Wanachapana mitandaoni Mwigulu na Makamba itakuwaje Rais akawa Mwinginee kama ilivyotokea kwa Lowassa na Membe

CCM imeshajifunza....

Tuna hazina ya makada wanaoweza kuwa viongozi wakubwa zaidi...

Hazina imejaa....

Siasa za MAZOEA ndani ya chama bora CCM si lazima tuziweke mbele ya macho yetu kila uchao....

#SiempreCCM[emoji120]
#HastaLaVictoriaCCM[emoji120]
#AlutaContinuaCCM[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787]
Membe atakuwa mzee hiyo 2030....ama ndiyo unataka tuanze kuwa na siasa za NIGERIA ?!!![emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hao wote hawafai hata kuwa wajumbe wa mtaa nafasi ya uRais ni sensitive na inahitaji watu matured na waadilifu naamini Rais atatokea ambaye ni low profile
 
Nakubaliana na britanicca kuwa suala la uRais ni kwenda taratibu tu wala siyo la kupania. Wote waliopania hawakuwahi kuwa Marais wa Tanzania. Mungu humdondoshea usiye mtarajia.

A H Mwinyi alipata badala ya Salim Ahmed Salim aliyekuwa anatakiwa na Nyerere. 1985

B W Mkapa alipata badala ya John Malecela na Horace Kolimba waliokuwa wanapendwa na Mwinyi. 1995

Jakaya Kikwette alipata badala ya Fredrick Sumaye, Mwandosya na Kigoda waliokuwa favourites wa Mkapa. 2005

Magufuli alipata badala ya Bernard Membe aliyekuwa ameandaliwa na Kikwette baada ya kumuengua rafiki yake wa muda mrefu Edward Lowassa. 2015.

Samia Suluhu alipata baada ya Magufuli kunyakuliwa na Ziraili licha ya kujiwekea mazingira ya kuwa Rais wa maisha.

Washaurini wote wanaotaka, kuwa WASIPANIE SANA. Historia haiwaungi mkono wanaopania
 
ACt wazalendo Jengo wanalipiwa na January makamba na Pesa ilipopitia hadi kipindi inakabidhiwa I know everything, and what is the motive behind,
Una propaganda za kitoto sana, si juzi tu mlisema ni jengo la CUF ila limekarabatiwa tu leo hii Tena limegeuka la January??
Mbowe kutoka gerezani hakutoka hivi hivi Bali mama alishauriwa amuachie ili amsaidie ku soften hali nje ma niliandika uzi
Hamna lolote pressure ilikua kubwa maana Hana kosa na Samia anajua Hilo. Na kama hujui Mbowe mwenyewe amekiri kamati kuu walimjia juu baada ya kwenda ikulu. So usidhani Mbowe ana Baraka za kamati kuu kufanya maridhiano Bali wamempa time frame tu. Chadema sio mazuzu kama NCCR au CUF otherwise tungeshapotea enzi za JPM
 
Nashangaa sana hata kumfikiria mtu kama Mwigulu anaweza kuwa rais wa nchi hii
Miaka yote aliyokuwa waziri sioni la maana lolote alilowahi kufanya.
Makamba hali kadhalika ni hovyo vivo hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…