Wanachapana mitandaoni Mwigulu na Makamba itakuwaje Rais akawa Mwinginee kama ilivyotokea kwa Lowassa na Membe

Wanachapana mitandaoni Mwigulu na Makamba itakuwaje Rais akawa Mwinginee kama ilivyotokea kwa Lowassa na Membe

Nimewaza yale ya Lowassa Vs Membe alafu mwingine ndo akaongoza nchi!

Kwa kifupi hawa vijana hawajaiva kushika madaraka makubwa kivile ya nchi wanatakiwa kuwa chini ya Uangalizi, wana familia na kila kitu Ila Uvulana bado unawatawala sana

Mtu ambaye umeshakuwa unakuwa na Dalili zifuatazo

1. Unapunguza jazba na kujizana jibizana mitandaoni

2. Kukejeli unaowaongoza (Kama vile kuwaambia watu uganga wa kienyeji ndo wayajadili zaidi ya matatizo ya wananchi, Kama vile kusema wahamie Burundi badala ya kuwapa matumaini)

3. Kauli za nchemba miaka kumi nyuma ni Hatari zaidi, na mauaji Mengi yametokea akiwa waziri wa mambo ya ndani kwenye kale kundi G5G hapo nyuma,

Ukija kwa Januari Makamba
Huyu si Muafilifu kabisa tumepigwa sana Pesa, alipoingia tu uwaziri 3.97Bilion zilipotea nikadokeza mtu, wakapotezea,

Amekuwa aki channel Pesa Kupitia tenda za TANESCO na Wizara (Mita mbovu zaidi ya 100,000) nchi nzima na Bei ilosemwa kituko

Amekuwa Ana monitor minada inayofanywa na TANESCO na WIZARA kuuza Mali chakavu

Wizara kiujanja ili tangaza mnada wa hadhara wa vifaa chakavu. Mnada huo ulifanyika siku ya Ijumaa tarehe 23 Novemba, 2021 kuanzia saa 4 :00 asubuhi kwenye eneo la Ofisi za Wizara ya Nishati Mtaa wa Samora Jengo la TANESCO. (karibu na Jengo la British Council)

Vifaa vilivyouzwa kiini Macho ni pamoja na Viti, Meza, Steel Cabinets, Microwave, Air Condition, fax Mchine, Telephone receivers, Printers, Scanners, Computers, na UPS. Hivi hakukuwa na kifaa chakavu ilikuwa ni dili la mkubwa kumpa mwenzake wa kariakoo tenda ili waongeze ten percent kwenye vifaa vingine watakavyonunua, na mbaya Zaidi vifaa si vyote viliuzwa na ikatumika pesa kubwa ya wizara kufanya kwamba wameagiza vifaa vingine, Takriban million 700, yaan vifaa vyenyewe havifiki hata million 80, anyway sisi kanyaboya tulikaa kimya,
kuna gari jipya la wizara likawekwa plate number binafsi mara moja nalo eti kapata kwa mnada wakati hata kwenye orodha halikuwapo kauziwa mwenzao kiujanja Kama chakavu na tenda ikaandikwa Upya kupata gari jingine haraka Kwa bei ya juu 420M

Taarifa ya Migodi 336 kupelekewa umeme na Wakala wa Nishati Vijijini lakin katika migodi hiyo kuna migodi hewa imeorodheswa na kuonekana pesa inayotakiwa kupelekwa ni kwa migodi 307 tu wala si 336 kama tunavyo ambiwa na wizara hapa kuna upigaji mkubwa sana, katika billion 300 iliyotengwa basi kuna 42,168,000,000 Yaan Bilion 42 zimeshaelekea Kibra asubuhi na mapema, si hapo tu kuna Taarifa za Ku repair Vipuli kila siku invoice ni za maeneo yale yale na hakuna kinachorekebishwa ila zinasainiwa pesa tu wanaondoka

