi mtupu,apeleke apu yake huko,ili yasitokee haya na yeye aache kutumia vigazeti vyake kuandika mabifu na wanaume wenzake.ova.
 

Hahahha yan mtu akikuita mswahili mpge makofi.... Sasa hapo anapata hasara gani wakat ushanunua?? Narrow minded
 
Sasa hapo si ndo kesho atachapisha menginec ya kutosha ili mnunue mchane.. kwel akil nyumbu au ndo unapewa buku 5 ya maji hahahahhahaah
 
Halafu mbona camera ni nyingi kuliko hayo magazeti yanayochomwa? [emoji15]
 
masikini nichi ya n gu tanzania.....
 
Wote hao hawana kazi, wao ni kushinda klabuni tu na huyo muhindi ipo siku atawaoa hao.....elimu, elimu, elimu.
 
kweli safari bado ni ndefu sana kila siku kuna tukio la kuchekesha au kutia huzuni. ni juzi tu hapa kuna mheshimiwa kapigiwa makofi mjengoni kwa kutaka ile sanamu ya askari itolewe iwekwe ya mbongo fleva
Hili tukio halichekeshi bali linatia huzuni sana. Inaonesha ni kiasi gani bado kuna wapumbavu na wajinga huko mtaani.....anaingilia ugomvi wa Manji na Mengi wakati hata hela ya kula taabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…