Takriban Miezi minne mfululizo kuanzia mwezi wa 2-6 mwaka huu zimeshenda pesa hewa zaidi ya 546,000,000 Kwa matengenezo hewa ambayo hayafanyiki

Kijana hafai kabisa huyu

Nilisema hapa Mwaka juzi


Vijana nawakumbusha hawa wasijione wameshafika top level

Lolote kwenye siasa laweza kutokea

NGOJA NIWAKUMBUSHE KIDOGO

1. Kama ulikuwa hujui, ikifika umri wa miaka 40, waliosoma sana na waliosoma kidogo, wote wanakuwa sawa tu, ni wakati huu majigambo ya certificates, diploma, degree, masters, PhD, hupotea kabisa. Ni katika umri huu, inawezekana mwenye elimu ndogo, akatengeneza pesa nyingi sana kuliko mwenye elimu kubwa. Waliosoma sana na waliosoma kidogo, wote wanakuwa sawa tu.

2. Kama ulikuwa haujui, ikifika umri wa miaka 50, mtu aliyesemekana kwamba alikuwa mrembo, na mtu aliyesemekana kwamba alikuwa ana sura mbaya, wote wanaanza kuwa sawa tu. Ni wakati huu, mikunjo usoni, vipara kichwani, mvi n.k, haviwezi kukwepeka tena.

3. Kama ulikuwa hujui, ikifika umri wa miaka 60, watu wanakuwa wamestaafu kazi, aliyekuwa na cheo kikubwa na aliyekuwa na cheo kidogo, wote wanakuwa sawa tu. Ni wakati huu, hawa watu wanakuwa washikaji, wanaanza kukaa kijiwe kimoja, wanapiga story zenye idea zinazofanana, mara nyingi utawakuta makanisani au misikitini pamoja.

4. Kama ulikuwa hujui, ikifika umri wa miaka 70, mwenye nyumba ndogo na mwenye nyumba kubwa, wote wanakuwa sawa tu, wote wanahitaji nafasi ndogo sana ya kukaa, kwa kuwa ni katika kipindi hiki, kuhamisha-hamisha vitu, inakuwa taabu sana. Mwenye ghorofa atapenda kukaa nyumba ya chini, kwa kuwa miguu yake inaanza kukosa nguvu. Ni wakati huu, watoto huwaachia nyumba na kwenda kuanza maisha yao, hivyo, nyumba huwa kubwa kuliko mahitaji.

5. Kama ulikuwa hujui, ikifika umri wa miaka 80, walio na pesa na wasio na pesa, wote wanakuwa sawa tu, hata mwenye pesa anapotaka kutumia pesa zake, anakuwa hajui wapi pa kwenda, wote tajiri na masikini, hubaki nyumbani tu.

6. Kama ulikuwa hujui, ikifika umri wa miaka 90, kulala usingizi na kuamka, vyote vinakuwa sawa tu, kwa kuwa hata ukiamka, unakuwa huna cha kufanya,hapa masikini na tajiri, wote wanasubiri kifo tu.

Katika maisha, kama wewe ulidhani ni mtu muhimu kuliko watu wengine, kwa sababu ya elimu,uzuri,nafasi yako kazini, nyumba,au kipato chako kuwa kikubwa. Basi ulikuwa hujui tu,wewe ni wa kawaida sana, hakuna mtu mwenye nafasi kubwa kuliko mwingine, ni suala la muda tu.


Britanicca
Kama makonda bado yu hai, nampa nafasi ktk kuitumia fulsa ya hawa wagonvi
 
Kama makonda bado yu hai, nampa nafasi ktk kuitumia fulsa ya hawa wagonvi
Makonda huyu shoga? Zerobrain?? Muuaji?? Dhulumat wa mali za watu?

Kweli Watanzania muna uwezo mdogo sana wa kufikiri. Hata asiye na D mbili anajuwa kuwa Makonda ni msanii
 
Makonda huyu shoga? Zerobrain?? Muuaji?? Dhulumat wa mali za watu?

Kweli Watanzania muna uwezo mdogo sana wa kufikiri. Hata asiye na D mbili anajuwa kuwa Makonda ni msanii
Tuhuma zote hizo bila ushahidi si ufalq
 
Nimewaza yale ya Lowassa Vs Membe alafu mwingine ndo akaongoza nchi!

Kwa kifupi hawa vijana hawajaiva kushika madaraka makubwa kivile ya nchi wanatakiwa kuwa chini ya Uangalizi, wana familia na kila kitu Ila Uvulana bado unawatawala sana

Mtu ambaye umeshakuwa unakuwa na Dalili zifuatazo

1. Unapunguza jazba na kujizana jibizana mitandaoni

2. Kukejeli unaowaongoza (Kama vile kuwaambia watu uganga wa kienyeji ndo wayajadili zaidi ya matatizo ya wananchi, Kama vile kusema wahamie Burundi badala ya kuwapa matumaini)

3. Kauli za nchemba miaka kumi nyuma ni Hatari zaidi, na mauaji Mengi yametokea akiwa waziri wa mambo ya ndani kwenye kale kundi G5G hapo nyuma,

Ukija kwa Januari Makamba
Huyu si Muafilifu kabisa tumepigwa sana Pesa, alipoingia tu uwaziri 3.97Bilion zilipotea nikadokeza mtu, wakapotezea,

Amekuwa aki channel Pesa Kupitia tenda za TANESCO na Wizara (Mita mbovu zaidi ya 100,000) nchi nzima na Bei ilosemwa kituko

Amekuwa Ana monitor minada inayofanywa na TANESCO na WIZARA kuuza Mali chakavu

Wizara kiujanja ili tangaza mnada wa hadhara wa vifaa chakavu. Mnada huo ulifanyika siku ya Ijumaa tarehe 23 Novemba, 2021 kuanzia saa 4 :00 asubuhi kwenye eneo la Ofisi za Wizara ya Nishati Mtaa wa Samora Jengo la TANESCO. (karibu na Jengo la British Council)

Vifaa vilivyouzwa kiini Macho ni pamoja na Viti, Meza, Steel Cabinets, Microwave, Air Condition, fax Mchine, Telephone receivers, Printers, Scanners, Computers, na UPS. Hivi hakukuwa na kifaa chakavu ilikuwa ni dili la mkubwa kumpa mwenzake wa kariakoo tenda ili waongeze ten percent kwenye vifaa vingine watakavyonunua, na mbaya Zaidi vifaa si vyote viliuzwa na ikatumika pesa kubwa ya wizara kufanya kwamba wameagiza vifaa vingine, Takriban million 700, yaan vifaa vyenyewe havifiki hata million 80, anyway sisi kanyaboya tulikaa kimya,
kuna gari jipya la wizara likawekwa plate number binafsi mara moja nalo eti kapata kwa mnada wakati hata kwenye orodha halikuwapo kauziwa mwenzao kiujanja Kama chakavu na tenda ikaandikwa Upya kupata gari jingine haraka Kwa bei ya juu 420M

Taarifa ya Migodi 336 kupelekewa umeme na Wakala wa Nishati Vijijini lakin katika migodi hiyo kuna migodi hewa imeorodheswa na kuonekana pesa inayotakiwa kupelekwa ni kwa migodi 307 tu wala si 336 kama tunavyo ambiwa na wizara hapa kuna upigaji mkubwa sana, katika billion 300 iliyotengwa basi kuna 42,168,000,000 Yaan Bilion 42 zimeshaelekea Kibra asubuhi na mapema, si hapo tu kuna Taarifa za Ku repair Vipuli kila siku invoice ni za maeneo yale yale na hakuna kinachorekebishwa ila zinasainiwa pesa tu wanaondoka

Takriban Miezi minne mfululizo kuanzia mwezi wa 2-6 mwaka huu zimeshenda pesa hewa zaidi ya 546,000,000 Kwa matengenezo hewa ambayo hayafanyiki

Kijana hafai kabisa huyu

Nilisema hapa Mwaka juzi


Vijana nawakumbusha hawa wasijione wameshafika top level

Lolote kwenye siasa laweza kutokea

NGOJA NIWAKUMBUSHE KIDOGO

1. Kama ulikuwa hujui, ikifika umri wa miaka 40, waliosoma sana na waliosoma kidogo, wote wanakuwa sawa tu, ni wakati huu majigambo ya certificates, diploma, degree, masters, PhD, hupotea kabisa. Ni katika umri huu, inawezekana mwenye elimu ndogo, akatengeneza pesa nyingi sana kuliko mwenye elimu kubwa. Waliosoma sana na waliosoma kidogo, wote wanakuwa sawa tu.

2. Kama ulikuwa haujui, ikifika umri wa miaka 50, mtu aliyesemekana kwamba alikuwa mrembo, na mtu aliyesemekana kwamba alikuwa ana sura mbaya, wote wanaanza kuwa sawa tu. Ni wakati huu, mikunjo usoni, vipara kichwani, mvi n.k, haviwezi kukwepeka tena.

3. Kama ulikuwa hujui, ikifika umri wa miaka 60, watu wanakuwa wamestaafu kazi, aliyekuwa na cheo kikubwa na aliyekuwa na cheo kidogo, wote wanakuwa sawa tu. Ni wakati huu, hawa watu wanakuwa washikaji, wanaanza kukaa kijiwe kimoja, wanapiga story zenye idea zinazofanana, mara nyingi utawakuta makanisani au misikitini pamoja.

4. Kama ulikuwa hujui, ikifika umri wa miaka 70, mwenye nyumba ndogo na mwenye nyumba kubwa, wote wanakuwa sawa tu, wote wanahitaji nafasi ndogo sana ya kukaa, kwa kuwa ni katika kipindi hiki, kuhamisha-hamisha vitu, inakuwa taabu sana. Mwenye ghorofa atapenda kukaa nyumba ya chini, kwa kuwa miguu yake inaanza kukosa nguvu. Ni wakati huu, watoto huwaachia nyumba na kwenda kuanza maisha yao, hivyo, nyumba huwa kubwa kuliko mahitaji.

5. Kama ulikuwa hujui, ikifika umri wa miaka 80, walio na pesa na wasio na pesa, wote wanakuwa sawa tu, hata mwenye pesa anapotaka kutumia pesa zake, anakuwa hajui wapi pa kwenda, wote tajiri na masikini, hubaki nyumbani tu.

6. Kama ulikuwa hujui, ikifika umri wa miaka 90, kulala usingizi na kuamka, vyote vinakuwa sawa tu, kwa kuwa hata ukiamka, unakuwa huna cha kufanya,hapa masikini na tajiri, wote wanasubiri kifo tu.

Katika maisha, kama wewe ulidhani ni mtu muhimu kuliko watu wengine, kwa sababu ya elimu,uzuri,nafasi yako kazini, nyumba,au kipato chako kuwa kikubwa. Basi ulikuwa hujui tu,wewe ni wa kawaida sana, hakuna mtu mwenye nafasi kubwa kuliko mwingine, ni suala la muda tu.


Britanicca
MWIGULU NCHEMBA ASITISHE UJENZI WA SHULE ENEO ALIPOKARIBISHWA TUNDU LISU

Katika hali ya kushangaza, Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba amewaamuru madiwani wa Jimbo la Iramba ambao amewaweka yeye madarakani wasitishe uamuzi wa kujenga shule eneo la Ruruma kata ya kiomboi ambalo watoto wanatembea hadi kilomita 15 mpaka 20 kuzifuata shule za sekondari zilipo kwa sasa. Badala yake ameamuru shule ya pili sasa ijengwe karibu na shule nyingine eneo la Kizega kama kilomita 3 tu toka ilipo shule nyingine ya New Kiomboi sekondari.
Sababu kuu ya Waziri ni kwamba eneo la Ruruma lilimkaribisha Tundu Lisu kiongozi wa Uponzani kulala kijijini hapo baada ya Mwigulu Nchemba kuamuru asipewe chumba guest house yeyote hapo mjini kiomboi na kuzilipa guest houses hizo zote ili Tundu Lisu asilale Kiomboi alipofanya Ziara huko.
Sasa viongozi wa namna hii ni hatari kwa jamii yetu. Hh. Rais Dk. Samia Suluhu Hasan aingilie kati ili shule Ijengwe Ruruma na kupunguza mateso kwa watoto wetu na fedha anazotoa ziwasaidie wananchi vizuri na kwa usawa na kwa haki katika huduma. Na ikimpendeza Mh. Rais amuwajibishe Mwigulu Nchemba kama wengine anavyo wawajibisha ili kuliokoa Taifa na viongozi wa hovyo wa aina hii.
 
Tuhuma zote hizo bila ushahidi si ufalq
Angalia tako hapa uniambie kama siyo ushahidi wa ushoga
Screenshot_20240716_193908_Google.jpg
 
Nimewaza yale ya Lowassa Vs Membe alafu mwingine ndo akaongoza nchi!

Kwa kifupi hawa vijana hawajaiva kushika madaraka makubwa kivile ya nchi wanatakiwa kuwa chini ya Uangalizi, wana familia na kila kitu Ila Uvulana bado unawatawala sana

Mtu ambaye umeshakuwa unakuwa na Dalili zifuatazo

1. Unapunguza jazba na kujizana jibizana mitandaoni

2. Kukejeli unaowaongoza (Kama vile kuwaambia watu uganga wa kienyeji ndo wayajadili zaidi ya matatizo ya wananchi, Kama vile kusema wahamie Burundi badala ya kuwapa matumaini)

3. Kauli za nchemba miaka kumi nyuma ni Hatari zaidi, na mauaji Mengi yametokea akiwa waziri wa mambo ya ndani kwenye kale kundi G5G hapo nyuma,

Ukija kwa Januari Makamba
Huyu si Muafilifu kabisa tumepigwa sana Pesa, alipoingia tu uwaziri 3.97Bilion zilipotea nikadokeza mtu, wakapotezea,

Amekuwa aki channel Pesa Kupitia tenda za TANESCO na Wizara (Mita mbovu zaidi ya 100,000) nchi nzima na Bei ilosemwa kituko

Amekuwa Ana monitor minada inayofanywa na TANESCO na WIZARA kuuza Mali chakavu

Wizara kiujanja ili tangaza mnada wa hadhara wa vifaa chakavu. Mnada huo ulifanyika siku ya Ijumaa tarehe 23 Novemba, 2021 kuanzia saa 4 :00 asubuhi kwenye eneo la Ofisi za Wizara ya Nishati Mtaa wa Samora Jengo la TANESCO. (karibu na Jengo la British Council)

Vifaa vilivyouzwa kiini Macho ni pamoja na Viti, Meza, Steel Cabinets, Microwave, Air Condition, fax Mchine, Telephone receivers, Printers, Scanners, Computers, na UPS. Hivi hakukuwa na kifaa chakavu ilikuwa ni dili la mkubwa kumpa mwenzake wa kariakoo tenda ili waongeze ten percent kwenye vifaa vingine watakavyonunua, na mbaya Zaidi vifaa si vyote viliuzwa na ikatumika pesa kubwa ya wizara kufanya kwamba wameagiza vifaa vingine, Takriban million 700, yaan vifaa vyenyewe havifiki hata million 80, anyway sisi kanyaboya tulikaa kimya,
kuna gari jipya la wizara likawekwa plate number binafsi mara moja nalo eti kapata kwa mnada wakati hata kwenye orodha halikuwapo kauziwa mwenzao kiujanja Kama chakavu na tenda ikaandikwa Upya kupata gari jingine haraka Kwa bei ya juu 420M

Taarifa ya Migodi 336 kupelekewa umeme na Wakala wa Nishati Vijijini lakin katika migodi hiyo kuna migodi hewa imeorodheswa na kuonekana pesa inayotakiwa kupelekwa ni kwa migodi 307 tu wala si 336 kama tunavyo ambiwa na wizara hapa kuna upigaji mkubwa sana, katika billion 300 iliyotengwa basi kuna 42,168,000,000 Yaan Bilion 42 zimeshaelekea Kibra asubuhi na mapema, si hapo tu kuna Taarifa za Ku repair Vipuli kila siku invoice ni za maeneo yale yale na hakuna kinachorekebishwa ila zinasainiwa pesa tu wanaondoka

Takriban Miezi minne mfululizo kuanzia mwezi wa 2-6 mwaka huu zimeshenda pesa hewa zaidi ya 546,000,000 Kwa matengenezo hewa ambayo hayafanyiki

Kijana hafai kabisa huyu

Nilisema hapa Mwaka juzi


Vijana nawakumbusha hawa wasijione wameshafika top level

Lolote kwenye siasa laweza kutokea

NGOJA NIWAKUMBUSHE KIDOGO

1. Kama ulikuwa hujui, ikifika umri wa miaka 40, waliosoma sana na waliosoma kidogo, wote wanakuwa sawa tu, ni wakati huu majigambo ya certificates, diploma, degree, masters, PhD, hupotea kabisa. Ni katika umri huu, inawezekana mwenye elimu ndogo, akatengeneza pesa nyingi sana kuliko mwenye elimu kubwa. Waliosoma sana na waliosoma kidogo, wote wanakuwa sawa tu.

2. Kama ulikuwa haujui, ikifika umri wa miaka 50, mtu aliyesemekana kwamba alikuwa mrembo, na mtu aliyesemekana kwamba alikuwa ana sura mbaya, wote wanaanza kuwa sawa tu. Ni wakati huu, mikunjo usoni, vipara kichwani, mvi n.k, haviwezi kukwepeka tena.

3. Kama ulikuwa hujui, ikifika umri wa miaka 60, watu wanakuwa wamestaafu kazi, aliyekuwa na cheo kikubwa na aliyekuwa na cheo kidogo, wote wanakuwa sawa tu. Ni wakati huu, hawa watu wanakuwa washikaji, wanaanza kukaa kijiwe kimoja, wanapiga story zenye idea zinazofanana, mara nyingi utawakuta makanisani au misikitini pamoja.

4. Kama ulikuwa hujui, ikifika umri wa miaka 70, mwenye nyumba ndogo na mwenye nyumba kubwa, wote wanakuwa sawa tu, wote wanahitaji nafasi ndogo sana ya kukaa, kwa kuwa ni katika kipindi hiki, kuhamisha-hamisha vitu, inakuwa taabu sana. Mwenye ghorofa atapenda kukaa nyumba ya chini, kwa kuwa miguu yake inaanza kukosa nguvu. Ni wakati huu, watoto huwaachia nyumba na kwenda kuanza maisha yao, hivyo, nyumba huwa kubwa kuliko mahitaji.

5. Kama ulikuwa hujui, ikifika umri wa miaka 80, walio na pesa na wasio na pesa, wote wanakuwa sawa tu, hata mwenye pesa anapotaka kutumia pesa zake, anakuwa hajui wapi pa kwenda, wote tajiri na masikini, hubaki nyumbani tu.

6. Kama ulikuwa hujui, ikifika umri wa miaka 90, kulala usingizi na kuamka, vyote vinakuwa sawa tu, kwa kuwa hata ukiamka, unakuwa huna cha kufanya,hapa masikini na tajiri, wote wanasubiri kifo tu.

Katika maisha, kama wewe ulidhani ni mtu muhimu kuliko watu wengine, kwa sababu ya elimu,uzuri,nafasi yako kazini, nyumba,au kipato chako kuwa kikubwa. Basi ulikuwa hujui tu,wewe ni wa kawaida sana, hakuna mtu mwenye nafasi kubwa kuliko mwingine, ni suala la muda tu.


Britanicca
Sawa kwa ujumbe huu madaraka si kitu, tunaweza wapa wapinzani nao waongoze nchi tuache ubinafsi
 
Nimewaza yale ya Lowassa Vs Membe alafu mwingine ndo akaongoza nchi!

Kwa kifupi hawa vijana hawajaiva kushika madaraka makubwa kivile ya nchi wanatakiwa kuwa chini ya Uangalizi, wana familia na kila kitu Ila Uvulana bado unawatawala sana

Mtu ambaye umeshakuwa unakuwa na Dalili zifuatazo

1. Unapunguza jazba na kujizana jibizana mitandaoni

2. Kukejeli unaowaongoza (Kama vile kuwaambia watu uganga wa kienyeji ndo wayajadili zaidi ya matatizo ya wananchi, Kama vile kusema wahamie Burundi badala ya kuwapa matumaini)

3. Kauli za nchemba miaka kumi nyuma ni Hatari zaidi, na mauaji Mengi yametokea akiwa waziri wa mambo ya ndani kwenye kale kundi G5G hapo nyuma,

Ukija kwa Januari Makamba
Huyu si Muafilifu kabisa tumepigwa sana Pesa, alipoingia tu uwaziri 3.97Bilion zilipotea nikadokeza mtu, wakapotezea,

Amekuwa aki channel Pesa Kupitia tenda za TANESCO na Wizara (Mita mbovu zaidi ya 100,000) nchi nzima na Bei ilosemwa kituko

Amekuwa Ana monitor minada inayofanywa na TANESCO na WIZARA kuuza Mali chakavu

Wizara kiujanja ili tangaza mnada wa hadhara wa vifaa chakavu. Mnada huo ulifanyika siku ya Ijumaa tarehe 23 Novemba, 2021 kuanzia saa 4 :00 asubuhi kwenye eneo la Ofisi za Wizara ya Nishati Mtaa wa Samora Jengo la TANESCO. (karibu na Jengo la British Council)

Vifaa vilivyouzwa kiini Macho ni pamoja na Viti, Meza, Steel Cabinets, Microwave, Air Condition, fax Mchine, Telephone receivers, Printers, Scanners, Computers, na UPS. Hivi hakukuwa na kifaa chakavu ilikuwa ni dili la mkubwa kumpa mwenzake wa kariakoo tenda ili waongeze ten percent kwenye vifaa vingine watakavyonunua, na mbaya Zaidi vifaa si vyote viliuzwa na ikatumika pesa kubwa ya wizara kufanya kwamba wameagiza vifaa vingine, Takriban million 700, yaan vifaa vyenyewe havifiki hata million 80, anyway sisi kanyaboya tulikaa kimya,
kuna gari jipya la wizara likawekwa plate number binafsi mara moja nalo eti kapata kwa mnada wakati hata kwenye orodha halikuwapo kauziwa mwenzao kiujanja Kama chakavu na tenda ikaandikwa Upya kupata gari jingine haraka Kwa bei ya juu 420M

Taarifa ya Migodi 336 kupelekewa umeme na Wakala wa Nishati Vijijini lakin katika migodi hiyo kuna migodi hewa imeorodheswa na kuonekana pesa inayotakiwa kupelekwa ni kwa migodi 307 tu wala si 336 kama tunavyo ambiwa na wizara hapa kuna upigaji mkubwa sana, katika billion 300 iliyotengwa basi kuna 42,168,000,000 Yaan Bilion 42 zimeshaelekea Kibra asubuhi na mapema, si hapo tu kuna Taarifa za Ku repair Vipuli kila siku invoice ni za maeneo yale yale na hakuna kinachorekebishwa ila zinasainiwa pesa tu wanaondoka

Takriban Miezi minne mfululizo kuanzia mwezi wa 2-6 mwaka huu zimeshenda pesa hewa zaidi ya 546,000,000 Kwa matengenezo hewa ambayo hayafanyiki

Kijana hafai kabisa huyu

Nilisema hapa Mwaka juzi


Vijana nawakumbusha hawa wasijione wameshafika top level

Lolote kwenye siasa laweza kutokea

NGOJA NIWAKUMBUSHE KIDOGO

1. Kama ulikuwa hujui, ikifika umri wa miaka 40, waliosoma sana na waliosoma kidogo, wote wanakuwa sawa tu, ni wakati huu majigambo ya certificates, diploma, degree, masters, PhD, hupotea kabisa. Ni katika umri huu, inawezekana mwenye elimu ndogo, akatengeneza pesa nyingi sana kuliko mwenye elimu kubwa. Waliosoma sana na waliosoma kidogo, wote wanakuwa sawa tu.

2. Kama ulikuwa haujui, ikifika umri wa miaka 50, mtu aliyesemekana kwamba alikuwa mrembo, na mtu aliyesemekana kwamba alikuwa ana sura mbaya, wote wanaanza kuwa sawa tu. Ni wakati huu, mikunjo usoni, vipara kichwani, mvi n.k, haviwezi kukwepeka tena.

3. Kama ulikuwa hujui, ikifika umri wa miaka 60, watu wanakuwa wamestaafu kazi, aliyekuwa na cheo kikubwa na aliyekuwa na cheo kidogo, wote wanakuwa sawa tu. Ni wakati huu, hawa watu wanakuwa washikaji, wanaanza kukaa kijiwe kimoja, wanapiga story zenye idea zinazofanana, mara nyingi utawakuta makanisani au misikitini pamoja.

4. Kama ulikuwa hujui, ikifika umri wa miaka 70, mwenye nyumba ndogo na mwenye nyumba kubwa, wote wanakuwa sawa tu, wote wanahitaji nafasi ndogo sana ya kukaa, kwa kuwa ni katika kipindi hiki, kuhamisha-hamisha vitu, inakuwa taabu sana. Mwenye ghorofa atapenda kukaa nyumba ya chini, kwa kuwa miguu yake inaanza kukosa nguvu. Ni wakati huu, watoto huwaachia nyumba na kwenda kuanza maisha yao, hivyo, nyumba huwa kubwa kuliko mahitaji.

5. Kama ulikuwa hujui, ikifika umri wa miaka 80, walio na pesa na wasio na pesa, wote wanakuwa sawa tu, hata mwenye pesa anapotaka kutumia pesa zake, anakuwa hajui wapi pa kwenda, wote tajiri na masikini, hubaki nyumbani tu.

6. Kama ulikuwa hujui, ikifika umri wa miaka 90, kulala usingizi na kuamka, vyote vinakuwa sawa tu, kwa kuwa hata ukiamka, unakuwa huna cha kufanya,hapa masikini na tajiri, wote wanasubiri kifo tu.

Katika maisha, kama wewe ulidhani ni mtu muhimu kuliko watu wengine, kwa sababu ya elimu,uzuri,nafasi yako kazini, nyumba,au kipato chako kuwa kikubwa. Basi ulikuwa hujui tu,wewe ni wa kawaida sana, hakuna mtu mwenye nafasi kubwa kuliko mwingine, ni suala la muda tu.


Britanicca
Duh
 
Back
Top Bottom